Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Kwa hakika ni WanaCCM wachache sana wanaojua kuwa CHADEMA NI MSINGI lilikua ni zoezi operation ya chama nchi nzima na lilikua na lango la kuhakiki wanachama wake nchi nzima ngazi zote kuanzia msingi, matawi hadi taifa. Zoezi hili lilifanikiwa 100%. CCM wengi hasa viongozi wake hawakujua lolote kuhusu hili na wala hawakujua kuwa hii operation iliongeza wanachama wengi na records za kila mkoa zipo.
CHADEMA kinasema kuwa kitashinda kwa sababu kupitia operation ya CHADEMA ni Msingi ilifanikiwa kwa 100% na hawa walioandikishwa wote kupitia zoezi hili ni wapiga kura wenye vitambulisho waliojiandikisha na wachache tu ambao hawakujisndikisha viongozi wa chama waliwafuatilia na kuhakikisha walijiandikisha.
CCM walikua bize kununua viongozi wachache hawakulijua hili. Hawa walioandikishwa kupitia CHADEMA ni msingi pekee wanatosha kuipa ushindi wa kura za urais achilia mbali mbali wagombea ubunge na udiwani.
Hii ndiyo faida ya kua na Chama ambacho viongozi wake ni wanamikakati na ni wasomi wabobevu. Naweza kusema hili watu wakachukulia mzaha lakini huu ndiyo ukweli.
Kazi iliyobaki ni CHADEMA kuongeza kura kutoka kwa wanachama wa CCM na wasiokua na chama kutoka majukwaa ambayo nayo mgombea Urais na makamu wake wanayamudu 100%.
CHADEMA kinasema kuwa kitashinda kwa sababu kupitia operation ya CHADEMA ni Msingi ilifanikiwa kwa 100% na hawa walioandikishwa wote kupitia zoezi hili ni wapiga kura wenye vitambulisho waliojiandikisha na wachache tu ambao hawakujisndikisha viongozi wa chama waliwafuatilia na kuhakikisha walijiandikisha.
CCM walikua bize kununua viongozi wachache hawakulijua hili. Hawa walioandikishwa kupitia CHADEMA ni msingi pekee wanatosha kuipa ushindi wa kura za urais achilia mbali mbali wagombea ubunge na udiwani.
Hii ndiyo faida ya kua na Chama ambacho viongozi wake ni wanamikakati na ni wasomi wabobevu. Naweza kusema hili watu wakachukulia mzaha lakini huu ndiyo ukweli.
Kazi iliyobaki ni CHADEMA kuongeza kura kutoka kwa wanachama wa CCM na wasiokua na chama kutoka majukwaa ambayo nayo mgombea Urais na makamu wake wanayamudu 100%.