Captain Jack Sparrow

Captain Jack Sparrow

Hahahahaa, rango alikua mtu wa fix kinoma. alipoulizwa aliwauwaje Jenkin's brothers kwa risasi moja katika sound zake akasahau mtu wa 7, alipoulizwa vipi kuhusu mtu wa 7 akajibu eti huyo wa 7 alikufa kwa infection. Mpaka leo rango is my favourite animation, na nkiboreka tu naicheki
 
Hahahahaa, rango alikua mtu wa fix kinoma. alipoulizwa aliwauwaje Jenkin's brothers kwa risasi moja katika sound zake akasahau mtu wa 7, alipoulizwa vipi kuhusu mtu wa 7 akajibu eti huyo wa 7 alikufa kwa infection. Mpaka leo rango is my favourite animation, na nkiboreka tu naicheki
Hahaha unakumbuka vyema kabisa na kilochofanya mpaka kumwamini sound zake na kufikia kumpa u sheriff ni pale alipo muua yule eagle kibahati.maskini hata silaha yenyewe hajui kushika vizuri hahaha
 
Guards: this part is prohibited from civilians
Capt Jack: Ooh I haven't came across any, but if I see one I will let you know.

Uwa pananichekesha wakati yeye mwenyewe ni civilian
Hahaha wale malofa wawili wakabaki wanashangaaa
 
Guards: this part is prohibited from civilians
Capt Jack: Ooh I haven't came across any, but if I see one I will let you know.

Uwa pananichekesha wakati yeye mwenyewe ni civilian
Sasa huyo Guard mwenyewe ..alikaa vibaya akaibiwa pochi ya ushuru na Jack
 
Sasa huyo Guard mwenyewe ..alikaa vibaya akaibiwa pochi ya ushuru na Jack
Jack mwizi hatari alimpa ela ya ushuru halafu akamuibia pochi.
Jamaa hatumii nguvu nyingi kufanikisha mambo yake halafu jina lake maarufu sana kuwa ni capt jack sparow pirate hatari sasa wakija muona halafu akijitambulisha wanashindwa kumuani mfano mfalme wa uingereza kwenye pirates of the carribean and the fountain of ...
alikuwa haamini kama jamaa ndiye jack sparow
 
Back
Top Bottom