Kama hakuna ufisadi safi sana.
Mi nalia na nssf. Magorofa yao hayazalishi, hela haizunguki,
Mi nalia na nssf. Magorofa yao hayazalishi, hela haizunguki,
Teh teh teh...
Eti Ooooh Dr Dau ni mmiliki wa Newcastle United...!
Oooh Dau Dau ana utajir zaid wa Billgates...
Ukiwauliza chanzo chenu cha data ni kipi wanasema CAG Reports...
Afanaleeekiiii....!!
Wazandiki wakubwaaa