Ushalegea tayari wewe,ni mbuzi anaelekezwa kibla. By the way ni YEYE2020.2810
Tukutane hapahapa kupongezana na kupeana pole
Tanzania kwanza
Maendeleo hayana vyama
Izi thread zmetosha sasa,kushinda hamshindi msitusumbue na thread zenu sasaKwa hakika ni wanaccm wachache sana wanaojua kua CHADEMA NI MSINGI lilikua ni zoezi operation ya chama nchi nzima na lilikua na lango la kuhakiki wanachama wake nchi nzima ngazi zote kuanzia msingi, matawi hadi taifa. Zoezi hili lilifanikiwa 100%. CCM wengi hasa viongozi wake hawakujua lolote kuhusu hili na wala hawakujua kua hii operation iliongeza wanachama wengi na records za kila mkoa zipo...
PoleeeUshalegea tayari wewe,ni mbuzi anaelekezwa kibla. By the way ni YEYE2020.
Kila mbeleko imechanika na gunia la misumari.Sote tunaijua mbeleko wanayodhani itawabeba, Sasa mwaka huu tutakaba kila kona! We subiri tutawapa aibu ya mwaka!
Mungu ukupa kondoo uwatunze siku ya mwisho umpe hesabu we unapotezaSio muda mrefu kichaa kitampanda Kama Nebkadreza!! alivyokaa miaka saba porini na wanyama!! ndio yanayokwenda kutokea!!
Anapambana na wakati,wale wazee wa simiyu gamboshi waliotamba atakaempana nae atakufa wapo wapi waokoe jahazi.Nimeona meko kakonda kama ngonda. Fukuza polex2 uchawi haufui dafu kwa mteule aliyeshinda kifo kwa malengo
Wanaccm woòoteeeeKamanda naomba tukutane hapa tarehe 28 tukumbushane
Mkuu, ungeweka na hiyo idadi ya wanachama waliohakikiwa ili tulinganishe pia na za upande wa pili tupate uhalisia!!!!Kwa hakika ni wanaccm wachache sana wanaojua kua CHADEMA NI MSINGI lilikua ni zoezi operation ya chama nchi nzima na lilikua na lango la kuhakiki wanachama wake nchi nzima ngazi zote kuanzia msingi, matawi hadi taifa. Zoezi hili lilifanikiwa 100%. CCM wengi hasa viongozi wake hawakujua lolote kuhusu hili na wala hawakujua kua hii operation iliongeza wanachama wengi na records za kila mkoa zipo..
WEWE JAMAA HUWA HUJIELEWI SIPENDI KUONA THREAD ZAKO NA KUBLOCK,KWAHERIPiga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
unafahamu idadi ya waliojiandikisha ?Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze Kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasijitokeze Mbaka ipatikane katiba mpya, Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa wata lalamika wameibiwa kura