Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,531
- 3,331
Hivyo vitabu vinne vya "injili" ukivisoma ni wazi kuwa havijaandikwa na wanafunzi wa yesuBinafsi ningependa unieleweshe jambo moja ambalo linanisumbua sana.
Hivi hao wakina Luka, Mathew etc. Ndo waliokuepo wakati wa yesu na ndio walioandika hii biblia yetu?