Canada and Tanzania to begin negotiations on FIPA

Hivi hawa si ndio wachangiaji wa bajeti yetu...kwanini tusiwaambie kuwa misaada yao tutakuwa tukijikatia huku huku kutokana na kodi ya makampuni yao?
 
2010 hakuna chochote kitakachobadilika. Mafisadi wataiba kura, watatumia vyombo vya dola kuwatisha wananchi na viongozi wa upinzani. Na Watanzania walio wengi ambao wanaishi vijijini hawajui haya ya ufisadi na wengi wao chama cha mafisadi bado ni nambari one.

Hata wasipoiba kura hii mikataba na sheria huwa hazifutwi futwi kirahisi kwa vile tu kuna serikali mpya. Unless tupate jitu moja lije halina mchezo lifukuze ma Karl Peters wote na mikataba yao ya ulaghani kama Uganda ya the 70s, almuradi asichinje wazawa kama Amin!
 
My Take:
If you protect the world largest gold producer, then you don't need to change a thing in our mining policy. It has to be an all or nothing approach. Otherwise, whatever agreement entered should not cover Canadian companies now operating in the country. It should cover any companies that would later enter the country. Vinginevyo, tukubali tu yaishe.

Toka aingie madarakani 2005, na kutoa hotuba ya aina yake bungeni, Muungwana amesisitiza kuwa 'his take' ni 'Win-Win approach. Kwa mantiki hiyo basi lazima wawini tu labda tubadilishe 'our take'!
 
sijui itakuwaje pale makampuni ya nchi nyingine unayatoza kodi kubwa, na makampuni ya canada unayatoza kodi kidogo!, si unaweza kuchonganisha mataifa, halafu uwanja wa tifu ukawa kwenu?
 
Hata wasipoiba kura hii mikataba na sheria huwa hazifutwi futwi kirahisi kwa vile tu kuna serikali mpya. Unless tupate jitu moja lije halina mchezo lifukuze ma Karl Peters wote na mikataba yao ya ulaghani kama Uganda ya the 70s, almuradi asichinje wazawa kama Amin!

Lowassa (kwa hili nilimsifu) alifuta mkataba wa City Water na wao wakaamua kufungua mashtaka UK kwa kujua kwamba watashinda, na ukweli unajulikana kwamba Tanzania ilishinda kesi hiyo. Hivyo basi kama tukiacha woga na kuonyesha jumuiya ya kimataifa ikiwemo UN mikataba tuliyosaini na kampuni za nje ili kuchimba rasilimali zetu haina maslahi kwa Watanzania, popote pale duniani tutashinda kesi.

Tatizo ni hao viongozi wameshakuwa mashare holders kwenye makampuni hayo ya nje na wana wasi wasi kutetea maslahi ya Tanzani kunaweza kuwaathiri au hata kuanikwa hadharani kwamba wao ni mashareholders wa makampuni hayo.

Vinginevyo haiingii akilini kabisa kukaa meza moja na wazungu eti kuhakikisha inapitishwa sheria ya kuyalinda makampuni toka nje na wakati huo huo ukijua kwamba wananchi wenzako wa Kitanzania wameshapiga kelele mara chungu nzima kuhusiana na nchi yao kutofaidika na rasilimali zao.
 
Tanzanian and Canadian government trade experts are expected to start talks later this month aimed at reaching a foreign investment and protection agreement which will safeguard the interests of Canadian investors in Tanzania's mining sector, a government official told Dow Jones Newswires Monday.

The Tanzanian official at the ministry of energy and minerals, said Tanzanian trade and investment experts will start negotiations with their counterparts from the Canadian Department of Foreign Affairs and International Trade.

"Negotiations are an initiative of the Canadian government," he said.

Hapa tumeshaliwa wazima wazima. Inakuwaje majadiliano hayo yaanzishwe na wakanada hao hao kwa ajili ya kulinda maslahi yabo bila kuangalia maslaahi yetu. Naona hiyo ndiyo initiative ya balozi wa Kanada baada ya kugundua kuwa ile lobbying yake effort kule Dodoma ilikuwa noma.

Ningekuwamo kwenye timu ya wabongo itakayowakilisha serikali kwenye majadiliano hayo, nadhani hawa akina Barrick wangenitambua kweli kweli, lakini najua kuwa mtu atakayetuwakilisha pale atatia sahihi makaratasi yote na kufunga kibahasha chake bila hata kuyasoma makaratsi yenyewe. Tukiamka tunaambiwa chini ya mktaba huo, barrick hawatalaipa kodi wala kufanyiwa lolote na serikali ya Tanzania kwa miaka mia. Sitaki kuamini kuwa upuuzi huu una link yoyote na msiba tunaoendelea kuomboleza.
 
Hapa tumeshaliwa wazima wazima. Inakuwaje majadiliano hayo yaanzishwe na wakanada hao hao kwa ajili ya kulinda maslahi yabo bila kuangalia maslaahi yetu. Naona hiyo ndiyo initiative ya balozi wa Kanada baada ya kugundua kuwa ile lobbying yake effort kule Dodoma ilikuwa noma.

Ningekuwamo kwenye timu ya wabongo itakayowakilisha serikali kwenye majadiliano hayo, nadhani hawa akina Barrick wangenitambua kweli kweli, lakini najua kuwa mtu atakayetuwakilisha pale atatia sahihi makaratasi yote na kufunga kibahasha chake bila hata kuyasoma makaratsi yenyewe. Tukiamka tunaambiwa chini ya mktaba huo, barrick hawatalaipa kodi wala kufanyiwa lolote na serikali ya Tanzania kwa miaka mia. Sitaki kuamini kuwa upuuzi huu una link yoyote na msiba tunaoendelea kuomboleza.

Kichuguu, tufanye jitihada tu za kuwajua hao majangili kutoka upande wa Tanzania wanaotaka kuuza uhuru wetu wa kuamua mambo na kulala nao mbele mpaka wawe jobless.
 
Undumilakuwili wa hawa jamaa. Kwanza waliunga mkono jitihada zetu za kuhakikisha tunafaidika na dhahabu yetu, sasa machale yamewacheza wametugeuka. Ni kipi kilichofanya watugeuke?

Canada backs Dar's Mining Review move
November 27, 2007

By Pius Rugonzibwa-The Citizen
The government of Canada has assured Tanzania of a maximum support in the country's efforts to benefit from the mining sector and it is looking forward to see Tanzania achieving this goal.

The assurance has been given by the visiting Canadian Prime Minister Mr. Stephen Harper during a press briefing he made when he addressed Journalists at the State House yesterday.

Mr Harper was responding to a question about how Canada see the initiative of Tanzania in the Mining sector and his views on the loyalty collected from Mining companied in the country. Mr. Harper was in the one day state visit in the country.

In his address, the Prime Minister added that Canada is keen to see cooperation with Tanzania growing with more initiatives in encourage more investors not only in the Mining sectors but also in other sectors like Telecommunication and energy.

"We are looking forward to extend our relationship in various sectors but as far as mining as concerning Canada is really willing to help Tanzania achieve its goals and targets in the sector," said Mr. Harper.

Earlier President Jakaya Kikwete said that Tanzania is intending to review the Mining Law so that the country gets the required share in the sector and not posing a threat to investors. President Kikwete was answering to a question as asked by a Journalist from Canada who wanted to know the position of the Canadian companies in on going enquiries.

from Mzee wa Mshitu @ Mzee wa Mshitu
 
Kichuguu, tufanye jitihada tu za kuwajua hao majangili kutoka upande wa Tanzania wanaotaka kuuza uhuru wetu wa kuamua mambo na kulala nao mbele mpaka wawe jobless.

That is the point,.

Kwanza tuwajue wale wataokotuwakilisha kwe mazungumzo hayo, na natamani sana Marehemu Wangwe angekuwa mmoja wao( niwieni radhi sana kwa kurudi huko).

Tukishawajua jamaa watakaowakilisha interests za Tanzania, basi tuanze kampeini za kuwaimbia muziki mzito sana kuwakumbusha kuwa wasipokuwa makini wakakimbilia tujisenti basi tujisenti hutwo tutawaweza kuwatokea puani. Kujulikana kwa background yao pia kutasaidia sana, na huenda hilo halitachelea sana hapa JF
 
Hivi hawa si ndio wachangiaji wa bajeti yetu...kwanini tusiwaambie kuwa misaada yao tutakuwa tukijikatia huku huku kutokana na kodi ya makampuni yao?
Mafuchila,
They would rather give us peanuts than the power to emancipate ourselves.
The onus will be on the Tanzania officials taking part in this charade. Read: to protect Canadian mining interests and not Tanzania. Hapo ndipo tumeshikwa makende (ashakum)
 
Wazee yote kwangu tisa kilichoniumiza kichwa ni hiki hapa...Tanzania's annual gold output to 1.75 million ounces.
Sasa pigeni hasabu kwa bei ya dollar 800 kwa ounce ambayo ilikuwepotoka mwaka 2006!.. Na kisha fikirieni utabiri wa wataalam wa masoko wanavyosema kuwa kuna uwezekano mkubwa Gold kufikia Usd 1500 ktk miaka 10 ijayo.
Inauma sana ukijua sisi tumeingiza kaisi gani toka 2006...
 
As long as serikali ya CCM haina dira, na basi kila kiongozi ana msimamo wake kwa manufaa yake. Wacanada wana dira na hivyo kuwawin hao watz ni rahisi tu.
Kikao kimoja tu kitamaliza mazungumzo yote na kwa faida ya Canada lakini wawakilishi wa Tz ndio watakaotoka na 'smiles'. Ni kawaida yetu kucheka cheka.
 
Wazee yote kwangu tisa kilichoniumiza kichwa ni hiki hapa...Tanzania's annual gold output to 1.75 million ounces.
Sasa pigeni hasabu kwa bei ya dollar 800 kwa ounce ambayo ilikuwepotoka mwaka 2006!.. Na kisha fikirieni utabiri wa wataalam wa masoko wanavyosema kuwa kuna uwezekano mkubwa Gold kufikia Usd 1500 ktk miaka 10 ijayo.
Inauma sana ukijua sisi tumeingiza kaisi gani toka 2006...

Mkandara hiyo 1.75 million kwa miaka miwili na tukiweka bei ya ounce moja $800 basi hiyo dhahabu imewaingizia wachukuaji $2,800,000,000 tangu 2006 na ukiweka uzalishaji wa mwaka huu utakuwa ni huo huo, kama tungekuwa tunachukua 50% basi inatosha kabisa kujitosheleza bajeti yetu bila msaada wowote. Lakini miaka ya karibuni dhahabu zaidi imegunduliwa Tanzania, na kuna uwezekano hawa jamaa wanaunderstate uzalishaji halisi wa dhahabu maana wanajua kwamba Watanzania tumeshashtuka na ujambazi wanaoufanya.
 
Ndo maana mkapa akaamua kuchimba makaa ya mawe mwenyewe, Rostam na mjombake Hilal sued wakaamua kuchimba almas wenyewe. IPP menerals waliingia kishamba wakaingizwa mjini! waswahili hatuna shukurani kila siku kiwirakiwira!
 
Hivi nayo hii ni SIRI kali? kwa nini hawatoi information yoyote kwa upande wa Tanzania? Jibu la Mheshimiwa Zitto limeshajibiwa? au ndio wanataka "wawahi kuipitisha" baada ya kumuondoa mtetezi wa kutoka CHADEMA Wangwe? Yaani wamefanya Distraction halafu wanaharakisha kabla watu hawajaanza kuongelea na kina Zitto kurudi bungeni nini? Aaaaaaaaaaaah!!
 
Hatupaswi kukata tamaa kwenye vita hii kubwa ,ila naamini kuwa kuna siku tutaibuka washindi wa vita hivi, they can win a battle but not a war ...this is a war.
 
Hatupaswi kukata tamaa kwenye vita hii kubwa ,ila naamini kuwa kuna siku tutaibuka washindi wa vita hivi, they can win a battle but not a war ...this is a war.

mpaka kieleweke,

We need a strategical plan to win the war. They are winning tactical battles, which could add up! Ningependa kujua majina ya hao wawakilishi wetu, tuwe tukiwashinikiza pia. Kuna anayewafahamu?

Kwenye hizi contract kuna options tunaweza kuweka ili kusudu bei ya dhahabu kwenye soko la dunia ikipanda na sisi tuwe tukifaidika vivyohivyo. Wenzetu wanatumia sana hizi "Options".
 
Tanzania, Canada To Hold Talks Later This Mo On Mining Invest
..
...

My Take:

If you protect the world largest gold producer, then you don't need to change a thing in our mining policy. It has to be an all or nothing approach. Otherwise, whatever agreement entered should not cover Canadian companies now operating in the country. It should cover any companies that would later enter the country. Vinginevyo, tukubali tu yaishe.

Asante sana Mzee Mwanakijiji kwa taarifa hii. Ila, tusiwe na Negative thoughts at any time. Hakuna kukubali yaishe.
 
2010 hakuna chochote kitakachobadilika. Mafisadi wataiba kura, watatumia vyombo vya dola kuwatisha wananchi na viongozi wa upinzani. Na Watanzania walio wengi ambao wanaishi vijijini hawajui haya ya ufisadi na wengi wao chama cha mafisadi bado ni nambari one.

Yaani huu ni UPUMBAVU sana kwa serikali yetu. Yaani waongezee wananchi kodi halafu m-protect FISADIZ from TAX HIKE.

Mie naamini kuwa 2010 hakutakuwa na wizi wa kura tu bali kutakuwa na machafuko pia.
Huyu Mh. JK kanyamaza kimya na kuangalia haya yanatendeka. Hata hajazungumzia kile ambacho TBC ilijaribu kuchochea ghasia kule Tarime, hata Waziri wa Habari hajathubutu. Wanajau kuongelea wimbo pamoja na bendera ya Taifa.

Samahani najua natoka nje ya mada lakini inanitia uchungu kuona nchi inajiendea ovyo ovyo na PREZIDAA kakaa kimya tu. Nyie subirini mtaona yatakayotokea huko mbele kama style yenyewe ndiyo hii.

Katika nchi yoyote, KODI ndiyo ya muhimu lakini kwetu tunaanza kubagua nani wa kupunguziwa (WAGENI bin FISADIZ) halafu wananchi wanaendelea kubeba mizigo ya wengine. Bulls**#@t, YES I SAID and am Indume Yene.
 
Back
Top Bottom