Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #161
Hizi avatar zetu hizi !! unakuta mtu kabisa ni mmama au mbibi lakini mwenyewe kaweka avatar ya mdada mzuri mbichi. Au ni libaya haf kajiwekea ya mtoto mzuri. Then mishkaji inayowaza ngono mda mwingi inashinda PM kuyafukuzia. Balaa nusura mkosi.
Hahahaaa jiwe likitupwa gizani ukisikia yeeuwiiii ujue kuna aliyempiga nalo. Pole kwa yaliyokusibu ya kudanganyika na avatar, mbona wengi humu huwa wanatoa tangazo kuwa msihadaike na avatar kumbe ulikuwa hujakutana nalo? Pole kwa kuhadaika hehehee