- Thread starter
- #81
Answer my question plz?Wakoloni wepi mkuu,mnalishwa maneno na agents wa Shetani na ninyi mnaamini.Biblia haikuandikwa na wakoloni,imeandikwa na Waebrania.Kwahiyo hata Wazungu walipelekewa.Mathayo,Luka,Marko,Yohana,Paulo etc. sio Wazungu,hawa ni Waebrania.Hao unaowaita Wakoloni nao walipelekewa Injili na akina Paulo,Petro nk.