grysn
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 266
- 35
preshaaaaaaa
kupaaa na kushukaaa__ ni majanga tu kwa hiyo inayo itwa secand round..!!
preshaaaaaaa
Welcome Again to the Central Admission System. You are here because you were not successful in the last round of selections.You are now given the opportunity to select ONLY ONE PROGRAMME among those that are not yet filled to capacity.
Mimi nimeandikiwa hivyo
Matokeo yangu physics C biology B+ chemistry B
1.UDOM
2.UDSM
3.KCMC
4.Ifikara
5.BUGANDO
Wakuu mi nina div 2.12.'D phy,D chem,D adv math' old grad,nimepita first round.je ninitapangiwa wapi
priority
1.civil ud
2.civil ardhi
3.civil d.i.t
4.civil st.joseph
5.civil mbeya uni.
0764531080 wale tulio apply TCU na NACTE nipm watsapp ni wa add kwenye group tuwe tunapeana UPDATE mbali mbali
CAS ishawashinda hawa TCU
Wakuu nimetembelea tcu.go.tz pale kwenye CAS hapafunguki kabisa, hivi tatizo ni nini? Msaada tafadhali!
Hamna kitu must usiende
0764531080 wale tulio apply TCU na NACTE nipm watsapp ni wa add kwenye group tuwe tunapeana UPDATE mbali mbali
Kwa wale wa nacte hii inawahusu.....
0764531080 wale tulio apply TCU na NACTE nipm watsapp ni wa add kwenye group tuwe tunapeana UPDATE mbali mbali
Hiyo ni kwa vyuo vya diploma na certificate
Ni ninyi VIJANA ambao mlikuwa mkitusumbua sana kuomba ushauri jinsi ya kuchagua Program na vyuo,, tuliwashauri kulingana na uzoefu wetu. Kuna watu tumefanya applications sana za ndugu jamaa na marafiki kwa TCU na HESLB, Kuna wakati tulikuwa tunawapa updates ambazo ninyi wengi wao mlikuwa hamzijui na hata mkizijua mlihitaji clarifications kwetu. Kuna wakati niliweka namba yangu ya simu humu JF ili kurahisisha ushauri. Nimetafutwa na watu zaidi ya 100 na tumeelekezana sana.. LEO HII ninyi ndo mnataka group la mliofanya application TCU&NACTE (mnajitenga na JF) na kupeana updates ninyi kwa ninyi, "NAWAULIZA __Ni updates gani mnazozijua ambazo hatuzijui/sizijui?..Nendeni whatsup ila najua mtakuja tena kuomba Clarifications hapa..What if nasisi ambao tulishafanya applications na tushamaliza vyuo tunajaribu kuwasaidien tukaanzisha Whatsup group zetu?
Jamani CAS ikikubali kufunguka tufahamishane maana tangu jana jioni hadi muda huu haifunguki
Mkuu vijana wanaboa sana hawa....mimi nimemwambia mdogo wangu aache presha kwan sifa za kwenda anazo na ninavoskia hadi january
Jamani CAS ikikubali kufunguka tufahamishane maana tangu jana jioni hadi muda huu haifunguki