Kiswahili ndiyo inayokusumbua . Mwenye vyombo vya dola na vya maamuzi ni Rais na amekabidhiwa report.Kazi ya kudhibiti huwa anaifanya lini?
Kichwa maji kwenye ubora wako
Nilidhani u mjuzi na mbobezi katika sheria na siasa, kumbe debe tupu. Hivi hujui katiba inamlinda CAG, hivyo hawezi kutoka au kuondolewa kirahisi hivyo kwa matamko.CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za SERIKALI.CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Hata akitimuliwa still bado ya awamu iliyopita hayajifichi.CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Tulifika pabaya Sana aisee KILA hakimu alijitahidi kumfurahisha jiwe kwa kuwanyima Dhamana wapinzani ikiwemo kuwafunga pasipo ushahidi lengo tu wazawadiwe ujaji na jiwe.Lkn Mungu ni mwema.Nchi ilianza kwenda vizuri na Wananchi tukaanza kuelewa maana ya CAG na kumuheshimu wakati wa Utou hata Assad tulikuwa tumeshaanza kustaarabika na kujua na kuona umuhimu wa CAG.
Wapori pori walipoingia madarakani hata heshima ya Majaji na Mahakama haipo tena HAKIM anawapiga faini Chadema million 370 kwa kesi ya kubambikizwa mauaji bila kumleta muuaji aibu ya karne nahaita sahaulika milele Agullina Rip
Kwa mujibu wa Ndugai iyo ofisi inagaliwa na bunge. Umesahau walivyomkagua Pro AssadiHivi ofisi ya CAG inakaguliwa na nani?
Mtasema yote lakini ukweli utabaki kuwa shetani mtu kafa!CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Sukuma gang kama ingekuwa ni wagonjwa wa ukimwi nyinyi mngekufa mapema,mnatakiwa mkubaliane na hali kwamba zamu yenu imepita,CAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Sheria zinasemaje, kwa maoni yangu nadhani ukaguzi ufanyike kila mwezi ndipo unaweza dhibitiCAG ana kazi kuu mbili ya kwanza kudhibiti na ya pili kukagua, cheo chake anaitwa Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali.
Ninavyomuona anajikita kwenye kukagua mahesabu kuliko kudhibiti. Hiyo ripoti aliyosoma CAG yenye madudu kibao inamhusu, yeye alikuwa wapi kudhibiti yasitokee? Ni mzembe, kazi ya udhibiti hakufanya angefanya hayo madudu hayangetokea.
Napendekeza atimuliwe kwa kutotimiza wajibu wake wa kudhibiti, kakalia tu kukagua kasahau kazi ya kudhibiti. Huyu CAG ni mzembe.
Hivi ofisi ya CAG inakaguliwa na nani?
Inaonekana unayajua ndo mana unalaumuYataje wewe
Hii mada iko juu ya uwezo wako wa akili kaa nayo mbal
Kichwa maji mvua inanyesha kinga majiMmeanza umavi wenu