Huwa naamini kwamba ni upuuzi kubishania mambo ya imani,kila mtu ana uhuru wa kuamini anachotaka.Believe in Zeus,Apollo,Neptune,Krishna or whatever,ila at time " t" ukweli utajidhihirisha.
Even though the best way is obvious to the intelligent.Hivii, upo mahali ambapo kutoa watoto kafara si tatizo,ushirikina si shida,kunywa damu za watu si shida,child porn si shida,mauaji si shida, unscrupulous sex si shida,hela ya aibu si shida,rape ya vitoto si shida,ushoga, lesbianism si shida,kunywa damu za hedhi si shida,na uovu mwingine mwingi wa aibu unaofanana na huo si shida,halafu unaukandia ukristo na wewe unajiona upo sahihi na salama!!!!!Ajabu sana.Ni Mungu wa ajabu tu anayeweza kuvumilia ujinga na uovu huo.