Catch me if you can boy

Catch me if you can boy

Ninavyopenda wadada walionizidi umri. Kasinde let's strike a deal bwana... wa umri wako ni watamu kama asali ya nyuki wadogo.
 
Last edited by a moderator:
Ninavyopenda wadada walionizidi umri. Kasinde let's strike a deal bwana... wa umri wako ni watamu kama asali ya nyuki wadogo.
sumbai mwingine huyu mwambie Kasie ni bibi bin ajuza abadili mawazo na kurandia vijana wenzie.
 
Last edited by a moderator:
sumbai mwingine huyu mwambie Kasie ni bibi bin ajuza abadili mawazo na kurandia vijana wenzie.
...hapo bold uache matusi, hilo ni tusi kwangu. Mimi mzee mwenzako, japo umekula chumvi kidogo zaidi yangu. Ntakuchapa kiutu uzima ujuwe
 
Last edited by a moderator:
...hapo bold uache matusi, hilo ni tusi kwangu. Mimi mzee mwenzako, japo umekula chumvi kidogo zaidi yangu. Ntakuchapa kiutu uzima ujuwe

Hahahahaaa bila shaka wewe utakuwa shemeji yangu kwa mdogo wangu, fimbo za kiutu uzima rahaa badala ya kilio cha machozi kinakuwa kilio cha mihem hem.

Ukiwa mdogo kwa Kasie ukubwani kuwa mdogo, mie mkubwa mwenzangu ni aliyenizidi umri looh.
 
Sharti lake tuanaanzia hapa makutano ya bibi titi road na ali hassan mwinyi road. Ndo walau barabara ambayo haina matuta.
Ngoja niongee na ankoli kama ataweza kuniazima kikorola chake.
 
:spy::spy::spy:

Hhahaahahahaaa pole babuu, ndo wamekuachia leo baada ya heka heka za siasa, kampeni, kuapishana na kukabidhiana ofisi kuisha. Karibu tena jukwaani mike hiyo endeleza mtanange
 
Hhahaahahahaaa pole babuu, ndo wamekuachia leo baada ya heka heka za siasa, kampeni, kuapishana na kukabidhiana ofisi kuisha. Karibu tena jukwaani mike hiyo endeleza mtanange
Nna hasira na Makofuli. Nimeenda ofisini kwake kwa kustukiza sijamkuta. Nasikia kumbe na yeye alienda kuwastukiza wazee wa hazina
 
Nna hasira na Makofuli. Nimeenda ofisini kwake kwa kustukiza sijamkuta. Nasikia kumbe na yeye alienda kuwastukiza wazee wa hazina

Pole babu, Mitanzania Ndiyo Tulivo cc Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Hivi Mitanzania nayo ni miafrika???
Cc anahusika kujibu swali hili Honey pie Monkeeeyyy Ngabuuuuuuu .............. pls don't say what you are about to say
 
Cc anahusika kujibu swali hili Honey pie Monkeeeyyy Ngabuuuuuuu .............. pls don't say what you are about to say

Mhhhh..... Ngoja nisimCC Nyani Ngabu. Asije akakuchenjia bure.

BTW uko kitaa gani? Kuna hela zina kiherehere cha kutumiwa na mrembo hapa kwa wallet.... Nataka nione kama ntashindwa kuku catch kwenye engo hiyo...:smash:
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh..... Ngoja nisimCC Nyani Ngabu. Asije akakuchenjia bure.

BTW uko kitaa gani? Kuna hela zina kiherehere cha kutumiwa na mrembo hapa kwa wallet.... Nataka nione kama ntashindwa kuku catch kwenye engo hiyo...:smash:

Hahahahaaa babuu na wewee mbona mchokozi hivoo umesahau enzi zile tulikuwa tunaimba alalaye usimwamshe ukimwamsha unalala wewee.... Haya babu wakati pumpkin Ngabu anaamka jiandae kulala......
Niko bagamoyo babuu karibuu huku wallet yako haitaisha itarudi na chenchi
Catch Kasie yataka formula na upatikanaji wake ni kama formula ya coca cola. Kazi kwako.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa babuu na wewee mbona mchokozi hivoo umesahau enzi zile tulikuwa tunaimba alalaye usimwamshe ukimwamsha unalala wewee.... Haya babu wakati pumpkin Ngabu anaamka jiandae kulala......
Niko bagamoyo babuu karibuu huku wallet yako haitaisha itarudi na chenchi
Catch Kasie yataka formula na upatikanaji wake ni kama formula ya coca cola. Kazi kwako.

Hii ishakula kwangu mchana kweupeeeeee
 
Hahahahaaa babuu na wewee mbona mchokozi hivoo umesahau enzi zile tulikuwa tunaimba alalaye usimwamshe ukimwamsha unalala wewee.... Haya babu wakati pumpkin Ngabu anaamka jiandae kulala......

Hey want some chicken fajita omelette?

Chicken_Fajita_%20Omelette.png
 
Hey want some chicken fajita omelette?

Chicken_Fajita_%20Omelette.png

Thanks Ngabu but that pepper does not favour me and spices seems to be of high quantity that myonise is sweet but it's too many..... I think it's menopause problems are affecting my eating habits i noticed i have changed alot
 
Back
Top Bottom