...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

-Haha.....kuna iana nyingi sana za ngono siku hizi ....na kwa jisi komba alivyo inaweza kondomu isiwe na matumizi sana kwakwe.....
 
eti yule ni mpiga kura wake alikuwa mgonjwa ndio maana alivaa kanga komba akiwa full nguo
komba aalienda kumjulia mgonjwa hali
Kumjulia hali gani?CCM bwana na kujuliana hali kwao, mapambano dhidi ya ukawa yatakuwa magumu sana itabiti tacaid waungane na Mkapa foundation.
 

Ana watoto 9.mke wa ndoa watoto 5 na wengine 4 kila mmoja na mama yake!mpaka hapo umeshamjua kuwa ni mtu wa namna gani
 

kwani ulijui kabila la WANGONI.

kwenye I weka O.
 
Kwani wewe una visasi gani na Komba? Maana umeng'ang'ana na thread hii tokea majuzi! Au ulikuwa dem wake akakugegeda na kukupiga chini nini!?
komba KASEMA ATARUDI MSTUNI.. SASA HAYA NDIO MASHAMBULIZI YA MAPEMAAAA ILI AWAHI HUKO MSTUNI AMBAKO NDIKO ASILI YAKE KOMBA. WAALA USIMSHANGAE HUYU MTOA MADA UNATAKIWA UMSHANGAE HUYU KOMBA KWA KUCHAFUA HALI YA HEWA
 
 
Kuna jamaa juzi alikuwa anasema hizi picha ni Photoshop cjui leo amejificha wapi!!
 
Njia ya mwongo ni fupi akubali yaishe la sivyo kuanikwa hakutaisha.
 

kama ya kwanza imeunganishwa hiyo nyingine haiwezi kuunganishwa >
 
Kuna siku atadai yeye si mwanaume...
 
Kwani wewe una visasi gani na Komba? Maana umeng'ang'ana na thread hii tokea majuzi! Au ulikuwa dem wake akakugegeda na kukupiga chini nini!?


Halafu isitoshe tarehe ya picha inaonesha ilipigwa 6.o1.2004, iweje leo ndo haya yaibuke? angalia tarehe ya picha ya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…