CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

Utamu ni kuwa na madiwani au wabunge nusu kwa nusu kwani inapokuja wakati wa kupiga kura huwa inabidi wa upande mmoja wachekeche mada waunge upande mwingine ili theluthi mbili zipatikane.
 
bado wanahaha 2. hata ivo wanaweza kufanya ivo, lakin hawathubutu. Chezea IQ za watz.
 
hayo yatakuwa ni mazingaombwe au kizungumkuti,arusha, arusha, arusha ,arusha,weweeeeeeeeee nani kasemaaaaaaaaaa?
 
CCM hawana ubavu huo.!

si unajua tena mambo yapo ktk autopilot ndani ya CCM...km mwenyekiti wao alivyoachia nchi ktk auto pilot na kuenda kumalizia vibaua vya uwaziri wa mambo ya nje.
 
khuna tetesi kuwa baada hya mwigulu chema kuchoma taarifa hiyo kwenye mitandao alizimia kabisa na kukimbizwa hospitali. Jamani tuhurumiane izi issue nyingine zinaweza kusababisha kifo hasa ukizingatia matokeo ya 4-0 yako vichwani mwa watu
 
Kila jambo lina mwisho inawezekana madiwani hawa wa ccm wamekaa wakatafari sana wakaonanibora wasitishe siasa chafu kwamaslahi ya wananchi wa ARUSHA hakunahaja ya kufukuzana tunapotofautiana kifikra
 
Mods futeni huu uzi. Toka juzi hakuna hata m1 aliyefukuzwa.
 
wanakusanya watu na malori toka sehemu tofauti nchini tangu lini majambazi na majangili wakaongea na audience?

CCM ni majambazi wa mali za umma, ni majangili wa mapori yetu...yule kimeo alikuwa anaulizia msemaji wa CCM..ndio nikamuuliza majmabzi nao wana msemaji?kila jambazi huwa naweza ongea chohcote na popote as along as kaota pembe.
 
Back
Top Bottom