Cakes for devorce..

Cakes for devorce..

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,413
ImageUploadedByJamiiForums1370569898.381841.jpg

.......
 
Maana yake baada ya kusign divorce mnasherehekea? ikiwa hivyo nina daught hata kwenye msiba kutakuwa na kukata keki watu wataanza kusema haya mama na baba wa marehemu wapite mbele kulishwa keki.
Najiuliza keki ni tamu na ukilishwa au ukila unasikia utamu unatabasamu sasa pale unakuwa na mtu mliyegombana na mnaachana mkianza kulishana keki ya utamu ili kuachana si mtalishana denda tena aaaah mambo ya wazungu haya kichwa kinauma!!
 
mambo yakianza kuwa magumu unafanya booking ya keki....good!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom