Kusema kweli kila mtu nimemwelewa. Hadi yule wa slei kwini.
Hivi I got this/you kwa kiswahili ni nini?
Does Anybody Else.What's DAE?
Sasa zote nilizosema nimekuelewa hebu sahau kuhusu "nimekuelewa " weka "I got you". Zinakuwa kama zina sound tofauti?I got you - Nimekupata, au nimekusoma (hii ni slang nadhani).
I got this - Nimeielewa hii (sina uhakika sana kwenye hii).
Sasa zote nilizosema nimekuelewa hebu sahau kuhusu "nimekuelewa " weka "I got you". Zinakuwa kama zina sound tofauti?
Nikweli, ila mimi naona kama nimekuelewa imekaa kiuku nyenyekea sana.Mimi naona ziko sawa, sema ndo inakuwa kama ni very short.
Nikweli, ila mimi naona kama nimekuelewa imekaa kiuku nyenyekea sana.
Bora I got you.. sema nayo imekaa kikiburi kikiburi.
Msamehe Paula haina haja ya kujibizana na mtu ukimwelewa nia na dhamira yake kwako ni ipi?Mbona hata wewe umechanganya lugha?Better to keep your mouth shut and be presumed a fool than to open it and remove all doubt.
Unanirekebisha wakati wewe unafanya kitu hiko hiko? Walijisemea waswahili kwamba "usitoe kibanzi kwenye jicho la mtu wakati kwako kuna boriti".
Btw, Huu ushauri unaweza kuwa ni mzuri lakini namna ulivouwasilisha ni kishamba sana. Kama vile unalazimisha kuni-attack yaani kama vile unanisuta.
Mwandiko wako unasomeka vizuri A man..Nianze kwa kuwasalimu wachagiaji wote waliotangalia.
Pili mtaniwia radhi kwa mwandiko wangu.
Kwangu Mimi rafiki ni yule mtu ambaye anakuelewa na yupo tayari kukueleza ukweli bila ya kupepesa macho pale ambapo unakuwa umekosea. Hivyo kama unakuwa na rafiki jiulize je? Huyu niliye nae ni mtu sahihi kwangu.
Kuwa na rafiki ni muhimu sana maana kuna muda unakuwa na changamoto ambazo unatamani kama ungelikuwa na mtu unaemwamini umweleze walau akushauri,
Hivyo tujitahidi kuwa na watu wanaotuelewa katika urafiki wetu
$ There's clear light at the end of the Tannel $
Nakumbuka P ila usijali kubwa katika yote nikupata rafiki atakae kuelawa na kukuheahimu, kujali na kuthamini mchango wako kama wake maana naamini out of site is not out of mind kikubwa ni nidhamu na uaminifu wa dhati katika urafiki wenuMwandiko wako unasomeka vizuri A man..
Nikiwa naandika hii mada nilikumbuka kitu (unakijua).
Asante kwa ushauri, nitajitahidi.
Substantiate
Would like to date u
Trust me imstead
Kutesekaaa..??
That is the battle of trying not to be yourself.
That's Equal to slavery.
Ukwel ulio uchi ni kuwa, we do not have potentials of being good at everything.
Appreciating what you are not good at ni bonge la step Ahead, kwa sbb kati ya mambo yanayorudisha watu nyuma ni kubeba mizigo tusiyoiweza.
Hata katika biashara we believe the best strategy inapatikana kwa kutambua what you are not good at. The same goes to personal life ili uishi fulfilling life.
Time is so limited, tufocus in discovering our potentials, releasing and maximizing them.
Is it okay to have no friends?
Big Yes, ukiona kitu hakijawa emphasized na social norms, sheria and even the bible, kukikumbatia ni kujipendekeza tu.
"Tupendane tu".. na hii haina uhusiano na urafiki kabisa.
Niishie hapa.
Wanna date you
Dont be mean mkuu
Upo sahihi A man..Nakumbuka P ila usijali kubwa katika yote nikupata rafiki atakae kuelawa na kukuheahimu, kujali na kuthamini mchango wako kama wake maana naamini out of site is not out of mind kikubwa ni nidhamu na uaminifu wa dhati katika urafiki wenu
$ There's clear light at the end of the Tannel $
Eti umeniringishia 😊😊Thank you for taking time to advise me Interest.
"you are exceptionally smart. How old are you?". Aww, I'm touched beyond words, 28.
Hizo ni zawadi zangu za siku ya wanawake? Au umeniringishia tuu