LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Kwanza ajue kilichosababisha akavunjwa moyo
Kama kosa lilikuwa lake, ajirekebishe kabla hajavunjwa vipande vya moyo (Kumbuka moyo ulishavunjwa)
Kama kosa si lake amuulize aliyemvunja moyo kwanini ameamua kumvunjia moyo wake,
Apime majibu ya mvunja moyo wake.
Ajiepushe asije akavunjwa vipande vya moyo kwa kuwakimbia wavunja mioyo (asiwe na mahusiano yoyote yanayosababisha uvunjikaji wa moyo)
Apige moyo konde na aamue kuwa sugu na kukubali kuvunjiwa vipande vya moyo, incase ikitokea (kama hawezi kutokuwa na mahusiano, kama mimi babu yenu nisivyoweza)
Ahsanteni kwa kunisikiliza, babu anarudi kitandani.
Babu ukiwa hujalamba ule ugoro wako huwa unakuwa na hekima zaidi.