Calling Jesus God is it a sin? Or an act of devish?

Binafsi ningependa unieleweshe jambo moja ambalo linanisumbua sana.
Hivi hao wakina Luka, Mathew etc. Ndo waliokuepo wakati wa yesu na ndio walioandika hii biblia yetu?
Hivyo vitabu vinne vya "injili" ukivisoma ni wazi kuwa havijaandikwa na wanafunzi wa yesu
 
Asante mkuu. Swali jingine, walioandika hivo vitabu walikua na uhusiano gan na yesu
Jibu ni kuwa Ambaye hakua mwanafunzi wa Yesu Ni Luka Tu....Yohana yeye ameandika na Waraka wa Yohana pamoja na Ufunuo wa Yohana kisiwani Patmo....

Kuhusu majibu deep nimekwisha jibu nyuma ..tena nimemjibu huyo aliyejaribu kukupotosha....
 
Historia ya Biblia ( Maktaba ) imeainisha waandishi wote wa Biblia....Injili ya Mathayo imeandikwa na Mathayo mtoza ushuru mwenyewe kama ambavyo Yohana alivyoandika Injili ya Yohana Waraka wa Yohana pamoja na Ufunuo wa Yohana (Huku kwenye injili akijiandika kama mtu anayejitazama kwa nje)
👇👇👇👇
It has traditionally been attributed to St. Matthew the Evangelist, one of the 12 Apostles, described in the text as a tax collector (10:3). The Gospel According to Matthew was composed in Greek, probably sometime after 70 CE, with evident dependence on the earlier Gospel According to Mark.

Matthew, Mark, and John were disciples before his death. Matthew and John were chosen to be apostles, so they spent over 3 years with him.

Did any of the Gospel writers actually meet Jesus, which ones?


Answer

10
Follow


Request


More
Ad by Morning Brew

Find out why over 3 million people read this newsletter.
Morning Brew is the free daily email that delivers the latest news from Wall Street to Silicon Valley.
Sign Up


31 Answers
Profile photo for Rick Gutbrod
Rick Gutbrod
, Former atheist, geek, loves science & the Bible!
Answered Apr 11, 2018


Matthew, Mark, and John were disciples before his death. Matthew and John were chosen to be apostles, so they spent over 3 years with him.
Mark on the other hand, may have been too young at the time to be selected as an apostle. He records the following incident in his book.

Only Mark records the above, and since like other writers of the Gospels, never named themselves in any events, neither did he. It would show that he must have followed Jesus and the apostles out to the garden, or saw the crowd that was headed there and tagged along.
Mark was a cousin of Barnabas. The house of his mother, Mary, was a meeting place for the apostles after Jesus’ death, so that indicates that both him and his mother were disciples of Jesus.

Mark went with Barnabas and Paul later on the first missionary trip. for some reason, Mark had to return home. Later he worked again with Paul.
Majibu Hayo hapo 👆👆👆
 
Mijadala kama hii ndiyo ambayo ilimuibua Ahmed Salman Rushdie na andiko lake la 'Aya za Shetani" na hatimaye kuibua taharuki kubwa. Kila mtu ajikite katika imani anayoiamini yeye binafsi.

Tukianza kutafuta kasoro katika imani isiyokuhusu basi nawe uwe mvumilivu katika kukosolewa. Ni lazima tutambue katika misimamo ya kidini ni kama tupo ndani ya nyumba ya chupa, mawe yakianza kurushwa ni dhahiri hakuna atakayebaki salama.

Kama Biblia inaufunua kwa uwazi kabisa Uungu wa Bwana Yesu Kristo, basi fundisho hili libaki hivyo kwa yule anayeaamini. Kama Kurani nayo ina mafunuo yake kupinga fundisho basi ibaki hivyo kwa wale wanaoamini hivyo.

Ila ukweli utabaki kuwa Mungu si kigeugeu kama mwanadamu. Yeye alivyo ndivyo hivyo alivyo, ukipitwa na ukweli wake hiyo ni shauri zake. Cha muhimu ni kuwa mcha Mungu na siku zote kujitahidi kutunza sheria zake.
 
Why does anyone think Jesus Christ is God when he said it is evil thing to say ?

Matthew 9:3-4 (CEV)
3 Some teachers of the Law of Moses said to themselves, "Jesus must think he is God!"
4 But Jesus knew what was in their minds, and he said, “Why are you thinking such evil things?

Mark 10:18 ""Why do you call me good (agathon)?" Jesus answered. "No one is good--except God alone."

So from people who opposed and followed Jesus, some from both sides thought he was claiming to be GOD Almighty. Jesus absolutely rejected this blasphemy and misunderstanding!
Jesus was also called slave of GOD many times. There for in support of the holy scripiture Trinity is a lie from Hell.

Screenshot_20220130-170917_Chrome.jpg
 
Why does anyone think Jesus Christ is God when he said it is evil thing to say ?

Matthew 9:3-4 (CEV)
3 Some teachers of the Law of Moses said to themselves, "Jesus must think he is God!"
4 But Jesus knew what was in their minds, and he said, “Why are you thinking such evil things?

Mark 10:18 ""Why do you call me good (agathon)?" Jesus answered. "No one is good--except God alone."

So from people who opposed and followed Jesus, some from both sides thought he was claiming to be GOD Almighty. Jesus absolutely rejected this blasphemy and misunderstanding!
Jesus was also called slave of GOD many times. There for in support of the holy scripiture Trinity is a lie from Hell.
You need to understand this one first, before you proclaim your nonsense;

Yohana 1:1-5
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
The same was in the beginning with God.
[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
In him was life; and the life was the light of men.
[5]Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.
And the light shineth in darkness; and the darkness comprehended it not.

Conclusively; Jesus is God, for God exists in three forms; Father, Son & Holy Spirit.
 
You need to understand this one first, before you proclaim your nonsense;

Yohana 1:1-5
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
The same was in the beginning with God.
[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
In him was life; and the life was the light of men.
[5]Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.
And the light shineth in darkness; and the darkness comprehended it not.

Conclusively; Jesus is God, for God exists in three forms; Father, Son & Holy Spirit.
Thats a myth just a imagination, can't be a reality
 
Hello wanajamvi,

Ningependa kuchangia bila kuwa upande wowote maana mimi naamini aliyetuumba hana dini wala dhehebu ivyo sipo dini yeyote wala dhehebu lolote.

Aliyetuumba yaani Mungu Baba ambaye ndiye CHANZO HALISI cha mema na mazuri anafanya kazi kwa majira ya jambo husika.tunaona kabla ya kumuumba Adam juu ya nchi kwanza alimuumba kerubi ampe sifa ukisoma Ezekiel 28:13-15 Utaona hilo hata alipoanguka ndipo akaja kufanya uumbaji wa Adam juu ya nchi, Adam nae alipoanguka akaendelea na uumbaji wa nuhu, nae Nuhu alipolewa na kulaani watoto, akaendelea na uumbaji kwa Mussa kwa kuwatoa wanawaisrael utumwani, Mussa nae alipozidiwa na malalamiko akawalaani wanawaisrael ndipo akaambiwa kaanani ni kule ila hutafika, Bado Mungu Baba aliendelea na uumbaji kwa Eliya mtishbi wa kujenga madhabahu Bwana na kuvunja madhabahu za manabii wa baali na yezebeli 1falme 18 ila alipoanguka kwa kujiombea kufa katika 1falme 19:4.

Mungu Baba aliendelea na uumbaji kwa Yesu ambaye nae pia tunaona walimwibia alivyokuja navyo ukisoma mathayo 21:33-43 "Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake."

Yesu ni nabii ukisoma katika Yohana 4:44 "Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe". Hivyo majira ya Yesu ilipofika japo alifundisha watu wa mwabudu Baba lakini kutokana na miujiza aliyofanya na alipouliwa msalabani wakalazimisha kumuabudu yeye. hata ukiangalia sala ya baba yetu aliyowafundisha wanafunzi wake utaona hilo kwa wale waliokatika ukristo watakuwa wanajua hilo.

Lakini Yesu aliwaambia katika:-

Yohana 4:23 "Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu"
So hapa tunaona anayepaswa kuabudiwa ni Mungu Baba maana yeye ndie Muumbaji na sio mwana maana majira yake imepita.

Na Sasa ni majira ya kumuabudu aliyeumba yaani Mungu Baba ambaye ndie CHANZO HALISI ukisoma katika 1wakorintho 15:24-28 tunaona hilo.
 
Point of correction; an imagination, not "a imagination"

Now, bring the reality from a biblical perspective, or stop whimpering.
The entire Bible has been interporoted and extrapolate by selfish capitalist Christian leaders nothing authentic can be picked as per now
 
The entire Bible has been interporoted and extrapolate by selfish capitalist Christian leaders nothing authentic can be picked as per now
If you can't pick anything from the bible, then you ought to stop querying anything from it.
Do it a favor and move a bow.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom