OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,225
- 103,839
Hawa watu uongo upo kwenye damu na mifupa. Wakitema wanatema uongo wakimeza wanameza uongo.
Ndio maana halisi ya Uongo-zi au ki-ongo-zi, lazima uwe na vinasaba vya uongo uongo ndani yako lasivyo watu hawawezi kukuelewa, angali suala la umeme linavyopigishwa dana dana kila siku tunapewa uongo mpya, mara mitambo mibovu, mara ukame, mara maji hayatoshi, mara mafundi wanarekebisha gesi, nk kila siku wanabuni uongo mpya, full fixNdiyo hawa hawa walituahidi kipindi kile, milioni 50 kwenye kila Kijiji! Halafu baada tu ya kupata madaraka, wakatugeuka.