Calling Jesus God is it a sin? Or an act of devish?

Wakoloni wepi mkuu,mnalishwa maneno na agents wa Shetani na ninyi mnaamini.Biblia haikuandikwa na wakoloni,imeandikwa na Waebrania.Kwahiyo hata Wazungu walipelekewa.Mathayo,Luka,Marko,Yohana,Paulo etc. sio Wazungu,hawa ni Waebrania.Hao unaowaita Wakoloni nao walipelekewa Injili na akina Paulo,Petro nk.
Answer my question plz?
 
Wakoloni wepi mkuu,mnalishwa maneno na agents wa Shetani na ninyi mnaamini.Biblia haikuandikwa na wakoloni,imeandikwa na Waebrania.Kwahiyo hata Wazungu walipelekewa.Mathayo,Luka,Marko,Yohana,Paulo etc. sio Wazungu,hawa ni Waebrania.Hao unaowaita Wakoloni nao walipelekewa Injili na akina Paulo,Petro nk.
Sisi tumeipokea biblia kutoka kwa wakoloni ( watu makatili kuliko shetani), huu ndio ukweli.
Waebraenia wameandikia biblia, ni kweli.
Ila wewe unathibitisha vipi waebraenia waliandika wakiongozwa na roho wa Mungu?
Unathibitishaje waebraenia walivuviwa na roho mtakatifu kuandika waliyoyaandika?
 
Jana nilikuwa napitia kitabu fulani niliyoyakuta yalinifadhaisha sana.

Eti mpaka mwaka 321, AD Yesu alichukuliwa kama binadamu wa kawaida ila akiwa kiongozi wa kiroho mwenye kuheshimika na ushawishi mkubwa.

Uungu wa Yesu uliamuliwa kwa mabishano na kupigiwa kura na wahuni fulani katika mkutano wa Nicaea. Utatu mtakatifu nao haukuwahi kuwepo before ila uliamuliwa na watu tu, katika mkutano wa Constantinople.

Natamani kuandika mengi ila naogopa kukufuru.
To the big extent bible has been changed by corrupt capitalist Western countries, the stories en tales of Jesus are nothing but myth en fix.
 
Mkuu sio vyema kukataa bila kufahamu jambo kwa Kina...Ok mfano wa kwanza👇

Yohana 20:28​

Yohana 20:28 NEN​

Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Sasa soma alichokijibu Yesu kisha uniambie kama kuna haja ya ubishi tena.👇👇👇👇👇


29 Yesu akamwambia, “Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.”

Neema za Mungu ziwe nawe.💪
Ukirudi 17. Yesu naye anasema ana Mungu. Unadhani Mungu ni nani.

Yohana 20:17
Neno: Bibilia Takatifu
17 Yesu akamwambia, “Usin ishike kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu.”
 
Jesus was rejected in Judaism as a failed Jewish messiah claimant and a false prophet by most Jewish.my self i dont believe jesus was a prophet at all he was an imposter and false messiah. In Judaism we considers the worship of any person a form of idolatry like praising jesus is an act of idoltary.

Judaism affirms that Jesus did not fulfill the messianic prophecies by ushering in an era of universal peace as he came to bring sword and diaputes to the people and community.
Matthew 10:34-39 34 reads that

Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. 35 For I have come to turn

“‘a man against his father,a daughter against her mother and daughter-in-law against her mother-in-law(A)—
36 a man’s enemies will be the members of his own household.’[a](B)
37 “Anyone who loves their father or mother more than me is not worthy of me; anyone who loves their son or daughter more than me is not worthy of me.(C) 38 Whoever does not take up their cross and follow me is not worthy of me.(D) 39 Whoever finds their life will lose it, and whoever loses their life for my sake will find it.

What kind of God is that?
 
Jesus was rejected in Judaism as a failed Jewish messiah claimant and a false prophet by most Jewish.my self i dont believe jesus was a prophet at all he was an imposter and false messiah. In Judaism we considers the worship of any person a form of idolatry like praising jesus is an act of idoltary.

Judaism affirms that Jesus did not fulfill the messianic prophecies by ushering in an era of universal peace as he came to bring sword and diaputes to the people and community.
Matthew 10:34-39 34 reads that

Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. 35 For I have come to turn

“‘a man against his father,a daughter against her mother and daughter-in-law against her mother-in-law(A)—
36 a man’s enemies will be the members of his own household.’[a](B)
37 “Anyone who loves their father or mother more than me is not worthy of me; anyone who loves their son or daughter more than me is not worthy of me.(C) 38 Whoever does not take up their cross and follow me is not worthy of me.(D) 39 Whoever finds their life will lose it, and whoever loses their life for my sake will find it.

What kind of God is that?
Mkuu Jesus was a true prophet of God but those who wrote the Bible must have exaggerated the truth en the true story of Jesus,
 
Can you prove that jesus was sent to man kind by god?
𝐉𝐞𝐬𝐮𝐬 is not only the 𝐬𝐨𝐧 𝐨𝐟 𝐆𝐨𝐝. All righteous 𝐩𝐞𝐫𝐬𝐨𝐧𝐬 are 𝐬𝐨𝐧𝐬 𝐨𝐟 𝐆𝐨𝐝 according to the Bible.

Romans 8:14
For all who are led by the Spirit of God are 𝐬𝐨𝐧𝐬 𝐨𝐟 𝐆𝐨𝐝.

Matthew 5:9
Blessed are the peacemakers, for they shall be called 𝐬𝐨𝐧𝐬 𝐨𝐟 𝐆𝐨𝐝.

Job 1:6
Now there was a day when the 𝐬𝐨𝐧𝐬 𝐨𝐟 𝐆𝐨𝐝 came to present themselves before the Lord, and Satan also came among them.

Job 38:7
When the morning stars sang together and all the 𝐬𝐨𝐧𝐬 𝐨𝐟 𝐆𝐨𝐝 shouted for joy?
 
Ukirudi 17. Yesu naye anasema ana Mungu. Unadhani Mungu ni nani.

Yohana 20:17
Neno: Bibilia Takatifu
17 Yesu akamwambia, “Usin ishike kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu.”
Na hapo ndipo sisi wakristo tunapoamini katika Utatu mtakatifu 👇👇👇

Yn 10:30​

Yn 10:30 SUV​

Mimi na Baba tu umoja.

Pia Yohana 17, Yesu anasema.....
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako


Unadhani anamaanisha nini kusema kabla ya ulimwengu Kuwako.
 
Fanatism is an act of believing without reasoning.....how could one to understand a bible should have holy sprite? Did the Bible come for only those who are holy? Where do holy sprite got? This is another tricky used by Christian fanatics after failing to explain logic of their belief.....
No one knows the things of God except by the help God himself.
You keep believing in that pedophile slave merchant who married his stepson's wife.
 
So what was the logic en intention of God to reveal a book that we can't understand? Is God using the policy of you cant convince them confuse them?
Just because something is difficult to comprehend in your human understanding it doesn't mean the thing is not true.

The Bible is one of the easiest books I have encountered in my Life.

The difficulty you're speaking of is not in it but in your heart.

If you want to have a God whom you Know everything about him keep having him, but that will prove him to be weak God as you will be omniscient to him.
 
Take courage, son; YOUR SINS ARE FORGIVEN.”
Forgiven by WHO?

Kama ni Mungu kwa nini asiseme NIMESHAKUSAMEHE DHAMBI ZAKO?

Hear, O Israel: The LORD our God, the LORD is one. (Deuteronomy 6:4)"

"The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel, the Lord our God, the Lord is one. (Mark 12:29)"
 
Yes,this shows how uninformed you are about spiritual matters.Mungu ni Roho, kwa hiyo Yeye kama Mungu hawezi kuandika Biblia.How did He do it,He used the Holy Spirit to write the Bible.Roho Mtakatifu aliwa-vuvia watu and through the instructions of the Holy Spirit,Biblia ikaandikwa.Ni Kama vile Shetani anavyokutumia wewe kumpinga Mungu,the Spirit of the Devil is inside you.

Na kuhusu Mungu wetu kusema,yes anasemwa,asiyesema labda wa kwenu,sasa Mungu asiyesema wa nini,he is a dead God,our God is alive.
si wewe uliyesema kuwa "mungu wako" alisulubiwa msalabani na akafa kwa muda wa siku tatu?

Swali tu la kawaida NI MUNGU GANI AMBAYE ANAKUFA?"

Pili , pindi huyo mungu wako alipofariki ni nani aliyekuwa akiiongoza dunia na kusimamia mambo yote ya viumbe?
 
U
Huwa naamini kwamba ni upuuzi kubishania mambo ya imani,kila mtu ana uhuru wa kuamini anachotaka.Believe in Zeus,Apollo,Neptune,Krishna or whatever,ila at time " t" ukweli utajidhihirisha.

Even though the best way is obvious to the intelligent.Hivii, upo mahali ambapo kutoa watoto kafara si tatizo,ushirikina si shida,kunywa damu za watu si shida,child porn si shida,mauaji si shida, unscrupulous sex si shida,hela ya aibu si shida,rape ya vitoto si shida,ushoga, lesbianism si shida,kunywa damu za hedhi si shida,na uovu mwingine mwingi wa aibu unaofanana na huo si shida,halafu unaukandia ukristo na wewe unajiona upo sahihi na salama!!!!!Ajabu sana.Ni Mungu wa ajabu tu anayeweza kuvumilia ujinga na uovu huo.
Ukristo hauna tofauti na "dini" nyingine za kipagani ambazo zinaamini katika kutoana KAFARA (za UUAJI) ili jambo fulani litimie.

Siwezi kushangaa kumuona mkristo kamtoa KAFARA MWANAWE wa kumzaa maana mafundisho hayo atakuwa ameyapata katika biblia tu.
 
Na hapo ndipo sisi wakristo tunapoamini katika Utatu mtakatifu 👇👇👇

Yn 10:30​

Yn 10:30 SUV​

Mimi na Baba tu umoja.

Pia Yohana 17, Yesu anasema.....
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako


Unadhani anamaanisha nini kusema kabla ya ulimwengu Kuwako.
Imani ya utatu (trinity) ni ya kipagani iliyoasisiwa NICEA nchini uturuki miaka zaidi ya 300 baada ya kuondoka kwa Yesu hapa duniani.

Yesu alifundisha imani ya MUNGU mmoja tu kama hapa chini anaposema

"The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel, the Lord our God, the Lord is one. (Mark 12:29)"

Yesu anawaambia wanafunzi wake kuwa MUNGU WETU NI MUNGU MMOJA.

hapo anakiri kuwa yeye na wanafunzi wake wote wanaabudu Mungu mmoja tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom