Calling Jesus God is it a sin? Or an act of devish?

Calling Jesus God is it a sin? Or an act of devish?

The Bible is complicated?It's not.You find it complicated because you do not have the Holy Spirit and therefore not a child of God.It's the be Holy Spirit who enables you to understand the Bible.

And what do you mean by being a fanatic.If believing in God and loving him is being fanatic,something I do not believe in,let it be so.
Fanatism is an act of believing without reasoning.....how could one to understand a bible should have holy sprite? Did the Bible come for only those who are holy? Where do holy sprite got? This is another tricky used by Christian fanatics after failing to explain logic of their belief.....
 
Ni upumbavu na kama yesu ni mungu basi hata ebitoke aweza kuwa mungu.
 
Fanatism is an act of believing without reasoning.....how could one to understand a bible should have holy sprite? Did the Bible come for only those who are holy? Where do holy sprite got? This is another tricky used by Christian fanatics after failing to explain logic of their belief.....
Your logic does not match up to God's wisdom,so you can never understand God,his way of thinking and of doing things. He is simply too high for our brains to comprehend and understand,so we just have to accept that what He does is 100% correct.Why,because he loves us and has our best interests at heart.
 
Your logic does not match up to God's wisdom,so you can never understand God,his way of thinking and of doing things. He is simply too high for our brains to comprehend and understand,so we just have to accept that what He does is 100% correct.Why,because he loves us and has our best interests at heart.
So what was the logic en intention of God to reveal a book that we can't understand? Is God using the policy of you cant convince them confuse them?
 
Ni upumbavu na kama yesu ni mungu basi hata ebitoke aweza kuwa mungu.
Hivi huo ujasiri wa kutamka maneno makuu ya makufuru kiasi hiki dhidi ya Mungu aliye hai mnautoa wapi.Mungu awakemee na awafumbe vinywa vyenu kwa Jina la Yesu.
 
Hivi huo ujasiri wa kutamka maneno makuu ya makufuru kiasi hiki mnautoa wapi.Mungu awakemee na awafumbe vinywa vyenu kwa Jina la Yesu.
Mikwala hiyo akampige yehoshafati. Mimi msukulinyungu aniwache.
 
So what was the logic en intention of God to reveal a book that we can't understand? Is God using the policy of you cant convince them confuse them?
You don't understand the Bible because you have turned your back against God.Come back to Him,receive the Holy Spirit and you will understand the Bible.
 
Mfano wako hauna logic kwa kutumia maandiko ya haya biblia kama ifuatavyo;

Mathayo 24:36

“Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye.

Kwenye andiko la hapo juu tunaambiwa sio malaika wala mwana anaijua saa ila baba peke yake. Ni sawa na kusema Samia akiwa rais wa nchi haifahamu Katiba ya CCM hadi awe mwenyekiti wa chama.



Yohana 5:30

30 Mimi siwezi kufanya jambo lo lote kwa mamlaka yangu mwenyewe. Mimi nahukumu kufuatana na jinsi Mungu anavyoniambia. Na hukumu yangu ni ya haki kwa kuwa sitafuti kufa nya nipendavyo, bali nafanya mapenzi yake yeye aliyenipeleka.”

Hapo kwenye andiko la juu, inaonesha Yesu kuna mtu aliyempeleka imetumika neno yeye nafsi ya tatu wakati Yesu katumia mimi nafsi ya kwanza.

Marko 10:18

Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.


Hapo kwenye andiko la juu amekataa kuitwa mwema ila Mungu peke yake.


Yohana 14:28

28 Kumbukeni nilivyowaambia, ‘Ninakwenda, na nitarudi.’ Kama kweli mngalinipenda mngefurahi, kwa kuwa nakwenda kwa Baba; na Baba yangu ni mkuu kuliko mimi.

Hapo juu kwenye andiko hili amenukuu mwenyewe anaenda kwa baba ambaye ni mkuu kuliko yeye. Ukisema Yesu ni Mungu inamaana yeye na baba Kwa maneno yake wamezidiana.



Kwenye maandiko ya juu unaweza kusingizia alikuwa kama anawafundisha kama binadamu. Vipi kwenye haya maandiko ya chini yupo yeye peke yake analia kwa baba?​

Mathayo 26:39

Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali: “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki kinipite; lakini isiwe nitakavyo mimi, ila utakavyo wewe.”

Mathayo 27:46

Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Sijaona watu wanao amini Yesu ni Mungu wakijibu hapa jamaa umemaliza atae bisha aamue tu kukaza fuvu mwenyewe.
 
Fanatism is an act of believing without reasoning.....how could one to understand a bible should have holy sprite? Did the Bible come for only those who are holy? Where do holy sprite got? This is another tricky used by Christian fanatics after failing to explain logic of their belief.....
Hahahahahah all tricks and Contradictions in da Bible you need to read by using
Holly spirit and blaa blaa!

Hawa watu Wana vituko Sio kidogo,yaani wanaamisha vitu watu ambavyo hata wao ni ngumu kuviapply katika uhalisia!


Holly sprite sijui holly spirit etc
😁😁😁😁🔥
 
Why does anyone think Jesus Christ is God when he said it is evil thing to say ?

Matthew 9:3-4 (CEV)
3 Some teachers of the Law of Moses said to themselves, "Jesus must think he is God!"
4 But Jesus knew what was in their minds, and he said, “Why are you thinking such evil things?

Mark 10:18 ""Why do you call me good (agathon)?" Jesus answered. "No one is good--except God alone."

So from people who opposed and followed Jesus, some from both sides thought he was claiming to be GOD Almighty. Jesus absolutely rejected this blasphemy and misunderstanding!
Jesus was also called slave of GOD many times. There for in support of the holy scripiture Trinity is a lie from Hell.
Yesu anasamehe dhambi ya ulimwengu.. kwani mtoto wa Mungu ni nani?

Yohana Mtakatifu 3:16
 
Hahahahahah all tricks and Contradictions in da Bible you need to read by using
Holly spirit and blaa blaa!

Hawa watu Wana vituko Sio kidogo,yaani wanaamisha vitu watu ambavyo hata wao ni ngumu kuviapply katika uhalisia!


Holly sprite sijui holly spirit etc
Hata wenyewe wanajua kwamba wanacho fanya sio ila kwasabb christinity and Bible has turned to be source of income to some lazy men, can't tell pple the truth, that Bible is full of contradictions.
 
Hapa keshaweka miwani ya mbao. Huwa wanakuja na porojo za hauwezi kuelewa hadi roho mtakatifu.
Hawa watu ni waongo wakubwa hakuna holly spirit Wala holly sprite,nilishawahi ishi na mjomba mlokole nimemaliza kidato Cha nne tu nikaenda kwake kupumzika Ili nirefresh mind basi Kwa sababu Mimi nilikua Sina Imani na Hizi Abrahamic Religion since nipo kidato Cha pili ila yeye Alikua hajui nilivyo,
Jumamosi Moja akanambia aaah unajua kanisa letu Lina upako Sana na inabidi twende kwenye ibada ya maombezi,nilishindwa kumkatalia na kumuweka wazi juu nachokisimamia nilitaka bisha nikaona nitamdisapoint basi
Tukaondoka mapema pamoja na binadamu mpaka church
Kufika pale watu wamefurika Hata Kwa kukaa shida basi tukapata siti pale kibishi tulikuta wanaita kusifu na kuabudu kumeanza,
Baasi mchungaji akaingia akafungua ibada ya kukemea mapepo pale ila nikaona wanawake ndio wengi Sana wenye frustration zao wakianguka na kugala gala chini nikawa nazoom tu ule usanii
Mchungaji akaita hivyo holly spirit kwangu sikuona connection yoyote zaidi ya michosho tu

Basi Sasa kumbe mjomba Ile kunipeleka kwenye Lile kanisa lao alijua sijui nitakua na mapepo maaana binamu ndio alinifunulia Siri kusema eti kisa nimetoka Kwa bibi kijijini na bibi yangu namjua ana practice Sana tamaduni basi ankori akajua nitalipuka mapepooo niliyotoka nayo bush 😁😁🔥
Na ndio maana church alimwambia binamu akae karibu yangu maana lazima nitaanguka tu
Kile kitendo Cha Mimi kutoanguka na kua normal kama hakuna kitu limetokea kilimuudhi na kumdisapoint Ankori na kumkata mood Sana
Sasa Mimi nilivyogundua hivyo kesho yake jumapili tukaenda ibada kuu Ili nimuoneshe Mimi ni Mtu wa aina Gani ulivyofika Muda wa kumpandisha Roho mtakatifu nikasimama niki act kukemea mapepo Kwa Nguvu huku natembea tembea napishana nae nikimzoom naona ananiangalia na kupigwa na butwaa Sana

Tulivyo Rudi home akasema nimeona umempokea Roho mtakatifu mpaka unanena Kwa Lugha daa nimeshangaa nikamjibu aaaagh Mimi mbona niliokoka kitambo Sana na kule home nilipokua shule nilikua kiongozi wa maombi
Zote hizo zilikua ni fix na usaniitupu mpaka Leo anajua hivyo kunihusu ila ukweli naujua Mimi!
Covax
😂😂😂😂😂🔥🔥
 
Human being mimi nafanya Mungu alichoniagiza katika 2 Timotheo 2:24-26,
ni mtumwa nisiye na faida.2Tim2:24-26
inasema,"24Tena haimpasi mtumwa wa Bwana kuwa mgomvi; bali kuwa mwanana kwa watu wote, awezaye kufundisha, mvumilivu;
25 akiwaonya kwa upole wao washindanao naye, ili kama ikiwezekana, Mungu awape kutubu na kuijua kweli;
26 wapate tena fahamu zao, na kutoka katika mtego wa Ibilisi, ambao hao wametegwa naye, hata kuyafanya mapenzi yake."

Human being wewe upo kwenye mtego wa yule Asi,yaani Shetani,kwa hiyo sina budi kukusaidia.Katika hali ya kawaida haiwezekani mwanadamu aliyeumbwa na Mungu kukataa mafundisho yenye uzima,lakini najua huu ndio muda wa tabia hizo kwa wanadamu.Katika kitabu cha 2Timotheom 4:3 tunaona maneno haya,
"3 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti;
4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
5 Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiliza huduma yako."

Human being,akili za Mungu ziko juu sana,na wakati mwingine hatutaelewa what he puts accross to us.Ndio kuna mambo kwenye Biblia ambayo hata mimi sielewi,nikitumia my logic.Lakini hekima ya mwanadamu ni upumbavu the Bible says.Busara na hekima ingekuwa hivi,Mungu yuko sahihi,I am wrong.To me,if the Bible is wrong,nothing is right,huu ndio misimamo wangu.
Umeweka msimamo wa kuamini kila kilichoandikwa kwenye biblia.
Ambacho unasahau, biblia imeandikwa tu na watu. Wala hakuna uthibitisho kwamba waliandika wakitekeleza maagizo ya miungu.
Wala hakuna miungu iliyotuonesha kuwa inataka tufate biblia kama njia sahihi, ni wakoloni waliokuja Tanzania ndio waliamua haya yote na si miungu.
Unasoma biblia amabayo ni maneno na hadithi za wakoloni na si maneno ya miungu.
 
Hawa watu ni waongo wakubwa hakuna holly spirit Wala holly sprite,nilishawahi ishi na mjomba mlokole nimemaliza kidato Cha nne tu nikaenda kwake kupumzika Ili nirefresh mind basi Kwa sababu Mimi nilikua Sina Imani na Hizi Abrahamic Religion since nipo kidato Cha pili ila yeye Alikua hajui nilivyo,
Jumamosi Moja akanambia aaah unajua kanisa letu Lina upako Sana na inabidi twende kwenye ibada ya maombezi,nilishindwa kumkatalia na kumuweka wazi juu nachokisimamia nilitaka bisha nikaona nitamdisapoint basi
Tukaondoka mapema pamoja na binadamu mpaka church
Kufika pale watu wamefurika Hata Kwa kukaa shida basi tukapata siti pale kibishi tulikuta wanaita kusifu na kuabudu kumeanza,
Baasi mchungaji akaingia akafungua ibada ya kukemea mapepo pale ila nikaona wanawake ndio wengi Sana wenye frustration zao wakianguka na kugala gala chini nikawa nazoom tu ule usanii
Mchungaji akaita hivyo holly spirit kwangu sikuona connection yoyote zaidi ya michosho tu

Basi Sasa kumbe mjomba Ile kunipeleka kwenye Lile kanisa lao alijua sijui nitakua na mapepo maaana binamu ndio alinifunulia Siri kusema eti kisa nimetoka Kwa bibi kijijini na bibi yangu namjua ana practice Sana tamaduni basi ankori akajua nitalipuka mapepooo niliyotoka nayo bush
Na ndio maana church alimwambia binamu akae karibu yangu maana lazima nitaanguka tu
Kile kitendo Cha Mimi kutoanguka na kua normal kama hakuna kitu limetokea kilimuudhi na kumdisapoint Ankori na kumkata mood Sana
Sasa Mimi nilivyogundua hivyo kesho yake jumapili tukaenda ibada kuu Ili nimuoneshe Mimi ni Mtu wa aina Gani ulivyofika Muda wa kumpandisha Roho mtakatifu nikasimama niki act kukemea mapepo Kwa Nguvu huku natembea tembea napishana nae nikimzoom naona ananiangalia na kupigwa na butwaa Sana

Tulivyo Rudi home akasema nimeona umempokea Roho mtakatifu mpaka unanena Kwa Lugha daa nimeshangaa nikamjibu aaaagh Mimi mbona niliokoka kitambo Sana na kule home nilipokua shule nilikua kiongozi wa maombi
Zote hizo zilikua ni fix na usaniitupu mpaka Leo anajua hivyo kunihusu ila ukweli naujua Mimi!
Covax
Hahaha ulimsanifu jomba ako kweli,
 
Hahaha ulimsanifu jomba ako kweli,
hahahah nikikumbuka Lile game nililomchezea Halafu kina mathanzua humu jamvuni ndio waje na bla bla humu kunambia sijui Holly sprite sijui holly spirit Ili kuniconvice nawozoom na kusema hiii bha ghoshaaaa!
😁😁😁😁🔥🔥
 
Umeweka msimamo wa kuamini kila kilichoandikwa kwenye biblia.
Ambacho unasahau, biblia imeandikwa tu na watu. Wala hakuna uthibitisho kwamba waliandika wakitekeleza maagizo ya miungu.
Wala hakuna miungu iliyotuonesha kuwa inataka tufate biblia kama njia sahihi, ni wakoloni waliokuja Tanzania ndio waliamua haya yote na si miungu.
Unasoma biblia amabayo ni maneno na hadithi za wakoloni na si maneno ya miungu.
Narudia tena,na naomba unielewe,yes Biblia imeandikwa na watu,lakini watu wenye uvuvio wa Roho wa Mungu,akiwaongoza kuandika waliyo andiko.Kwa sababu hiyo kila neno kwenye Biblia lina pumzi ya Mungu kwa hiyo linafaa kuwa-adabisha watu,kuwaongoza na kuwa-onyesha makosa yao,ili waweze kuishi sawa sawa na mapenzi ya Mungu,2Timotheo 3:16👇 "Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki."
 
Narudia tena,na naomba ulewe,yes Biblia imeandikwa na watu,lakini watu wenye uvuvio wa Roho wa Mungu,akiwaongoza kuandika waliyo andiko.Kwa sababu hiyo kila neno kwenye Biblia lina pumzi ya Mungu kwa hiyo linafaa kuwa-adabisha watu,kuwaongoza na kuwa-onyesha makosa yao,ili waweze kuishi sawa sawa na mapenzi ya Mungu.
Unathibitishaje wameandika wakiongozwa na Roho wa Mungu. Umeambiwa tu na wakoloni wakatili kwamba biblia ni maneno yenye pumzi ya Mungu. Umeambiwa tu
 
Narudia tena,na naomba unielewe,yes Biblia imeandikwa na watu,lakini watu wenye uvuvio wa Roho wa Mungu,akiwaongoza kuandika waliyo andiko.Kwa sababu hiyo kila neno kwenye Biblia lina pumzi ya Mungu kwa hiyo linafaa kuwa-adabisha watu,kuwaongoza na kuwa-onyesha makosa yao,ili waweze kuishi sawa sawa na mapenzi ya Mungu,2Timotheo 3:16 "Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki."
My simple question is here when was the bible revealed? en when was it written after its revelation?
 
Unathibitishaje wameandika wakiongozwa na Roho wa Mungu. Umeambiwa tu na wakoloni wakatili kwamba biblia ni maneno yenye pumzi ya Mungu. Umeambiwa tu
Wakoloni wepi mkuu,mnalishwa maneno na agents wa Shetani na ninyi mnaamini.Biblia haikuandikwa na wakoloni,imeandikwa na Waebrania.Kwahiyo hata Wazungu walipelekewa.Mathayo,Luka,Marko,Yohana,Paulo etc. sio Wazungu,hawa ni Waebrania.Hao unaowaita Wakoloni nao walipelekewa Injili na akina Paulo,Petro nk.
 
Back
Top Bottom