CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

sure mkuu. suala la Bukoba liwe somo kwetu sote

CCM wilaya na mkoa wapo tayari kuwapiga chini wangekuwa hawaingiliwi na Kamati Kuu. Lakini Kamati Kuu wote hovyo kabisa hakuna mwenye ubavu wa kunyanyua lidomo lake nakusema wafukuzwe. Ukizingatia ni Arusha kwa Lema ndo kabisaaaa, hawagusi kabisa. Kwa hali iliyopo diwani wa ccm anaweza kumshika kalio hata Jk lakini hatachukuliwa hatua yoyote, sababu uwoga wa kijinga na kishenzi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nini? I'm douting Thomaso! Mbona ikitokea hivyo itakuwa VITA YA PANZI FURAHA YA KUNGURU. Hivyo viti vinne CDM itaviokota kama vile inaokota karanga!

Arusha CCM hakuna hata Nape na Kinana wanalifahamu hilo. Just imagine mpaka leo CC wameshindwa kumpata mgombea kata Sombetini! Matokeo yake yameshinikiza NEC kutoitisha uchaguzi wa kata ya Sombetini.
 
Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.

Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.

Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa
Nachokuambia kama kuna kitu magamba hawatadhubutu kufanya ni kuwafukuza hao madiwani!
 
CCM wilaya au Mkoa haina mamlaka ya kuwafukuza madiwani waliochaguliwa na wananchi bila baraka za kamati kuu.

Lakini tuchangie as an entertainment.

Wakati mwingine unawaza vizuri, hili jukwaa sasahv ni komedy tupu.
 
wamemuuliza chizi(NAPE) wao lakini?

Nape yupo kwa Mganga kupata tafsiri ya ndoto yake eti "Kuna kijana kamwambia yeye ni CDM damu" halafu anataka Nape ndiye amweleze tarehe ya Uchaguzi wa CDM! Sasa ndipo akili imeanza kumrudia Nape ya swali la yule kijana kama aliuliza uchaguzi wa CDM (ambalo anaona si swali muafaka kwake kwa kuwa yeye si mwanachama wa CDM), Au aliuliza mkutano wa CCJ? (Chama chake walichokiasisi na Mzee Sitta)!
 
Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.

Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.

Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa

hapana hapana....hyo kitu haiwezekani kabisaaaaaaaaa hata ashuke Yesu....haitakaa itokee.... matokeo ya 4:0 hawajamaliza kuuguza kidonda.....leo tena wajigeuzie kibla wenyewe.....haiwezekani
 
Ni Madiwani wepi hao wanaotaka kufukuzwa? ccm hawana ubavu wa kuwafukuza madiwani Arusha labada mkoa mwingine kama dodoma au Singida ambako wananchi bado (wamelala)hawaelewi nini maana ya mabadiliko.
 
Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.

Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.

Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa

Maisha yako; CCM hawana ubavu wa kufukuza kiongozi wao yeyote wa kuchaguliwa labda wawe ni viti maalum!!
CCM Bukoba mjini na case study ya ukweli.
 
Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.

Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.

Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa

Washindwe Bukoba waweze Arusha!!! Wamalize kikao wasaini posho zao...
 
CCM wilaya au Mkoa haina mamlaka ya kuwafukuza madiwani waliochaguliwa na wananchi bila baraka za kamati kuu.

Lakini tuchangie as an entertainment.

Hata kamati kuu haina uthubutu wa kuwafukuza madiwani. Kama kamati kuu ilifyata mkia kwa madiwani wa Bukoba sasa itakuwaje kwa Arusha? Mkuu unafikiri Kikwete anajiamini na chama chake cha kigaidi? thubutu yao...
 
Nimepata habari kutoka kwenye kamati ya siasa ya wilaya ya CCM inayoendelea sasa katika ofisi zao kuwa madiwani wanne watafukuzwa leo.

Mtonyaji anadai kuwa ni ktendo cha madiwani hao kuungana na wale wa CHADEMA, pia inaaminika kuwa hao madiwani ni marafiki wakubwa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, anayeaminika kuwarubuni.

Juzi ijumaa madiwani wa CCM waliendelea na kikao pamoja na wale wa CHADEMA hata baada ya meya wao kutoka na kususa

Walishindwa Bukoba wataweza Arusha?
 
wathubutu waone kichapo cha mbwa mwizi,ni mwendo uleule wa 4:0
 
CCM Wakithubutu kuwatimua Madiwani wa Arusha Nachukua Gamba la CCM mara moja
 
Back
Top Bottom