Ushaanza figisu figisu.....kwa huyu CAG sishangai....
CAG hakufanya audit pekee yake walishirikiana na ENRST & YOUNG( among the big four audit firms in the world)kwa huyu CAG sishangai....
Teh teh teh!!acheni utoto basii mbona habari haina details za kutosha mazee
Kwani episode ya NSSF imeisha???
Hahahahah!! Yamekuwa hayo tena kwani ile ripoti yenu ya ufisadi wa NSSF na Dr.Dau si msilisema imetoka kwa CAG?kwa huyu CAG sishangai....
Likija gazeti lingine likasema kuna ufisadi NSSF litakuwa la wagalatia?Wagalatia wenye husda na Dr.Dau wanapita kwa mbali kwenye huu uzi wanajifanya kama hauoni.
Teh teh teh
Bosi wa NAO kabla ya huyo Mwislam mara zote katoa hati safi na na Bodi ya Uhasibu (NBAA) imeshawahi kuwapa cheti bora cha Hesabu safi.
Labda watasema Utouh nae alimpendelea kwa kuwa ni Mtanzania mwenzake. Wasisahau na PPRA waliwapa cheti cha ubora wa manunuzi (VFM). Kama kuumbuka ni ugonjwa basi jamaa muda huu wangekuwa ICU.
Hoja za nssf ni hizo tunaweza pima wenyewe na kuacha ushabiki wa aina yoyote
Wapuuzi sana hawa.Watakuja kusema bosi wa NAO ni mwislamu mwenzeke hawaishiwi maneno
Hakika mkuu.Bosi wa NAO kabla ya huyo Mwislam mara zote katoa hati safi na na Bodi ya Uhasibu (NBAA) imeshawahi kuwapa cheti bora cha Hesabu safi.
Labda watasema Utouh nae alimpendelea kwa kuwa ni Mtanzania mwenzake. Wasisahau na PPRA waliwapa cheti cha ubora wa manunuzi (VFM). Kama kuumbuka ni ugonjwa basi jamaa muda huu wangekuwa ICU.