Catch me if you can boy

Catch me if you can boy

Morning Ladies and Gentlemen,

Poleni na shughuli za uchaguzi na wale wanaosubiria matokeo haya msubiriue kwa amani, muwe wapole na msiwe wakali kama pilipili.

Kasinde ni mama wa makamo aged 40 plus lakini deep inside Kasie she sees herself like a 30 yrs old lady yaani she feels energetic and young na ndio maana kwa wale wanaonifatilia wamekuwa wakinisoma maneno na matendo niyafanyayo ni kama mdada wa maika 30 na wengine wamediriki kuniambia mambo ya kitoto wakati umri umeenda wakati umri wangu ni above 40 ningekuwa nimetotolesha saa hizi ningekuwa na mjukuu, hivyo kuimri mie ni bibi but deep inside am a single young lady.

Kilichonileta hapa ni moja ya jinsi ninavyojisikia, jana baada ya kutoka nyumba ya ibada nilirudi home kuandaa chakula na kupanga mambo yangu sawa kisha mchana nikatoka kwenda kutimiza haki yangu ya msingi ya kupiga kura. Nikiwa natoka kituo cha kupigia kura naenda mahali nilipokuwa na miadi na mtu fulani, ile naingia main road kwenye makutano ya Ali Hassan Mwinyi road na Bibi Titi road, akatokea kaka mmoja naye alikuwa kwenye usafiri wake akanichomekea kiasi kwamba ningekuwa kwenye speed tungegongana. Nikachukia kwanini anichomekee wakati jana barabara haikuwa na msongamano wa magari, zilipowaka taa za kijani kuturuhusu alinisoma namba nilitoka resi na nikamchomekea kwa mbele akaminya break za gafla halafu mie yuleeee break taa za salender. Ile tunaruhusiwa kutaka kuondoka ndo namuona kwa mbaali anakuja nikaondoka speed mataa ya st peter nikamuona anakuja faster akakanyaga wese hadi engine inaunguruma anipite haaaa!! nani akubali, nikakanyaga wesee mootooooo hahahahaaa aliisoma namba kama ule wimbo wa CCM hahahahaaa rahaje.

Yaani mnaweza sema nina tabia flani za kiume ila nilifurahi kumpita na hakunifikia hadi nafika mwenge hadi nafika tegeta sijamuona sijui hata aliishia wapi. Kiufupi kwa wataoboreka na tabia za Kasie kuwa kama za kiume, si kosa langu ni makuzi niliyokulia. (natoa habari ambazo sijawahi zisema hapa)

Kasinde ni mtoto wa pekee wa kike, baba yangu mzazi alikuwa anatafuta mtoto wa kike na mie ni wa 5 kuzaliwa na chini nina wadogo zangu 2 wa kiume. Baba yangu alinipenda sana sana alinipa kila alichoweza niwe binti mzuri, bad luck sikuwa kama alivotarajia. Maana kaka zangu na wadogo zangu ndo wamenifanya niwe na mfumo dume kuanzia michezo ninayocheza ni michezo ya kiume, mtazamo wa kifikra, kwenda disco, ubishi kama vile ubishi wa ligi, kupenda magari, mbinu zote na ujanja wa kiume naujua. Na kaka zangu walinifundisha kutokukubali kuonewa na kushindwa. Sasa huyu kijana aliyenichomekea na kuanzisha ligi ya race barabarani aliisoma plate namba maana sikukubali nilitoka speed na nilikuwa na over take fyuu fyuu fyuu. Halafu najisikia rahaa bin happy nilipofikanilikokuwa naenda nikanywa glass ya maji bariidiii.

Kasie says boys, catch me if you can while I know you can't. Bet me if you insist.

Kasinde.

Korofi kweli kweli
 
Kuna mawili.
1. Uliskip stage katika ukuaji wako
2. Wana sayansi huamin kwamba kila mtu huwa ana sekunde 15 za ujinga kila siku.. Yaani lazima ufanye jambo moja la kijinga katika hizo sekunde 15 za siku
 
Morning Ladies and Gentlemen,
Kasinde ni mtoto wa pekee wa kike, baba yangu mzazi alikuwa anatafuta mtoto wa kike na mie ni wa 5 kuzaliwa na chini nina wadogo zangu 2 wa kiume. Baba yangu alinipenda sana sana alinipa kila alichoweza niwe binti mzuri, bad luck sikuwa kama alivotarajia. Maana kaka zangu na wadogo zangu ndo wamenifanya niwe na mfumo dume kuanzia michezo ninayocheza ni michezo ya kiume, mtazamo wa kifikra, kwenda disco, ubishi kama vile ubishi wa ligi, kupenda magari, mbinu zote na ujanja wa kiume naujua. Na kaka zangu walinifundisha kutokukubali kuonewa na kushindwa. Sasa huyu kijana aliyenichomekea na kuanzisha ligi ya race barabarani aliisoma plate namba maana sikukubali nilitoka speed na nilikuwa na over take fyuu fyuu fyuu. Halafu najisikia rahaa bin happy nilipofikanilikokuwa naenda nikanywa glass ya maji bariidiii.

Kasie says boys, catch me if you can while I know you can't. Bet me if you insist.

Kasinde.

Aliekufanyajeee Kasinde??
 
Last edited by a moderator:
Sooner rather than later I will catch you.

Guaranteed:biggrin1:
You you pumpkin. .... I know the pumpkin soup has driven me crazy.
I can't press the pedals and change gears as you are the driver and I like the way you pump on bumps......
Hahaaaaaa kidding you.....I still bet you can't catch me. But the day you catch me I will give you WHATEVER YOU WANT FROM KASIE. Keep this words and I put a seal for future reference.
 
I will catch you.

Do you like Jimmy Choo?

What about Ngabu Choo?

Bad boy!! where've you been......
I'd like to race with you on four lane, if you'll take your jaguar I'll pick a ferrari. Driving with my glasses on I'll be looking at you through the side mirror.........
Catch me ready handed and you'll be gifted .
I bet you'll loose.
Mmmhh...... sweet pumpkin pie
To be honest I love Ngabu toilet rather than Jimmy Choo hahahahaaaa
Mmmuuuahhh sweet pie my favourite Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Kasie you still have a chance to recover and realise your dreams you had while you were in your early 20's! It appears that you have lost all hope! Take heart! Cana you narrate one of your dreams on those years?
 
Won the race...dat was such a soft buddy...try me n I ll murder u with ua straight eyes getting amazed to me...m never saluute to gals in a simple game as that...!!!
 
You you pumpkin. .... I know the pumpkin soup has driven me crazy.
I can't press the pedals and change gears as you are the driver and I like the way you pump on bumps......
Hahaaaaaa kidding you.....I still bet you can't catch me. But the day you catch me I will give you WHATEVER YOU WANT FROM KASIE. Keep this words and I put a seal for future reference.

I am licking my chops right about now.

You are in a world of troubleeeeeee.
 
Bad boy!! where've you been......
I'd like to race with you on four lane, if you'll take your jaguar I'll pick a ferrari. Driving with my glasses on I'll be looking at you through the side mirror.........
Catch me ready handed and you'll be gifted .
I bet you'll loose.
Mmmhh...... sweet pumpkin pie
To be honest I love Ngabu toilet rather than Jimmy Choo hahahahaaaa
Mmmuuuahhh sweet pie my favourite Nyani Ngabu

I be burnin' rubber and switchin' lanes in my 2016 Jag while bumpin' 'antidote' and bobbin' my head and moving it side to side.

Don't you open up that window
Don't you let out that antidote
Poppin' pills is all I know
In the hills is all I know (Hollywood!)
 
I be burnin' rubber and switchin' lanes in my 2016 Jag while bumpin' 'antidote' and bobbin' my head and moving it side to side.

Don't you open up that window
Don't you let out that antidote
Poppin' pills is all I know
In the hills is all I know (Hollywood!)

I can't you.... moving your head side by side....
Oooh my..... Love the licking uuuhh
Thighs up hip down deep chop that's my favourite. ...
I bet u....... Monkey pie tastes good
Mmmuuah
 
Kasie you still have a chance to recover and realise your dreams you had while you were in your early 20's! It appears that you have lost all hope! Take heart! Cana you narrate one of your dreams on those years?
For what I have right now, I don't need to redeem what I previously lost.
Thanks for your hospitality buddy.
 
Won the race...dat was such a soft buddy...try me n I ll murder u with ua straight eyes getting amazed to me...m never saluute to gals in a simple game as that...!!!

Mmmhhh just gasping......
Miafrika Ndiyo Tulivyo.
cc; my boo Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
For what I have right now, I don't need to redeem what I previously lost.
Thanks for your hospitality buddy.

Kasinde na Ngabu

You guys are real troubles double

Japo watoto wa kayumba wanayumba kwa vocabulary mnazochimba!
 
Last edited by a moderator:
Kasinde na Ngabu

You guys are real troubles double

Japo watoto wa kayumba wanayumba kwa vocabulary mnazochimba!

Hahahahaaa let him flow while am enjoying icecreamed strawberry deep chop.....
Tea bag chocolate deeped up and down...
Chop in chop out yuuhuuuuuu
cc: Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa let him flow while am enjoying icecreamed strawberry deep chop.....
Tea bag chocolate deeped up and down...
Chop in chop out yuuhuuuuuu
cc: Nyani Ngabu

Hahahahaha chop in chop out

Enjoy~they said its never too cold for ice cream and chocolate deeped up and down.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom