Canada Canada Canada

Canada Canada Canada

Sawa mk
😂😂😂😂 mkuu. Tafadhali nipe ABC sasa hivi nijipange. Inbox au mwaga hapa km hutsjali. Nijue tu in advance
Mmmmmh!! Nisije funguliwa kesi ya kusafirisha watu!! Ha ha ha ... Kwa sbb hapa wewe na mkeo na katoto mnahitajika sana?!!?
Mkuu wewe elimu yako kwanza!?
 
Mmmmmh!! Nisije funguliwa kesi ya kusafirisha watu!! Ha ha ha ... Kwa sbb hapa wewe na mkeo na katoto mnahitajika sana?!!?
Mkuu wewe elimu yako kwanza!?
Nimesoma mpaka baasi. Kidding. Degree ya kudesa 👆👆
 
Nimesoma mpaka baasi. Kidding. Degree ya kudesa 👆👆
FYI.. huko kote nimeshakanyaga kwa kidole Cha gumba!! Niamini Kama hujasoma kwao na kuwa na vyeti vyao hususan..utaishia kazi ngumu zisizo pungua MaSAA 16 ili uweze kumudu maisha!!
Na Saa 4 zitakuwa ktk usafiri wa kwenda na kurudi kazini ..utabakiwa na Saa 4 tu!! Uweze kulsla na kujipikia na kujitunza NK nk!!
2nd Option :- Kama una uzoefu na ujuzi wa kazi za mkono (skill work) basi utapunguza Saa 5 ktk mfumo huo hapo juu !!
Good luck....
Njia zipo nyingi !!
 
FYI.. huko kote nimeshakanyaga kwa kidole Cha gumba!! Niamini Kama hujasoma kwao na kuwa na vyeti vyao hususan..utaishia kazi ngumu zisizo pungua MaSAA 16 ili uweze kumudu maisha!!
Na Saa 4 zitakuwa ktk usafiri wa kwenda na kurudi kazini ..utabakiwa na Saa 4 tu!! Uweze kulsla na kujipikia na kujitunza NK nk!!
2nd Option :- Kama una uzoefu na ujuzi wa kazi za mkono (skill work) basi utapunguza Saa 5 ktk mfumo huo hapo juu !!
Good luck....
Njia zipo nyingi !!
Safi mkuu. Asante kwa analysis.
Mimi actually ni just for passport tu. To start with na mwanangu mpya. Kazi mimi ninayo na sitaiacha. Siyo Canada lkn. Mimi itakua tu ikikaribia Ku expire naenda ku renew. Nikitaka kutembea naenda. Ila nna sehem yangu elsewhere. You get ma point
 
Safi mkuu. Asante kwa analysis.
Mimi actually ni just for passport tu. To start with na mwanangu mpya. Kazi mimi ninayo na sitaiacha. Siyo Canada lkn. Mimi itakua tu ikikaribia Ku expire naenda ku renew. Nikitaka kutembea naenda. Ila nna sehem yangu elsewhere. You get ma point
OMG !! Utakuwa umekosea Sana au kuboronga haswa..! Kusikotabirika!! why(?)... Inshort kupata kitabu Chao NI rahisi ila KERO na adha yao NI endelevu...(uliza waliyo hodhi PP zao)?
KODI zao zitakusubiria na kukufuatilia kipato chako!!
Kuhusu mwanao ..unacheza kamari isiyo na tija!!
(Huyo atakuwa wako au mwana wa Malikia)?
Asije kukukana au akutelekeze !!!? Think
 
OMG !! Utakuwa umekosea Sana au kuboronga haswa..! Kusikotabirika!! why(?)... Inshort kupata kitabu Chao NI rahisi ila KERO na adha yao NI endelevu...(uliza waliyo hodhi PP zao)?
KODI zao zitakusubiria na kukufuatilia kipato chako!!
Kuhusu mwanao ..unacheza kamari isiyo na tija!!
(Huyo atakuwa wako au mwana wa Malikia)?
Asije kukukana au akutelekeze !!!? Think
Sasa wewe unanifinyanga kabisa.
Itabidi kwanza nikutafte inbobo kwanza.
 
Nondo za maana. Ngoja niziingilie prepo usiku huu.
Asante sana. I owe you one.

yeah wasikutishe wanaosema haiwezekani.. inawezekana sana tu, na ikitokea mtoto akaishi huko zaidi ya miaka mitano anauwezo waku-claim kwa serikali kukuhitaji wewe kama sponsor muishi wote kama canadians.

Getting sponsored by your family

If you have close family in Canada such as a spouse, parents, or children who are Canadian Permanent Residents or Citizens, then you can get sponsored through them and call for family union. Through this, you can get on the Family Sponsorship Program which allows you to become a Permanent Resident of Canada.

>> https://visaguide.world/canada-visa/permanent/
 
Back
Top Bottom