utakuwa na matatizo kuliko nilivyokuwa nafikiria.
hivi sisi tulianza kuandika kuhusu Dr. Dau from no where?
sio nyie mliokuja na single kuwa ufisadi mkubwa umegundulika NSSF kupitia riport ya CAG?
Riport imetoka na sote tumeiona mmeanza kujing'atang'ata kama demu anayetongozwa. Tunajua fika kinachowasumbua ni udini tu. kushambuliwa kwa Dr.Dau na wengine kama akina Prof. asad hakujaanza leo humu mitandaoni. na wala hii sio mara ya kwanza kuona mkiwashambulia waislam humu. hilo halina kificho sio ajabu ndo mnavyofundishwa. Sidhani kama umewahi kumuona muislam humu akimsingizia mkirsto kwa lolote lile na hata tukichangia chochote kama ni kizuri tunasifia na kibaya tunakosa. lakini huu utamaduni ni tofauti sana kwa nyie wenzetu.
Nachelea kukutukana. Ngoja tu nisepe kuepusha shari.