shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Hahahaha, we kweli juha.
Huo ndiyo ufisadi wa Dau?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hahahaha, we kweli juha.
Huo ndiyo ufisadi wa Dau?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Movie ya NSSF isha isha hyo
Hiligazeti ni la Zitto....mchange ndio analisimamia..wote walipiga Hela NSSF
Si ajabu CAG kuitakatisha NSSF,kwa sababu kipindi hicho madudu yakitendeka CAG alikuwa Board member
Nina wasiwasi sana na taarifa ya CAG, Prof Assad, kwamba hakuna ufisadi NSSF wa Dau.
Ukweli watu wengi wasioujua ni kwamba Prof Assad na Dau ni marafiki wa karibu sana, tangu wote wawili wakiwa wakufunzi pale UD wakati huo ikiitwa Faculty of Commerce. There is no way CAG Prof. Assad angeweza kumwangusha Dau. Piga ua Assad atam-support Dau.
Labda kwenye hili wamtafute independed auditor, lakini sio Assad kwa Dau. Hapo ni sawa na kusema kesi ya nyani aamue ngedere.
Sasa bwana mdogo, tuamini sasa usemacho ni kweli, kwamba gazeti ni la ZZK na MCHANGE ndie msimamizi.
RIPOTI YA CAG NAYO NI YA ZITO NA MCHANGE ANAISIMAMIA!!!!????
Du kumbe mengine hatukuyajua ee,dau kaleta hasara kubwa afungwe tu
wewe malughuuni mbona chuki zako haziishi? sasa umetoka kwa Dr. Dau na kuhamia kwa Prof. asad? Nenda kajinyonge ili uridhike.Ripoti ya CAG iliyotengenezwa na Ernest and young iliyovuja kabla board haijaipitia maana wangeinyofoa baadhi ya mambo bahati nzuri JPM akalijua hilo na kuitumbua