zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,066
- 28,712
Mbona wamezungumzia hapo Lease purchase au kwa akili yako Lease purchase ndio kupinga ndege kununuliwa?
Mbona wamezungumzia hapo Lease purchase au kwa akili yako Lease purchase ndio kupinga ndege kununuliwa?
Hakuna MTU anakataa hii ila tunachokataa ni uzushi wa meko kuwa ATCL limepata faida ya bil 28, hicho ndicho tunachokataa, meko Bora Mungu alimuondoa heartless man!CAG mstaafu mh Uttoh amesema hakuna shirika la ndege lolote duniani lililowahi kupata faida katika miaka ya mwanzo ya operations zake.
Kuhusu gawio mh Uttoh amesema dividend hutolewa baada ya biashara kupata faida na huamuliwa na bodi kiasi gani cha faida kigawiwe kama dividends
Uttoh amesema kwa uelewa wake ATCL haijawahi kulipa dividend kwa serikali, na kama kuna fedha ziligawiwa kwa serikali na ATCL hicho ni kitu kingine siyo dividend
CPA Uttoh amesema kimsingi mashirika ya umma hayapaswi kulipa dividend kwa sababu hayafanyi biashara na ametoa mfano UDSM wanalipa dividend serikalini kwa biashara gani wanayofanya?!
Source: ITV kipindi cha Kipima Joto
Hapana sera ya fedha hairuhusu hili..... Huwa ukaleta contractual monetary policy alafu wakati huo huo unataka kutanua Broad money (M3) !! HaiwezekaniBak na Tindo hawana concepts yeyote juu ya uchumi na maendeleo utakesha mkuu na mbaya zaidi hawa taking Kujifunza , waulize nini maana ya elumu bure na impacts zake katika jamii? anaweza usiongeze mishahara uka chagua kutoa elimu bure maana yake mfanyakazi akipata pesa yake hachangii tena kwenye elimu inabaki kuwa yake mfukoni, naweza kukuongezea mshahara nikapandisha riba za mikopo, elimu ikawa ghari, huduma za jamii zikawa ghari na usione faida ya salary increments.
Watanzania ni wabishi sana naturally ata uwe na elimu gani ukishapewa chakula na watoto basi wakati wowote mtu anaweza kusimama na kuongea ilivyokuwa si sahihi.CAG mstaafu mh Uttoh amesema hakuna shirika la ndege lolote duniani lililowahi kupata faida katika miaka ya mwanzo ya operations zake.
Kuhusu gawio mh Uttoh amesema dividend hutolewa baada ya biashara kupata faida na huamuliwa na bodi kiasi gani cha faida kigawiwe kama dividends
Uttoh amesema kwa uelewa wake ATCL haijawahi kulipa dividend kwa serikali, na kama kuna fedha ziligawiwa kwa serikali na ATCL hicho ni kitu kingine siyo dividend
CPA Uttoh amesema kimsingi mashirika ya umma hayapaswi kulipa dividend kwa sababu hayafanyi biashara na ametoa mfano UDSM wanalipa dividend serikalini kwa biashara gani wanayofanya?!
Source: ITV kipindi cha Kipima Joto
Mishahara inaongezwa sio considering tu inflation na interest rate pekee ila angalia time value of money na Exhange rate parity hvi laki 5 ya 2015 na 2020 zinafanana hata kma utapunguza makato?Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?
Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
1. Kama kulikuwa na faida kwanini walikuwa wanakwepa kukaguliwa kwa hilo shirika? Kungekuwa mambo shwari nakuhakikishia wasingesita kukaguliwaHuyo uttoh hapo amesema out of context, amekwepa hoja.
Kuweka kumbukumbu sawa.
-ATCL ilianzishwa mwaka 1977 (Hivyo imekuwa akifanya biashara kwa zaidi ya miaka 40 sasa).
-Ndani ya miaka mitano iliyopita serikali imewekeza zaidi ya Trilioni 2 (zaidi ya bilioni 2000) kwa kununua ndege mpya kwa cash ili kuiwezesha ATCL kutengeneza faida kubwa.
-Mwaka 2018 ATCL ilitangaza kupata faida ya zaidi ya bilioni 28.
-Kila mwaka, tangu mwaka 2018 mpaka 2020 ATCL imekuwa miongoni mwa mashirika ya serikali yaliyotangazwa na waziri wa fedha kuwa yanaipa serikali gawio.
-Mwaka huu CAG imesema kwa mwaka 2019/20 pekee ATCL imepata hasara ya zaidi ya bilioni 60, na kwa miaka mitano mfululizo ATCL imekuwa ikivuna hasara tupu, na hakuna mwelekeo wowote wa ATCL kuja kupata faida ikiwa mwenendo wake wa kisasa kiuendeshaji hautabadilishwa.
Tulitaka Uttoh ajikite kujadili hizo 'facts' kwanza kabla ya kudandia vioja vya kuokoteza kwa mataga.
Kwa report ya mwezi march emirates imepata faida ya AED 1.7 billion ambayo kwa US dolla ni $456 million ambapo kwa pesa yetu ya madafu ni sawa na shilingi 1,057,450,320,000.00Fly emirates halipati faida? Emirates imekuwa ikipata profit mpaka 2019/2020 due to Covid-19 impact before that it has been making big profit.
Ndugu yangu unaweza kuniita mimi mwongo kwasababu hujafanya tafiti vizuri, hebu fanya tafiti zaidi. Mashirika yote ya ndege uliyoyataja hapo juu hayapati faida kwa kufanya safari za anga peke yake, bali yanajihusisha na biashara nyingine zaidi ya usafirishaji wa abiria (Passengers): Mengine yanajihusisha na usafirishaji mizigo (Freight)....Maelezo marefu lakini siyo ya kweli. Kama maelezo yako uangekuwa sahihi, kUsingekuwa na mashirika binafsi ya ndege.
Umeongea kwa kudhania kuwa mashirika yote ya ndege yanamilikiwa na serikali. Usichangie kitu kama huna uhakika.
Profit per passenger at the seven largest U.S. airlines averaged $19.65 over the past four years—record-setting profitable years for airlines. In 2017, it stood at $17.75, based on airline earnings reports.14 Feb 2018.
Which Airlines Have Turned A Profit So Far In 2020?
byPranjal Pande
September 14, 2020
There’s no doubt that 2020 has been a challenging year for airlines. However, a handful of carriers have managed to turn a profit this year. So which airlines have managed to buck the trend?
[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http://www][https://simpleflying-com] The two Korean giants, Asiana and Korean Air, both turned a profit in Q2 of 2020. Photo: byeangel via Wikimedia Commons
It should be noted that even profitable airlines have taken a sharp hit in revenue. Most carriers have seen double-digit revenue declines due to low passenger levels. This piece is not exhaustive and covers major airlines who have managed to turn a profit during the crisis despite the sharp downturn.
South Korea shines
The two airlines that stand among the global competition are Korean Air and Asiana. Both carriers suffered losses in the first quarter of 2020 due to a drop in passenger demand from China and the rest of East Asia early in the year. However, the carriers reported substantial profits in the Q2 of 2020.
Korean Air reported a profit of ₩148.5 billion ($125.2 million) for the second quarter, even as revenue shrank by 44%. Asiana reported a ₩115.1 billion ($96.9 million) profit in the same quarter, with revenue falling 45%. According to Korean Investors, falling cargo prices could see profits reduce next quarter.
Ethiopian leads the way
Africa’s largest airline, Ethiopian Airlines, has done well through the pandemic. With a combination of cargo and repatriation flights, the airline has covered all its fixed costs and says it has turned a small profit for the fiscal year that ended in July, its CEO told Bloomberg. The exact figure is not yet known.
Nimechoka kueleza...Sasa hao 11% kama haiongezi tax base unatakaje..Sheria ya uchumi ni moja hutakiwi kula usichokizalisha...Hao 11% wamejaa service sector na kwakukosa kwao ubunifu hawatengenezi mifumo ambayo itazaLisha ajira ili kuongeza tax base...Uchumi unahitaji sana creativity na subjective decisions...Hao 11% hawaongezi tija zaidi ta ku consume wasichokizalisha, so tujiangalie tena wapi tunakwama siyo kulia lia...Kama thamani ya pesa siyo wao pekee hata hao ambao hawana sustainable incomes wanapata hiyo shida...BAK yupo sahihi kabisa na ukosoaj8 wako haupo technical. Ambacho unapaswa ufahamu hao 11% ndio wanaweza expand au contract uchumi.
Ndege za trillion 3 plus pesa inaenda Canda huko lakini Trillion 3 ikitumika ndani whether kulipa wazabuni au kuajiri/kupandisha mishahara ina maana pesa itazunguka kwenye uchumi na kuchochea biashara kupitia spillover effects.
Na ndio maana duniani mabillionea na washika mitaji wakubwa hawafiki 5% lakini dunia nzima tunawategemea kwa kila kitu kuanzia ajira mpaka supply ya bidhaa muhimu so uchumi hauangalii namba ya direct wanufaika bali inaangalia wale wanufaika watatawanyaje pesa baada ya kuzipata.
Ndio maana mwaka juzi Prof.Luoga alishusha reserve ratio requirement ya benki za biashara pale BOT ili kwamba benki za ndani ziwe na ukwasi ziweze kuajiri,kukopa,kuwekeza n.k ili pesa zitoke kwenye mashelf ya BOT ziende kwa raia kuchochea biashara mpaka ya boda boda na mama ntilie!! Uchumi unafanya kazi hivyo
Tumia Akili wewe.Walitoa GAWIO tena mubashara tbc
Thanks!BAK unaniangusha, yaani unaendekeza mambo ya from hands to mouth?
Mishahara itapanda kama tutazalisha kiwango cha juu na hakiji tu bila kutoka jasho...Imagine miradi yote ya kimkakati iishe mishahara si ita triple?
So far hayati alijitahidi sana kwanza kupunguza inflation na deflation kwenye riba, kisha social service kama elimu na afya aliiongezea budget even three times mlitakaje? Aliigawa cake ya taifa kwa wemgi zaidi...Wafanyakazi Tanzania hawafiki hata 11% kisha wanachukua 60% ya budget...Aliilipa mishahara bila kuchelewesha hata sekunde na in a very sustainable way
Tuongeze tija ndiyo mishahara kuongezeka iwe justified, otherwise tunafanya unyonyaji kwenye population ya ambao hawajaajiriwa...Ubinafsi wa hali ya juu!
Wapumbavu kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wake wa kisiasa. Mungu akaona kuliko aue wapumbavu 30M ni bora amfutilie mbali mpumbavu mmoja ili hawa wapumbavu 30M mpone, mbaya zaidi hamkupona, kuna haja ya Mungu kuwafutilia mbali kmmmmk!!Tatizo la hayati hakuwa mwongo...Mishahara iluongezqa kwakupunguza
1. Paye
2. Inflation
3. Deflation kwenye assets
4. Kupunguza riba za mikopo mf. CRDB ilipunguza riba kutoka 22% mpaka sasa 14% kwa service loans, Bank ya poster mortgage 8% dhidi ya Azania ambao walikuwa wanatoa kwa 18% ulitaka aongeze absolute figure?
Lakini njoo kwenye social services, bima ya afya kwamfano alitengeneza bima ya community nakuingiza watu wengi kwenye scheme, elimu bure ambayo ni nyongeza ya mshahara kwaambaye angelipia hiyo pesa kwa mtoto wake...Acheni uzwazwa tuweni honest kama JPM tusiishi kwakuridhisha watu huku wakiendelea kudidimia na sisi tukie delea kuneemeka huku institutions zikizidi kuwa weak...
Hukuwahi kusikia wakisema shirika limepata faida? Unazani kwanini Prof Assad alizuiwa kukagua?
Soma hapaATCL pengine ilitoa contributions and not dividend to the Govt. Fatilieni msichanganye mambo.
Dr Abbas yuko kwenye mfungo wa Ramadhan!
Duh.....hayo sasa ni matusi!Wapumbavu kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wake wa kisiasa. Mungu akaona kuliko aue wapumbavu 30M ni bora amfutilie mbali mpumbavu mmoja ili hawa wapumbavu 30M mpone, mbaya zaidi hamkupona, kuna haja ya Mungu kuwafutilia mbali kmmmmk!!
Daah kwa hasira hizi utapunguza miaka ya kuishi duniani huku wenzako tukiendelea na yetu...Punguza hasira, itakuua mwenyewe kabla ya sisiWapumbavu kama ninyi ndio mlikuwa mtaji wake wa kisiasa. Mungu akaona kuliko aue wapumbavu 30M ni bora amfutilie mbali mpumbavu mmoja ili hawa wapumbavu 30M mpone, mbaya zaidi hamkupona, kuna haja ya Mungu kuwafutilia mbali kmmmmk!!