PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wakuu,
Nimetazama habari ITV, mabasi yote yaendayo mikoani kutokea Ubungo yanatakiwa yawe yamejiunga na CAR TRACKING SYSTEM hadi ifikapo 15.03.2011.
Je wakuu, hii CTS ina umuhimu upi kwa mabasi makubwa?
Na je itadumu kwa muda gani, ukilinganisha na amri zilizopita kama speed governer na mikanda ya usalama kwa abiria?
Je, si mradi wa mtu huu na mwendelezo wa ufisadi?
Nimetazama habari ITV, mabasi yote yaendayo mikoani kutokea Ubungo yanatakiwa yawe yamejiunga na CAR TRACKING SYSTEM hadi ifikapo 15.03.2011.
Je wakuu, hii CTS ina umuhimu upi kwa mabasi makubwa?
Na je itadumu kwa muda gani, ukilinganisha na amri zilizopita kama speed governer na mikanda ya usalama kwa abiria?
Je, si mradi wa mtu huu na mwendelezo wa ufisadi?