CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?

Ninachojiuliza mimi kwan kununua Cash kuna shida gani? Kama mkopo si ingekuwa hela mengi? Na mkopo unaweza kopa kiwandani kweli? Kama ndiyo kwa mda gan? Na si itakuwa mara 2 ya cash?
Biashara ya ndege si ya kuleta faida leo au kesho ni baada ya miaka mingi.Sasa unaponunua kwa fedha tasilimu inakupasa kuondoa vipaumebele vingine kama ajira mpya
 
Biashara ya ndege si ya kuleta faida leo au kesho ni baada ya miaka mingi.Sasa unaponunua kwa fedha tasilimu inakupasa kuondoa vipaumebele vingine kama ajira mpya

ukikopa utalipa more than the needed amount nn hamuelewi apo? last week serikali imelipa karibia 3B kama fidia kwa yerpi markez, nini ambacho hamuelewi apa? na hapo sio riba ni kuchelewesha tu malipo bado riba, inflation costs...

tatizo lenu mnachukua ushauri kutoka kwa mtu ambae hana background ya biashara wala hana biashara yoyote anafanya
 
ukikopa utalipa more than the needed amount nn hamuelewi apo? last week serikali imelipa karibia 3B kama fidia kwa yerpi markez, nini ambacho hamuelewi apa? na hapo sio riba ni kuchelewesha tu malipo bado riba, inflation costs...

tatizo lenu mnachukua ushauri kutoka kwa mtu ambae hana background ya biashara wala hana biashara yoyote anafanya
Mkuu Habari....
Nikuulize ulikuwa unaweza kujibu swali la Ufahamu ukiwa sekondari kweli?
 
ukikopa utalipa more than the needed amount nn hamuelewi apo? last week serikali imelipa karibia 3B kama fidia kwa yerpi markez, nini ambacho hamuelewi apa? na hapo sio riba ni kuchelewesha tu malipo bado riba, inflation costs...

tatizo lenu mnachukua ushauri kutoka kwa mtu ambae hana background ya biashara wala hana biashara yoyote anafanya
Biashara ya ndege ni ngumu mkuu.Sio ya kulipa leo wala kesho.

Unaponunua ndege moja unanyima ajira ngapi? Unanyakua mafao ya wastaafu wangapi? UNANYIMA nyongeza ya mishahara ya watu wangapi??

Kuna kitu kinaitwa opportunity cost.Je ATCL imeanza kupata faida?
 
umesema nani mchumi? prof asaad hajasomea uchumi wala hana background ya uchumi wala hajatoka kwenye familia inaojua lolote kuhusu biashara na juu ya hilo hajawahi ata kufanya biashara yoyote!

- Ukikopa maaana yake unatumia ela mbayo hauna, sasa kama hio hela hauna matumizi unatoa wap? wafanya biashara wanakopa kuendeleza biashara we unataka kukopa kuanzisha biashara, na ajab zaidi uyo mwana siasa asaad kawashika vichwa vizuri
Na hamna kokote kule taasisi unakopesha kuanzisha biashaara mpya nilazima uwe na hiyo biashara na cash flow iwepo ya kuelelewkaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
WEwe ndioyo humueliwa. Sisi tuliishahiyimisha yeye ndiyo mjinga, maana anadhani kukopa ili ulipe zaidi ni tija kuliko kununua chash ili ulipe kidogo.
Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash
- -------------
Top Ugandan officials have been boxed into a corner of bother after lenders in China rejected their request to re-negotiate ‘toxic clauses’ in the $200m (Shs713b) loan picked six years ago to expand Entebbe International Airport.

Some of the unfavourable provisions in the loan agreement that Uganda signed with the Export-Import (Exim) Bank of China on March 31, 2015, if not amended, expose Uganda’s sovereign assets to attachments and take-over upon arbitration awards in Beijing.

Our investigations found out that any proceedings against Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) assets by the lender would not be protected by sovereign immunity since Uganda government, in the 2015 deal, waived the immunity on airport assets.

Highly-placed sources said the risk presented by the Financing Agreement on March 7, 2019, prompted Uganda to send an 11-member delegation to Beijing to plead with Exim Bank to renegotiate the clauses now impugned by Kampala.

Taarifa zaidi: Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash
Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?
 
Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?
Watu wakishaasoma theory wanajua na practice itamuwa hivyo hivyk hakafu eti wanawatukana waengine kuwa hawana akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ubongo wako una kamasi.Hujui chochote kuhusiana na masuala ya kiuchumi.Cash ina kazi yake na loan ina kazi yake.You can't buy such long term assets by cash ! Niishie hapo kwanza
Tuache upuuzi kila siku sisi wabongo tunanunua vitu kwa fedha taslimu , nenda kwa Mangi/mpemba/Mkinga/Mahindi n.k
Kwa hiyo wewe na Me a professor ni
 
Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?
Ni vigumu kwa layman kuelewa.
 
Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?

hawa wana ufipa hawaelewi
 
Biashara ya ndege ni ngumu mkuu.Sio ya kulipa leo wala kesho.

Unaponunua ndege moja unanyima ajira ngapi? Unanyakua mafao ya wastaafu wangapi? UNANYIMA nyongeza ya mishahara ya watu wangapi??

Kuna kitu kinaitwa opportunity cost.Je ATCL imeanza kupata faida?

vizuri saana, sasa kama biashara ya ndege ni ngumu na unajua kabisa ndan ya miaka 5 bado kutakua hamna faida, ahadi ya kurejesha huo mkopo + interest ndan ya miaka 5 unatoa wap?
 
Back
Top Bottom