CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

CAG mstaafu mh Uttoh amesema hakuna shirika la ndege lolote duniani lililowahi kupata faida katika miaka ya mwanzo ya operations zake.

Kuhusu gawio mh Uttoh amesema dividend hutolewa baada ya biashara kupata faida na huamuliwa na bodi kiasi gani cha faida kigawiwe kama dividends
Uttoh amesema kwa uelewa wake ATCL haijawahi kulipa dividend kwa serikali, na kama kuna fedha ziligawiwa kwa serikali na ATCL hicho ni kitu kingine siyo dividend

CPA Uttoh amesema kimsingi mashirika ya umma hayapaswi kulipa dividend kwa sababu hayafanyi biashara na ametoa mfano UDSM wanalipa dividend serikalini kwa biashara gani wanayofanya?!



Source: ITV kipindi cha Kipima Joto
Hakuna MTU anakataa hii ila tunachokataa ni uzushi wa meko kuwa ATCL limepata faida ya bil 28, hicho ndicho tunachokataa, meko Bora Mungu alimuondoa heartless man!
 
Bak na Tindo hawana concepts yeyote juu ya uchumi na maendeleo utakesha mkuu na mbaya zaidi hawa taking Kujifunza , waulize nini maana ya elumu bure na impacts zake katika jamii? anaweza usiongeze mishahara uka chagua kutoa elimu bure maana yake mfanyakazi akipata pesa yake hachangii tena kwenye elimu inabaki kuwa yake mfukoni, naweza kukuongezea mshahara nikapandisha riba za mikopo, elimu ikawa ghari, huduma za jamii zikawa ghari na usione faida ya salary increments.
Hapana sera ya fedha hairuhusu hili..... Huwa ukaleta contractual monetary policy alafu wakati huo huo unataka kutanua Broad money (M3) !! Haiwezekani

Ukiona mishahara inapanda ina maana serikali inataka expansionary monetary system ili fedha isambae kuchochea uchumi so ikifika stage inataka kucontract ndio itapandisha some costs au taxes ili kurudisha pesa serikalini. Ila hayawezi tokea kwa mkupuo yanaachana ata least miaka kadhaa.

So elimu bora inaweza coincide na mishahara kupanda bila kuathiri mfumuko wa bei.
 
CAG mstaafu mh Uttoh amesema hakuna shirika la ndege lolote duniani lililowahi kupata faida katika miaka ya mwanzo ya operations zake.

Kuhusu gawio mh Uttoh amesema dividend hutolewa baada ya biashara kupata faida na huamuliwa na bodi kiasi gani cha faida kigawiwe kama dividends
Uttoh amesema kwa uelewa wake ATCL haijawahi kulipa dividend kwa serikali, na kama kuna fedha ziligawiwa kwa serikali na ATCL hicho ni kitu kingine siyo dividend

CPA Uttoh amesema kimsingi mashirika ya umma hayapaswi kulipa dividend kwa sababu hayafanyi biashara na ametoa mfano UDSM wanalipa dividend serikalini kwa biashara gani wanayofanya?!



Source: ITV kipindi cha Kipima Joto
Watanzania ni wabishi sana naturally ata uwe na elimu gani ukishapewa chakula na watoto basi wakati wowote mtu anaweza kusimama na kuongea ilivyokuwa si sahihi.

Huwezi ku-invest ndege 8 kwa nchi maskini kama Tanzania kwa kutegemea hasara lakini kwa sababu hili limetokea Tanzania then kila mtu anapanua mdomo wake naye aongee chochote.
 
Uttoh kanikosha hapo kwenye 'UDSM wanalipa gawio serikalini kwa biashara ipi?'. Ni ujinga vyuo vya elimu kutoa gawio serikalini.

Kama vina hela za nyongeza viboreshe elimu vitoayo (vyote vinatoa elimu ya kiwango cha chini). Chuo kipi bongo kimeweza kujiboresha kufikia kusema kimebaki na hela ya ziada? Wabongo kwa kuchezea elimu hatujambo
 
Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
Mishahara inaongezwa sio considering tu inflation na interest rate pekee ila angalia time value of money na Exhange rate parity hvi laki 5 ya 2015 na 2020 zinafanana hata kma utapunguza makato?

Shida tunaangalia tu domestic market huku unasahau bidhaa nyingi tunaagiza nje sasa kama hela haipandi thamani (Peg kwa dollar) na mishahara haiongezwi automatically thamani ya pesa inashuka so vitu ambavyo ungenunua 10 mwaka 2015 kwa sasa utanunua 8 au 7.

Kingine mishahara ikipanda ni kuchochea tu uchumi enterprise zikue mwishowe serikali itakusanya kodi yake. Uchumi ni macro effects haupimi kwa kuangalia tu wanufaika wa mishahara bali quotiemt itakayokua spent kwenye uchumi mfano ujenzi,consumption etc so tusibeze increments maana tukienda kwa staili hii mtadai walimu Hawalipi daladala so imeshusha cost cjui walimu hwanunui nguo ssa wanapewa shuleni so inashusha cost.... Liquidity ni liqudity tu service haiwezi fidia au kuwa mbadala wa liqudity/velocity kma kichocheo cha uchumi kutanuka.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Huyo uttoh hapo amesema out of context, amekwepa hoja.

Kuweka kumbukumbu sawa.
-ATCL ilianzishwa mwaka 1977 (Hivyo imekuwa akifanya biashara kwa zaidi ya miaka 40 sasa).

-Ndani ya miaka mitano iliyopita serikali imewekeza zaidi ya Trilioni 2 (zaidi ya bilioni 2000) kwa kununua ndege mpya kwa cash ili kuiwezesha ATCL kutengeneza faida kubwa.

-Mwaka 2018 ATCL ilitangaza kupata faida ya zaidi ya bilioni 28.

-Kila mwaka, tangu mwaka 2018 mpaka 2020 ATCL imekuwa miongoni mwa mashirika ya serikali yaliyotangazwa na waziri wa fedha kuwa yanaipa serikali gawio.

-Mwaka huu CAG imesema kwa mwaka 2019/20 pekee ATCL imepata hasara ya zaidi ya bilioni 60, na kwa miaka mitano mfululizo ATCL imekuwa ikivuna hasara tupu, na hakuna mwelekeo wowote wa ATCL kuja kupata faida ikiwa mwenendo wake wa kisasa kiuendeshaji hautabadilishwa.

Tulitaka Uttoh ajikite kujadili hizo 'facts' kwanza kabla ya kudandia vioja vya kuokoteza kwa mataga.
1. Kama kulikuwa na faida kwanini walikuwa wanakwepa kukaguliwa kwa hilo shirika? Kungekuwa mambo shwari nakuhakikishia wasingesita kukaguliwa

2. Kwa kukosekana uwazi kwenye biashara zao unafikiri tukisema walikuwa wanapika data tutakosea?
 
Kama ATCL ililkuwa inalipa Bilioni 28 serikalini ili hali inapata hasara, basi hiyo walikuwa wanachukulia kama EXPENSE katika vitabu vyao. Sasa swali walikuwa wanalipa hiyo expense jina gani, hapo sasa yeye kama mhasibu anaweza kulidadavua hilo katika vitabu husika.

Kwa maana hiyo kama bilioni 28 ni expense ambayo kimsingi haikutakiwa kulipwa, ingerudishwa ATCL, bado shirika lingepata hasara ya 60-28 = bilioni 32.

Hii ni book keeping ya form 4.
 
Fly emirates halipati faida? Emirates imekuwa ikipata profit mpaka 2019/2020 due to Covid-19 impact before that it has been making big profit.
Kwa report ya mwezi march emirates imepata faida ya AED 1.7 billion ambayo kwa US dolla ni $456 million ambapo kwa pesa yetu ya madafu ni sawa na shilingi 1,057,450,320,000.00
 
Maelezo marefu lakini siyo ya kweli. Kama maelezo yako uangekuwa sahihi, kUsingekuwa na mashirika binafsi ya ndege.

Umeongea kwa kudhania kuwa mashirika yote ya ndege yanamilikiwa na serikali. Usichangie kitu kama huna uhakika.

Profit per passenger at the seven largest U.S. airlines averaged $19.65 over the past four years—record-setting profitable years for airlines. In 2017, it stood at $17.75, based on airline earnings reports.14 Feb 2018.

Which Airlines Have Turned A Profit So Far In 2020?

byPranjal Pande

September 14, 2020

There’s no doubt that 2020 has been a challenging year for airlines. However, a handful of carriers have managed to turn a profit this year. So which airlines have managed to buck the trend?

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http://www][https://simpleflying-com] The two Korean giants, Asiana and Korean Air, both turned a profit in Q2 of 2020. Photo: byeangel via Wikimedia Commons

It should be noted that even profitable airlines have taken a sharp hit in revenue. Most carriers have seen double-digit revenue declines due to low passenger levels. This piece is not exhaustive and covers major airlines who have managed to turn a profit during the crisis despite the sharp downturn.

South Korea shines

The two airlines that stand among the global competition are Korean Air and Asiana. Both carriers suffered losses in the first quarter of 2020 due to a drop in passenger demand from China and the rest of East Asia early in the year. However, the carriers reported substantial profits in the Q2 of 2020.

Korean Air reported a profit of ₩148.5 billion ($125.2 million) for the second quarter, even as revenue shrank by 44%. Asiana reported a ₩115.1 billion ($96.9 million) profit in the same quarter, with revenue falling 45%. According to Korean Investors, falling cargo prices could see profits reduce next quarter.

Ethiopian leads the way

Africa’s largest airline, Ethiopian Airlines, has done well through the pandemic. With a combination of cargo and repatriation flights, the airline has covered all its fixed costs and says it has turned a small profit for the fiscal year that ended in July, its CEO told Bloomberg. The exact figure is not yet known.
Ndugu yangu unaweza kuniita mimi mwongo kwasababu hujafanya tafiti vizuri, hebu fanya tafiti zaidi. Mashirika yote ya ndege uliyoyataja hapo juu hayapati faida kwa kufanya safari za anga peke yake, bali yanajihusisha na biashara nyingine zaidi ya usafirishaji wa abiria (Passengers): Mengine yanajihusisha na usafirishaji mizigo (Freight)....

Ethiopian-Airlines wao wanamiliki hadi chuo cha usafirishaji wa anga ambacho kutoa mafunzo kwa marubani na wahudumu wa ndege kutoka nchi mbalimbali za Afrika, lakini pia karakana yao imesajiliwa na The Federal Aviation Agency (FAA) ya Marekani kuweza kufanya marekebisho na ukarabati wa ndege za Marekani kama Boeing.

Korean-Air nao pia mfumo wao wa kibiashara ni mpana kwasababu hawategemei tu usafirishaji wa abiria na mizigo. Shirika lile linajihusisha na biashara kubwa ya mahoteli, ambako linamiliki mahoteli makubwa matano ya kimataifa kuanzia kwao Korea hadi Marekani Hyatt ikiwemo.. Lakini pia shirika lao limekuwa na tabia ya kununua hisa kwenye mashirika mbalimbali na kutengeneza faida.

Mashirika yote ya usafirishaji hayaingizi faida za moja kwa moja kutokana na safari za anga. Gharama ya kuendesha usafirishaji wa angani ni kubwa sana na kamwe haiwezi kuingiza faida kwa pesa za wasafiri, hivyo ungesoma zaidi kuhusu mfumo wa uendeshaji wa hayo mashirika ungeyafahamu haya.

Sasa hayo maelezo mengi ya wongo niliyoyasema labda wewe mtaalamu wa Aviation unioneshe......
 
BAK yupo sahihi kabisa na ukosoaj8 wako haupo technical. Ambacho unapaswa ufahamu hao 11% ndio wanaweza expand au contract uchumi.

Ndege za trillion 3 plus pesa inaenda Canda huko lakini Trillion 3 ikitumika ndani whether kulipa wazabuni au kuajiri/kupandisha mishahara ina maana pesa itazunguka kwenye uchumi na kuchochea biashara kupitia spillover effects.

Na ndio maana duniani mabillionea na washika mitaji wakubwa hawafiki 5% lakini dunia nzima tunawategemea kwa kila kitu kuanzia ajira mpaka supply ya bidhaa muhimu so uchumi hauangalii namba ya direct wanufaika bali inaangalia wale wanufaika watatawanyaje pesa baada ya kuzipata.

Ndio maana mwaka juzi Prof.Luoga alishusha reserve ratio requirement ya benki za biashara pale BOT ili kwamba benki za ndani ziwe na ukwasi ziweze kuajiri,kukopa,kuwekeza n.k ili pesa zitoke kwenye mashelf ya BOT ziende kwa raia kuchochea biashara mpaka ya boda boda na mama ntilie!! Uchumi unafanya kazi hivyo
Nimechoka kueleza...Sasa hao 11% kama haiongezi tax base unatakaje..Sheria ya uchumi ni moja hutakiwi kula usichokizalisha...Hao 11% wamejaa service sector na kwakukosa kwao ubunifu hawatengenezi mifumo ambayo itazaLisha ajira ili kuongeza tax base...Uchumi unahitaji sana creativity na subjective decisions...Hao 11% hawaongezi tija zaidi ta ku consume wasichokizalisha, so tujiangalie tena wapi tunakwama siyo kulia lia...Kama thamani ya pesa siyo wao pekee hata hao ambao hawana sustainable incomes wanapata hiyo shida...
 
All in all mijadala kama hii inasaidia sana kuonheza ufahamu wa wafanya maamuzi...Ahsante uliyeleta hii mada
 
BAK unaniangusha, yaani unaendekeza mambo ya from hands to mouth?

Mishahara itapanda kama tutazalisha kiwango cha juu na hakiji tu bila kutoka jasho...Imagine miradi yote ya kimkakati iishe mishahara si ita triple?

So far hayati alijitahidi sana kwanza kupunguza inflation na deflation kwenye riba, kisha social service kama elimu na afya aliiongezea budget even three times mlitakaje? Aliigawa cake ya taifa kwa wemgi zaidi...Wafanyakazi Tanzania hawafiki hata 11% kisha wanachukua 60% ya budget...Aliilipa mishahara bila kuchelewesha hata sekunde na in a very sustainable way

Tuongeze tija ndiyo mishahara kuongezeka iwe justified, otherwise tunafanya unyonyaji kwenye population ya ambao hawajaajiriwa...Ubinafsi wa hali ya juu!
Thanks!
Nice, logical and factual argument. Akili kubwa!
Tatizo watanzania wengi, hata waliosoma ni mateka wa propaganda.

Maisha kipindi cha JPM yalikuwa na unafuu mkubwa sana kwa watanzania walio wengi.
Miaka ya nyuma walio faidi keki ya taifa walikuwa wachache sana. Mijini watu walikuwa wanajirusha, wanashinda night clubs na kupangia nyumba mademu hata 4 kwa mpigo, wakati ukienda kijijini hupati change ya sh 10,000.00.

Watanzania wa vijijini walikuwa wanakumbwa na njaa na hwana fedha ndogo ya matibabu. Ndiyo mana kipindi cha mavuno sababu ya madeni na mahitaji ya muhimu hasa matibabu walikuwa wanauza mazao yote kwa bei ndogo na kisha hao hao wakulima wenye kipato kidogo wanakuja kulazimika kununua mazao kwa ajili ya chakula kwa bei kubwa sana. Aliyekuwa anafaidi, mfanyabiashara!
 
Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?

Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
Wapumbavu kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wake wa kisiasa. Mungu akaona kuliko aue wapumbavu 30M ni bora amfutilie mbali mpumbavu mmoja ili hawa wapumbavu 30M mpone, mbaya zaidi hamkupona, kuna haja ya Mungu kuwafutilia mbali kmmmmk!!
 
Hukuwahi kusikia wakisema shirika limepata faida? Unazani kwanini Prof Assad alizuiwa kukagua?
ATCL pengine ilitoa contributions and not dividend to the Govt. Fatilieni msichanganye mambo.
Soma hapa
Screenshot_20210328-145853.jpg
 
Wapumbavu kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wake wa kisiasa. Mungu akaona kuliko aue wapumbavu 30M ni bora amfutilie mbali mpumbavu mmoja ili hawa wapumbavu 30M mpone, mbaya zaidi hamkupona, kuna haja ya Mungu kuwafutilia mbali kmmmmk!!
Duh.....hayo sasa ni matusi!
 
Wapumbavu kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wake wa kisiasa. Mungu akaona kuliko aue wapumbavu 30M ni bora amfutilie mbali mpumbavu mmoja ili hawa wapumbavu 30M mpone, mbaya zaidi hamkupona, kuna haja ya Mungu kuwafutilia mbali kmmmmk!!
Daah kwa hasira hizi utapunguza miaka ya kuishi duniani huku wenzako tukiendelea na yetu...Punguza hasira, itakuua mwenyewe kabla ya sisi
 
Back
Top Bottom