That info is confidential until confidential becomes open. For the time being take it that Kasie is another champ.That's nice young oldster.
Why do you keep referring yourself as 'another champ'?? was there a champ before you? how did you gain that championship like who did you compete with??
Si unajua wa bibi wao ni kusimulia simulizi na unajikuta unasikiliza bila kujua kama masaa yameenda.hi Kasinde
you are very good in telling stories...
Nita ku pm... may be i can be lucky to catch you and come up with a story book
Cheers!
Hhahahahaaa kama yumo humu JF anakusoma na huo ni ugomvi wenu. I love driving aisee, nimeagiza manual moja hivi nataka nianze race ya manual maana auto naona nateleza sana ile changing gera ile nasikia rahaaaa, mguu hauchezi mbali na clutch ahahahahaaa. I just love myself Kasie mie with kind of life am living. Yupiiiiiiii
Hahahaaa 505 umenikumbusha 504 wakati huooo zamani zilikuwa gari nzito zisizo na mwendo, yaani hapo umenifanya jumamosi niione mbali nnavopenda kuendesha gariMie njoo na hiyo yako...then mie nitatoka na Peugeot 505 yangu...manual with turbo .....hutafanikiwa kuona nilipopita
Hahahaaa 505 umenikumbusha 504 wakati huooo zamani zilikuwa gari nzito zisizo na mwendo, yaani hapo umenifanya jumamosi niione mbali nnavopenda kuendesha gari
Waapi tena babuuu................ umeniacha solemba looh!!!
shemale, google images uone mlivyofananaHhaahahhaaaa catch me if you can looh!!
Wewe hujaona tulivyofichwa na uchaguzi feki? Baada ya muda si mrefu tutarudi hewani kama kawa!
Dada Kasinde nimesikia vibaya sana niliposoma hapo kwenye nyekundu, sikutaka hata kumalizia kujua hadithi hii inaishia vipi. nimekupm namba yangu ukipenda waweza nitafuta. Duu,i think you need someone to catch you, and i should be the one.
Oyaaaa veeepee mi stage hiyo nshapita unankatisha stimu zangu saa hii. Kasinde now days ni ajuza aka bibi. Mzee bado analipa ila ajuza kachoka.
Oyaaaa veeepee mi stage hiyo nshapita unankatisha stimu zangu saa hii. Kasinde now days ni ajuza aka bibi. Mzee bado analipa ila ajuza kachoka.
Ukiwaambia kuwa Kasie ni Mzee wataendelea kunitafuta mie ni ajuza hamna kitu nta yote imekauka looh.