CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

ccm kuwafukuza madiwani wake wa kata za arusha mjini,ni ndoto za abunwasi,kwanza wanafikiria 2015 kukabizi katazote kwa chadema,yaani sasa hivi arusha mjini ccm wanaomba usiku na mchana diwani wao hata m1 asife maana shuguli itakua nzito, maana kwenye zile kata4 serikali nzima ilipiga kambi arusha,na bado wakachezea kichapo cha haibu, mimi nilicheka sana kule bukoba ile timua madiwani,alafu bw nape akawarudisha baada ya kuona haibu nyingine ikiwanyemelea,
 
Updates wadau

Kamati ya siasa ya wilaya imemaliza kuwahoji, kesho ni mkoa chini ya Chatanda.
 
Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.

Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.

Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa

thubutu yake .
 
Aluta continua CDM,M4C hahaha pipoooooooz wapi MAGAMBA aaaah hiki chama CDM kinanipa raha sana aiseee hivyohivyo mpaka wasalimu amri 2015 tucgukue nchi kiulaini.
 
maccm wamesahau 4:0 wanaiga chadema hawatuwezi wajinga hawa
 
Khabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaang.....!
 
Dhubuuuuuutu yao magamba,wakiwafukuza hakika nitakata gogo hadharani pale posta mpya!!
 
Back
Top Bottom