Hahaaaa! Assad kaingiza siasa lini? Kipindi yupo kazini au baada ya kutolewa? Huyo Uttoh hafikii level za Assad kwa weledi, huyo Uttoh ni mfia chama tu, leo anatuambia shirika la ndege haliwezi pata faida kwa muda mfupi ila wakati mwendazake na mkurugenzi wa kampuni wanasema wamepata faida huyo Uttoh alikaa kimya hakujua kama shirika lina muda mfupi, Kilichompoza Assad ni kusimamia anachokiamini tu, Bunge dhaifu limeshindwa isimamia serikaliAlijigeuza mwanasiasa badala ya professional...
Mwenye fani yake kaongea hapo bila politics