Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,590
- 30,686
Katiba inatekelezwa na wanasiasa.Katiba kutoka kwa mwanasiasa ni ile inayompa favour yeye kwanza
So ukimkaribisha mwanasiasa akutengenezee katiba, tegemea mivutano isiyo na maana(kila mtu atatetea kinachompa favour)
Kila kilichomo kwenye katiba kinalenga kutekeleza sera zitokanazo na siasa.
Huwezi kuondoa siasa kwenye mambo ya sheria na sera.
Mivutano hiyo ya kisiasa ndiyo huzaa mustakabali wa kesho ya taifa.
Kabla hujaendelea kuniquote jielimishe kidogo juu ya mifumo ya utawala na sheria.