WanaJF mna maoni yeyote kuhusu hili?
Najaribu kujenga conclusion kuwa CCJ ni mradi wa CCM.
Najua kuwa CCM inafanya kila jitihada kuhakikisha haiondoki madarakani. Mojawapo wa mbinu wanazotumia ni 'wagawe uwatawale'. CCM wanajua kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la wananchi wanaokipinga chama chao hali inayohatarisha future yao katika siasa. yapo maeneo yanayoibukia kwa kasi katika kustawi kwa siasa za upinzani, moja wapo ikiwa kanda ya ziwa victoria. Kwa kuona na kutambua hatari hii inaonekana kundi moja la CCM (huwa naamini CCM ina makundi ma3) limeamua kuanzisha chama kitakachogawa nguvu ya upinzani nchini (hasa ya CHADEMA) kuhakikisha kuwa hakutakuwa na chama kitakachojenga nguvu ya kutisha.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya CCJ utagundua kuwa chama hiki kimejijengea umaarufu mkubwa maeneo ya kada ya ziwa. Na pia utagundua kuwa huku ndiko CHADEMA kwa miaka ya karibuni imeanza kujizolea umaarufu na ukubaliwaji mkubwa.
Naamini CCJ kinaanzishwa katika mazingira ya ku-confuse akili za watanzania wapenda mabadiliko ambao wengi walishaanza kukifikiria CHADEMA kama chama muafaka ambacho kikiendelea kujipanga vizuri kitakuwa na uwezo wa kuchukua madaraka.
Nisiandike sana lakini pamoja na ushahidi mwangine wa kimazingira kama muda kilipoanzishwa, watu waliokianzisha na maeneo kinapojizatiti inatoa alarm kabisa kuwa CCJ ni chama mradi cha CCM...
Najaribu kujenga conclusion kuwa CCJ ni mradi wa CCM.
Najua kuwa CCM inafanya kila jitihada kuhakikisha haiondoki madarakani. Mojawapo wa mbinu wanazotumia ni 'wagawe uwatawale'. CCM wanajua kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la wananchi wanaokipinga chama chao hali inayohatarisha future yao katika siasa. yapo maeneo yanayoibukia kwa kasi katika kustawi kwa siasa za upinzani, moja wapo ikiwa kanda ya ziwa victoria. Kwa kuona na kutambua hatari hii inaonekana kundi moja la CCM (huwa naamini CCM ina makundi ma3) limeamua kuanzisha chama kitakachogawa nguvu ya upinzani nchini (hasa ya CHADEMA) kuhakikisha kuwa hakutakuwa na chama kitakachojenga nguvu ya kutisha.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya CCJ utagundua kuwa chama hiki kimejijengea umaarufu mkubwa maeneo ya kada ya ziwa. Na pia utagundua kuwa huku ndiko CHADEMA kwa miaka ya karibuni imeanza kujizolea umaarufu na ukubaliwaji mkubwa.
Naamini CCJ kinaanzishwa katika mazingira ya ku-confuse akili za watanzania wapenda mabadiliko ambao wengi walishaanza kukifikiria CHADEMA kama chama muafaka ambacho kikiendelea kujipanga vizuri kitakuwa na uwezo wa kuchukua madaraka.
Nisiandike sana lakini pamoja na ushahidi mwangine wa kimazingira kama muda kilipoanzishwa, watu waliokianzisha na maeneo kinapojizatiti inatoa alarm kabisa kuwa CCJ ni chama mradi cha CCM...