Canada and Tanzania to begin negotiations on FIPA

MASWALI KWA WAZIRI MKUU

Kabwe Zuberi Zitto, Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji Umma (Public Investments Accounts Committee).

24/07/2008

Mheshimiwa Waziri Mkuu,

Mkataba wa Kulinda Makampuni ya Madini kutoka Kanada (FIPA) yaliyowekeza nchini Tanzania.

Mheshimiwa Spika, wa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu Ripoti ya Kamati Kuhusu suala la Madini imewekwa wazi na itajadiliwa Bungeni.

Taarifa zilizochapwa katika Tovuti ya Idara ya Uwekezaji na Biashara ya Canada ambayo nimeipata kwa msaada wa Tovuti ya JamiiForums.com zinaoneshwa kuwa Tanzania ipo katika majadiliano na Serikali ya Canada ili kuingia Mkataba wa kulinda Makampuni ya Kanada yaliyowekeza Tanzania (Canada's Foreign Investment Promotion and Protection Agreements - FIPA). Tanzania imekubali kuharakisha mazungumzo hayo kabla Mapendekezo ya Taarifa ya Bomani hayajatungiwa sheria ili makampuni ya Kanada na hasa katika
sekta ya Madini na mengineyo yaendelee kufaidika na Utajiri wetu wa Madini. Serikali ya Tanzania haijatoa Taarifa kuhusu Mkataba huu kwa Umma ingawa majadiliano yanaendelea.

Kwa nini Serikali inakubali ku ‘undermine' Uhuru wa nchi yetu na kuingilia Mamlaka ya Bunge kwa kufanya majadiliano ya kulinda mikataba mibovu na wageni ilhali Ripoti ya Bomani ni suala la Bunge hivi sasa?

Mwisho.


Kuna NW mmoja wa serikali ya Kikwete aliwahi kwenda mbele ya Bunge akiwa na jibu la swali tofauti na lile aliloulizwa. Akalisoma almost lote kabla hajajua kwamba anajibu vitu tofauti na alivyoulizwa. Aliposhtuliwa ikamchukua mda mrefu sana akitafuta jibu la swali sahihi kwa aibu. Spika akaamua kumuokoa akamwambie akapumzike mpaka baadaye.
Kumbe ni tatizo la serikali nzima, kuanzia mtendaji mkuu wa serikali!

Kama hili ndilo swali, na kama Pinda alisema anaenda kupitia mitandao kwanza basi tuna matatizo makubwa kuliko nilivyodhani. Kwa sababu hata kama ni kupinda mambo kisiasa basi wangefanya kwa akili kidogo wakijua kwamba watanzania wa sasa ni tofauti na wale wa 1961.

Swali ni kwa nini serikali ina-undermine Uhuru wa nchi yetu...
Pinda ni mtendaji mkuu wa serikali. Anapaswa kujua (on top of his head) kama kuna mazungumzo yoyote au swala lolote linalo-undermine uhuru wa nchi na ajibu kwa kuwahakikishia watanzania kuwa hilo halipo au lipo na lina manufaa fulani ambalo hayako wazi na afafanue.

Lakini jibu la huyu Mheshimiwa ni kama vile aliulizwa je, serikali inachukua muda kupitia websites za FIPA na JF?

Majibu ya viongozi wetu yatueleza kitu kimoja tu: ni ya uongo. Uongo inabidi kila wakati upangwe. Uongo inabidi kila wakati utathminiwe ili msemaji asije akakutwa off-guard. Na uongo lazima kila wakati upimwe na uongo uliotangulia au utakaofuata kama vitaendana, ndio maana wanakuwa na tahadhari sana ya kujibu hata vitu ambavyo ni kama wimbo wa taifa.

Sio kweli hata kidogo kwamba serikali inaweza kuwa na makubaliano mazito kama hayo halafu Waziri Mkuu wa serikali hiyo hiyo hajui mpaka akasome website.
 
Zitto Kafanya Lipi Kubwa? Badala Ya Yeye Kuishukuru Jf Imekuwa Kinyume Chake?
Na Jf Haijatajwa Ila Zitto Kaipigia Chapuo Kwa Vile Yeye Ni Chadema Na Hii Ndio Source Pekee Ya Habari Kwa Chadema Na Gazeti Lake La Mwanahalisi, Ilitakiwa Yeye Atashukuru Sisi Kwa Kumpa Data Kwake Kama Mbunge Na Gazeti Lake Ambalo Analiendesha Kibiashara.

Halikadhalika unasema kuwa Mwanahalisi ni gazeti la Zitto, duuh mafisadi bwana ........

Kitendo cha Zitto kuitaja JF kama source ya taarifa na ama swali alilouliza Bungeni ni cha kiungwana sana na alipaswa kupongezwa.
 
Mgagagigikoko tungeomba utupe nafasi ya kitaifa kwanza na mambo ya chama tafadhali yapelekwe kunakohusika kwasasa.
Ni ombi..Kwani hapa issue hii ni NZITO na wabunge wako hapa.
Huko bungeni sasa hivi hawajadili mambo ya vyama bi Taifa.
 
Kuna NW mmoja wa serikali ya Kikwete aliwahi kwenda mbele ya Bunge akiwa na jibu la swali tofauti na lile aliloulizwa. Akalisoma almost lote kabla hajajua kwamba anajibu vitu tofauti na alivyoulizwa. Aliposhtuliwa ikamchukua mda mrefu sana akitafuta jibu la swali sahihi kwa aibu. Spika akaamua kumuokoa akamwambie akapumzike mpaka baadaye.
Kumbe ni tatizo la serikali nzima, kuanzia mtendaji mkuu wa serikali!

Kama hili ndilo swali, na kama Pinda alisema anaenda kupitia mitandao kwanza basi tuna matatizo makubwa kuliko nilivyodhani. Kwa sababu hata kama ni kupinda mambo kisiasa basi wangefanya kwa akili kidogo wakijua kwamba watanzania wa sasa ni tofauti na wale wa 1961.

Swali ni kwa nini serikali ina-undermine Uhuru wa nchi yetu...
Pinda ni mtendaji mkuu wa serikali. Anapaswa kujua (on top of his head) kama kuna mazungumzo yoyote au swala lolote linalo-undermine uhuru wa nchi na ajibu kwa kuwahakikishia watanzania kuwa hilo halipo au lipo na lina manufaa fulani ambalo hayako wazi na afafanue.

Lakini jibu la huyu Mheshimiwa ni kama vile aliulizwa je, serikali inachukua muda kupitia websites za FIPA na JF?

Majibu ya viongozi wetu yatueleza kitu kimoja tu: ni ya uongo. Uongo inabidi kila wakati upangwe. Uongo inabidi kila wakati utathminiwe ili msemaji asije akakutwa off-guard. Na uongo lazima kila wakati upimwe na uongo uliotangulia au utakaofuata kama vitaendana, ndio maana wanakuwa na tahadhari sana ya kujibu hata vitu ambavyo ni kama wimbo wa taifa.

Sio kweli hata kidogo kwamba serikali inaweza kuwa na makubaliano mazito kama hayo halafu Waziri Mkuu wa serikali hiyo hiyo hajui mpaka akasome website.

Hata kashfa zote si zililetwa hapa na Samvula?
Sasa wanapojidai hawaijui jf ni unafiki!
Ila kazi aliyoifanya Zitto ni sawa na kumwambia mchawi...Tunaujuwa uchawi wako.

Kuna issue ambayo haijawahi kujadiliwa hapa jf ndani ya miaka miwili hii iliyopita mara ya JK kuapishwa?

Kwani kama ni kweli walikuwa hawaifahamu jf..Basi sishangai kama hawa wafahamu wananchi na hawajui hali halisi ya wananchi.
Wako out of touch.
 
Halikadhalika unasema kuwa Mwanahalisi ni gazeti la Zitto, duuh mafisadi bwana ........

Kitendo cha Zitto kuitaja JF kama source ya taarifa na ama swali alilouliza Bungeni ni cha kiungwana sana na alipaswa kupongezwa.
Historia ya Mwanahalisi tunaijua sisi..Zitto siyo mmiliki wake..tunajua toka enzi za kina Rwakatale mpaka sasa..
 
Halikadhalika unasema kuwa Mwanahalisi ni gazeti la Zitto, duuh mafisadi bwana ........

Kitendo cha Zitto kuitaja JF kama source ya taarifa na ama swali alilouliza Bungeni ni cha kiungwana sana na alipaswa kupongezwa.

Mkuu Mpaka Kiele....., I could not put it clearer!!! Nilipoona ile post ya Mhe Zitto huko mwanzoni mwa thread hii kwa kweli nilipata faraja sana kuona kwamba Mheshimiwa ametumia busara kufikisha ujumbe na kusema kwamba ni info iliyotokea kwanye JF..... Pamoja na kuonyesha ujasiri wa hali ya juu kutoa reference ya source ambayo at one time ilikuwa imehisiwa kuwa ni y kijasusi (I stand to be corrected kama nimevuka mipaka), lakini pia ameonyesha heshima kubwa sana kwa wanaJF kwa kushukuru (in kind)!!!

Viva JF, viva wanaJF, viva wanamapinduzi, viva waTZ wote!!!
 
hivi hii mada ishakuwa nani mmiliki wa mwanahalisi?
nafikiri kwa mwenye kutaka kujua angeanzisha thread sehemu nyengine.
 
John Mnyika, this is special for you kindly click here Watanzania wawakusubiria uwapatie madata huko... please do!
 
Mushi Nimeona Kazi Nzuri Kwani Thread Ya Mziray Na Ripoti Yake Imefutwa Na Hoja Zangu Zimefutwa.lakini Dawa Ya Hoja Ni Kujibiwa Sio Kuzifuta,mkitunyima Nafasi Hapa Wananchi Watahoji Maswali Haya Mtaani. Jf Uongozi Wake Inabidi Ufuatilie Mod Wanaochanganya Mapenzi Kwenye Chama Na Kazi Za Moderator.

Mggkk,

Mbona riport ya Mziray haijafutwa hujatafuta zivuri, next time kuwa na uhakika na kitu unachokisema. Hii hapa
 
John Mnyika, this is special for you kindly click here Watanzania wawakusubiria uwapatie madata huko... please do!

Hayo ni mambo ya vyama...Hapa tuko bungeni...I mean tume connektiwa na wabunge hapa...Na nyie mna yenu...Mmetumwa na mafisadi.

Hii mada hii ni MUHIMU SANA KULIKO CHAMA AMA MTU YOYOTE YULE.

Kwa hiyo Mnyika umwache la sivyo utakuwa unaendelea kuwafanya watanzania wote wajinga.

Usisahahu hii ni jf na Historia inaandikwa hapa...Si ya Afrika tu ndugu zangu wabunge kama mko hapa...Forum hii ni HAZINA KUBWA KWA DUNIA...Kwani hapa ni THE FREE VERSION.

Hii hapa ni UNIVESITY ambayo hakuna hapa Afrika.

Kama ni mara yenu ya kwanza kufika hapa muwe muna take time na kupata dozi zenu.

Na kama mna mawazo yenu mnataka afanyiwe mijadala kabla hamjaiwasilisha bungeni...Basi muilete hapa na muchaguwe mawazo ambayo ni bora na pia applicable.

I mean mahali ambapo kuna vichuguu,miiba,pundamilia,wana vijiji,walalahoi,mafisadi watoto,mafisadi wenyewe,Madiluu,Kunguru asiyependa UTUMWA,Wembe mkali wenye uwezo wa kuchanja makalio a vibaraka,Mahesabu,Bubu anayetaka kusema...Kwa kufupisha...Hata kichuguu kina umaarufu wake kwa kuwa nyumba yenye kuhifadhi mchwa na nguchiro kwa wakati mmoja bila mikwaruzo.

Tunajuwa mafisadi wako humu...Tatizo huu ni wakakti Mungu aliotaka..Hauwezi kupingika tena...Ni kama mtu uwe uwe uchi halafu uwe radhi kuuwa kwa kubisha kuwa umevaa nguo nadhifu!
Mafisadi ni wakati wa kuangalia hili.

Hivyo basi Kasheshe ujumbe wangu ni huu...Kuwa..Kama ukiendelea kuwa attack kina Mnyika na Zitto hapa utaharibu hii mada kwani na sisi tutakwenda kucopy and paste ile JK 11!
 
Tunatakiwa kuendeleza presha ili kuhakikisha kuwa rasilimali za taifa hili zinalindwa na sio kuwaachia vibaka wachache waende kuingia mikataba na watu wa Canada kwa ajili ya kuuza madini yetu.

Pili,ripoti ya Boman lazima ifanyiwe mkakati maalum wa kuhakikisha kuwa wabunge wanaisoma na kuielewa na kisha waipitishe na wahakikishe kuwa wanaongezea mengine .

Huu ni makakati mwingine wa kuhakikisha kuwa hawa jamaa wananufaika kuliko sisi watanzania TUSIKUBALI.
 
suala ameshaulizwa pinda, na apitie hizo webpages alizopewa aje na jibu.....
kusema mkataa kama huo unataka kusainiwa na yeye hana habari, ni sawa na kutuita watanzania wote wajinga.
 
Sasa hapa thx nyingi hivi za nini? Hizi ndizo hua zinawafanya watu washindwe kufanya kazi zao .

Nani alishawahi kumpa mwl thx akitokea darasani amechafuka chaki??

Zito huo ndio wajibu wake wala hakuhitajiki thx ,maana wanaripwa posho kwa siku kwa ajili hiyo.
Hii tabia itakuja fikia hadi mkurgenzi fulani anatoka ofisini kwake watu wanampa thx kwa leo kuja kazini.
Na hii tabia ikiota sugu huwageuza watu kuanza kufanya kazi kwa sifa kitu ambacho ni kinyume na maadili.

Hao wabunge wengine ambao hawajishughurishi ni sawa tu na mwalimu badala ya kuingia darasani yeye anaingia kukata gongo.

Mimi nafikiri tutofautishe wajibu/majukumu na juhudi binafsi.
 
Sasa hapa thx nyingi hivi za nini? Hizi ndizo hua zinawafanya watu washindwe kufanya kazi zao .

Nani alishawahi kumpa mwl thx akitokea darasani amechafuka chaki??

Zito huo ndio wajibu wake wala hakuhitajiki thx ,maana wanaripwa posho kwa siku kwa ajili hiyo.
Hii tabia itakuja fikia hadi mkurgenzi fulani anatoka ofisini kwake watu wanampa thx kwa leo kuja kazini.
Na hii tabia ikiota sugu huwageuza watu kuanza kufanya kazi kwa sifa kitu ambacho ni kinyume na maadili.

Hao wabunge wengine ambao hawajishughurishi ni sawa tu na mwalimu badala ya kuingia darasani yeye anaingia kukata gongo.

Mimi nafikiri tutofautishe wajibu/majukumu na juhudi binafsi.

Mimi nimempa thanks kutokana na ukweli kuwa amesema chanzo chake cha hiyo taarifa,kwani angeweza kutumia website ya Canada kama source yake na hivyo kuficha JF.

Pili ,amemfanya hata Pinda kuja kusoma huku kwani kaliahidi bunge.

Tatu,ameitangaza JF kwa watanzania wengi zaidi na hivyo nategemea kuwa watu hapa wataongezeka .

Wabunge ambao walikuwa hawapajui hapa wataanza kuja kupata somo hapa na hilo litaifanya JF kuweza kufikisha mawazo yake sehemu nyingi zaidi.

Sasa wewe kinakuuma nini?
 
Tunatakiwa kuendeleza presha ili kuhakikisha kuwa rasilimali za taifa hili zinalindwa na sio kuwaachia vibaka wachache waende kuingia mikataba na watu wa Canada kwa ajili ya kuuza madini yetu.

Pili,ripoti ya Boman lazima ifanyiwe mkakati maalum wa kuhakikisha kuwa wabunge wanaisoma na kuielewa na kisha waipitishe na wahakikishe kuwa wanaongezea mengine .

Huu ni makakati mwingine wa kuhakikisha kuwa hawa jamaa wananufaika kuliko sisi watanzania TUSIKUBALI.

Na pia tunamuomba Mh Zitto awa text message viongozi wote na wabunge ili waje hapa.

Waje hapa wakutane na watanzania kutoka kila mahali dunani kote..Watanzania walioko kila university hapa duniani na kila idara na wale wenye shughuli zao bianfsi wako hapa..Wafanyakazi wa mashirika ya kiserikali na yale yasiyo ya kiserikali yako hapa..Ma lobbysts wako hapa...Wanausalama wa Taifa wako hapa...Pia na labda FBI NA CIA...Tunajuwa kuna hao PIG..Hatujui lolote kuhusu wao...Ila Sinclair yuko hapa..Hata kama si yeye personal lakini mwalikilishi yuko hapa..Hapa hoja ikishinda basi haiwezi kushindwa mahali popote pale...Kuna wachambuzi na maswali magumu yenye kugusa pale panapohitajika.

Hapa ni kwenyewe wabunge.

Msipitwe..Kwani mkipitwa hapa mtakuwa mmechemsha kwasababu wapiga kura weniu nao wapo hapa..Na hili linampa tabu Kasheshe na Mgagagigikoko..Kwani wao bado wanayakumbatia maslahi ya NEC kama walivyotumwana MAKAMBA.

Sasa hawajui kuwa chachu ya mapinduzi na uwezo wa Mungu VIME PREVAIL.

Kwa kuwa na BUSARA, Mtajiuzulu...Ama kurudusha mali za Taifa..Halafu muwape wazalendo nchi...Wao watawasamehe mkifanya hivyo.

Kinyume na hapo...MTAKUWA WASALITI NA HISTORIA ITAWAHUKUMU NYINYI NA VIZAZI VYENU.
 
PINDA HATA BALOZI WAKO ANAHUSIKA TANGU MWEZI MARCH HUJUI HIKI?




Embassy, March 19th, 2008
EMBASSY REPORT

Mining Interests Driving Investment Protection Negotiations with Madagascar and Tanzania
Diplomats hope successful talks will prompt investment in agriculture and tourism, while opposition critics hope human rights won't be forgotten in the deals.
By Michelle Collins
Canadian mining interests abroad are at the root of the government's recent push to sign investment protection agreements with developing countries, a drive that now includes Tanzania and Madagascar.

Natural Resources Minister Gary Lunn revealed in a speech to the Prospectors and Developers Association of Canada on March 3 that Canada would be initiating Foreign Investment Promotion and Protection Agreement (FIPA) talks with the two African nations as well as Indonesia.

"The agreements we are negotiating reflect our understanding of the importance of foreign investment as a driver of the mining industry and social and economic development around the world," Mr. Lunn said.

Canada has launched a series of FIPA negotiations, mainly in countries that host major Canadian-owned mining operations, since the Conservatives came to power more than two years ago. While negotiations with India and Jordan have concluded, talks with Vietnam, Mongolia, China and Kuwait are ongoing.

Last year, International Trade Minister David Emerson signed Canada's first FIPA in eight years with Peru, where Canadian direct investment reached $2.3 billion in 2005, including major mining projects. At the time, Mr. Emerson said the investment deal would create "a predictable environment for Canadian investors." Canada currently has 23 FIPA agreements.

Canada's share of the world's mineral production exceeds $40 billion per year. About 1,200 Canadian mining companies operate in 100 countries, including a large number of African nations.

Executive director of the Prospectors and Developers Association of Canada Tony Andrews says the mining industry holds FIPAs in high regard.

"In general, we communicate to the government that we very much support these FIPAs, but we don't single out particular countries," Mr. Andrews says of the current talks. "A FIPA is important because it mitigates some of the risk associated with some of the investing in countries that have weak governments, and possibly conflict as well. It offers some assurances to your investments."


Deals Inspire Confidence: Envoy

While mining appears to be the main thrust behind the rash of FIPA talks, diplomats from Madagascar and Tanzania were hopeful Canadian investment would reach into other areas.

With several Canadian firms operating in Madagascar's mines, Clara Randrianjara, counsellor at the Embassy of Madagascar in Ottawa, says a trade agreement between the two countries is for everyone's benefit. Ms. Randrianjara says Madagascar's growing agriculture and tourism industries may also become important sectors for Canadian investors.

Tanzanian High Commissioner Peter Allan Kallaghe says Tanzania is happy to be among the first African countries Canada has initiated such talks with. Currently, Canada is the largest foreign investor in Tanzania, where Barrick Gold has invested about $1.3 billion since 1999.

"We see this as an instrument to inspire more confidence in the investment climate," Mr. Kallaghe says. "We're very appreciative to the Canadian government agreeing to enter negotiations with us. It is significant of the confidence in us, so we can entice more Canadian companies to invest."

Walid Hejazi, professor of international competitiveness at the Rotman School of Management at the University of Toronto, says these FIPAs are a part of the government's move into foreign economies.

"Canadian companies have expanded globally at a far greater pace than foreigners have invested in Canada," Mr. Hejazi says.

He says Canada's role as a "host country" for investments-for instance, for every dollar that Canada invested abroad in 1970, there was $7 invested in Canada-changed around the year 2000 when Canadian investment abroad surpassed foreign investment into Canada.

"We were very restrictive in foreign investment, we were not a big player," Mr. Hejazi says. "That's changed, now we're out there in a big, big way."


Desperate for a Deal: NDP

International Trade Minister David Emerson says the negotiations with Madagascar, Tanzania and Indonesia are just now getting under way, and he would not speculate on when they might be completed.

"Whenever you put money on the line, you need some security and rule of law and stability in terms of protecting your investment," Mr. Emerson told Embassy on March 13. "It involves a variety of issues including agreements that may be in place with the government in Madagascar."

However, NDP Trade critic Peter Julian says he has very strong concerns about the ongoing FIPA talks with these countries.

Mr. Julian says the Conservative government is disregarding fundamental Canadian values with these agreements because they're "desperate to get a deal."

"We look at Indonesia, there are clear and continuous human rights violations," Mr. Julian says. "This is part of the government agenda, seeming to want to give credibility to countries that have human rights violations. We're seeing that with Colombia."

Mr. Julian says trade agreements should be based on a fair trade model that demands high ethical conduct on the part of companies operating abroad, and says Canada could use such trade negotiations as leverage to demand foreign governments address human rights violations.

While Liberal Trade critic Navdeep Bains also hopes to see labour and human rights issues addressed in the FIPAs, he says they are a good step to improving bilateral relations with these countries, and ultimately toward signing free trade agreements.

"It's a continuation of the work the Liberals have been doing," Mr. Bains says, citing 19 FIPAs signed under the Liberal government with countries in Latin America, the Middle East and Asia.

"Our only concern is that we can't rely solely on FIPA, we should look at how we can sign air agreements, and science and technology investment agreements," he says.

mcollins@embassymag.ca


Comment on this story
DISCLAIMER: All letters received by the editorial department are subject to reproduction in print or web formats. Letters to administration will be kept in confidence and will be acknowledged by the receiving parties. We are unable to acknowledge receipt of every letter received. Fields marked * must be filled.
EMAIL*
NAME*
CITY*
PROVINCE/STATE*
PHONE
(optional)
POSITION
(optional)
MESSAGE DESTINATION* **Choose a destination** Letter to the Editor Website administrator
LETTER/COMMENTS*
 
Huko bongo pia nasikia gharama za matumizi ya cellphones zinapanda.

Samahani sitaki kutoka nje ya mada hii lakini nimeona ni muhimu nigusie hili.

Hayo makampuni yameruhisiwa kutoa cellphone za kuturudisha utumwani na kurudi Afrika wakishakufa kwa cancer na UKIMWI?
Sasa hivi tu hapa USA mkuu wa kitengo cha uchunguzi amesema kuwa cellphone zinawapa watu cancer.

Sasa na mimi nimeamua niwawekee hii link hapa chini na mkipata muda muipitie kwani ni ya mswali na majibu kuhusu uhusiano wa cellphone na cancer.

Sasa kwahiyo tunaweza kusema cellphone ni zaidi ya sigara...Na kwahiyo hapa naona kodi yake kubwa mnataka kumbambikiza mwananchi huyo huyo ambaye hatahivyo matumizi yake yanauwezo wa kumletea madhara.

Toafauti ya cellphone na sigara ni kuwa...Cell phones zinatumiwa na wavutaji na wasio wavutaji wa sigara..Watoto kwa watu wazima.

Hivyo basi...Sisemi matumizi ya cellphone yakomeshwe..NO Hilo haliwezekani..Kwani kabla hawajafanya hivyo ni bora waanze na sigara.

Lakini ata the same time..Tuitumie knowledge ya globalization hapa jf...Tutuutumie uwanja huu kama wazungu wanavyofanya kila mahali duniani kwa neno maarufu sana wanalopenda kulitumia..."NETWORKING"
http://www.cancer.gov/cancertopics/factsheet/Risk/cellphones

NB:Ni matumaini yangu kuwa sasa mnaweza kuwa mumeshawishika kwa kiasi fulani kuhusu kutokubezwa kwa forum hii.
Na kwasababu hiyo basi..Tunaomba majibu kuhusu FIPA.
 
Kama kweli majadiliano hayo ya FIPA yapo.
Basi wale wabunge wazalendo jiungeni na huyo mtu anayeitwa Peter...Peter Julian.

However, NDP Trade critic Peter Julian says he has very strong concerns about the ongoing FIPA talks with these countries.

Mr. Julian says the Conservative government is disregarding fundamental Canadian values with these agreements because they're "desperate to get a deal."

"We look at Indonesia, there are clear and continuous human rights violations," Mr. Julian says. "This is part of the government agenda, seeming to want to give credibility to countries that have human rights violations. We're seeing that with Colombia."

Mr. Julian says trade agreements should be based on a fair trade model that demands high ethical conduct on the part of companies operating abroad, and says Canada could use such trade negotiations as leverage to demand foreign governments address human rights violations.

While Liberal Trade critic Navdeep Bains also hopes to see labour and human rights issues addressed in the FIPAs, he says they are a good step to improving bilateral relations with these countries, and ultimately toward signing free trade agreements.

"It's a continuation of the work the Liberals have been doing," Mr. Bains says, citing 19 FIPAs signed under the Liberal government with countries in Latin America, the Middle East and Asia.

"Our only concern is that we can't rely solely on FIPA, we should look at how we can sign air agreements, and science and technology investment agreements," he says.

mcollins@embassymag.ca

Hapo kwenye red la kuongezea tu ni proper education and social needs.
 
Mimi nasubiri kwa hamu majibu ya waziri mkuu , kama ni kweli serikali inafanya mazungumzo na serikali ya Canada basi hakuna maana ya kuwa na Bunge ! na kuongezea tuu hii itakuwa ni tusi kubwa kwa Bunge letu ...Kama alivyosema Zitto aimake sense hata kidogo kwa serikali kudiscuss issue ambayo bado hiko kwenye meza ya Bunge .

Hii inaonyesha ni jinsi gani Bunge letu linavyotumika kama theatre ya kufanyia mazingaombwe....wanadiscuss issue muhimu nje yapale then wanarudi bungeni kufanya rubber stamping.
 
Mnashangaa ya canada marekani! marekani wameshaanza kusuply rig za kuchimbia mafuta tz! tena wanasema tz kuna priceless skill!

An Oklahoma company secured a $313 million contract to provide drilling rigs to an East African nation by employing a priceless skill that can be practiced free of charge: the ability to form good relationships.

Michael Helvey, CEO and president of Oklahoma City-based Helvey International, on Thursday signed a contract with Nassir Yusuph, director of Petronat International Ltd., a fuel pipeline and storage company based in Durban, South Africa, at a state Capitol ceremony. The contract requires Helvey to build and deliver 10 full-scale drilling rigs and service equipment to the developing East African nation of Tanzania.
 
Back
Top Bottom