Hii thread inazungumzia maendeleo ya CDM? Kwann unarukaruka kama maharage ya nyambiti??shida iko wap kukopa kutimiza lengo lenu lile? kwanini mnataka kuapply serikalini ila sio kwenye chama chenu
Biashara ya ndege si ya kuleta faida leo au kesho ni baada ya miaka mingi.Sasa unaponunua kwa fedha tasilimu inakupasa kuondoa vipaumebele vingine kama ajira mpyaNinachojiuliza mimi kwan kununua Cash kuna shida gani? Kama mkopo si ingekuwa hela mengi? Na mkopo unaweza kopa kiwandani kweli? Kama ndiyo kwa mda gan? Na si itakuwa mara 2 ya cash?
Sema Inshaalah!kopeni kwanza mjenge ofisi ndo uanze kutukaribisha afisa
Biashara ya ndege si ya kuleta faida leo au kesho ni baada ya miaka mingi.Sasa unaponunua kwa fedha tasilimu inakupasa kuondoa vipaumebele vingine kama ajira mpya
Sema Inshaalah!
Mkuu Habari....ukikopa utalipa more than the needed amount nn hamuelewi apo? last week serikali imelipa karibia 3B kama fidia kwa yerpi markez, nini ambacho hamuelewi apa? na hapo sio riba ni kuchelewesha tu malipo bado riba, inflation costs...
Danadana majaribio treni ya SGR Dar - Moro
Danadana zimeendelea kutawala juu ya kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Dar – Morogoro, baada ya kuahirishwa mara kadhaa kwa majaribio yaliyopangwa kufanyika mwaka huu.www.mwananchi.co.tz
tatizo lenu mnachukua ushauri kutoka kwa mtu ambae hana background ya biashara wala hana biashara yoyote anafanya
Kwenye hiyo habari ya sgr umeona wapi maswala ya mkopo?
Biashara ya ndege ni ngumu mkuu.Sio ya kulipa leo wala kesho.ukikopa utalipa more than the needed amount nn hamuelewi apo? last week serikali imelipa karibia 3B kama fidia kwa yerpi markez, nini ambacho hamuelewi apa? na hapo sio riba ni kuchelewesha tu malipo bado riba, inflation costs...
Danadana majaribio treni ya SGR Dar - Moro
Danadana zimeendelea kutawala juu ya kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Dar – Morogoro, baada ya kuahirishwa mara kadhaa kwa majaribio yaliyopangwa kufanyika mwaka huu.www.mwananchi.co.tz
tatizo lenu mnachukua ushauri kutoka kwa mtu ambae hana background ya biashara wala hana biashara yoyote anafanya
Na hamna kokote kule taasisi unakopesha kuanzisha biashaara mpya nilazima uwe na hiyo biashara na cash flow iwepo ya kuelelewkaaumesema nani mchumi? prof asaad hajasomea uchumi wala hana background ya uchumi wala hajatoka kwenye familia inaojua lolote kuhusu biashara na juu ya hilo hajawahi ata kufanya biashara yoyote!
- Ukikopa maaana yake unatumia ela mbayo hauna, sasa kama hio hela hauna matumizi unatoa wap? wafanya biashara wanakopa kuendeleza biashara we unataka kukopa kuanzisha biashara, na ajab zaidi uyo mwana siasa asaad kawashika vichwa vizuri
Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?WEwe ndioyo humueliwa. Sisi tuliishahiyimisha yeye ndiyo mjinga, maana anadhani kukopa ili ulipe zaidi ni tija kuliko kununua chash ili ulipe kidogo.Profesa Assad ni habari nyingine, ninyi na vielimu vyenu vya kuugaunga mtapata tabu sana kumuelewa.
Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash
- -------------
Top Ugandan officials have been boxed into a corner of bother after lenders in China rejected their request to re-negotiate ‘toxic clauses’ in the $200m (Shs713b) loan picked six years ago to expand Entebbe International Airport.
Some of the unfavourable provisions in the loan agreement that Uganda signed with the Export-Import (Exim) Bank of China on March 31, 2015, if not amended, expose Uganda’s sovereign assets to attachments and take-over upon arbitration awards in Beijing.
Our investigations found out that any proceedings against Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) assets by the lender would not be protected by sovereign immunity since Uganda government, in the 2015 deal, waived the immunity on airport assets.
Highly-placed sources said the risk presented by the Financing Agreement on March 7, 2019, prompted Uganda to send an 11-member delegation to Beijing to plead with Exim Bank to renegotiate the clauses now impugned by Kampala.
Taarifa zaidi: Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash
Watu wakishaasoma theory wanajua na practice itamuwa hivyo hivyk hakafu eti wanawatukana waengine kuwa hawana akiliHapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?
Tuache upuuzi kila siku sisi wabongo tunanunua vitu kwa fedha taslimu , nenda kwa Mangi/mpemba/Mkinga/Mahindi n.k
Kwa hiyo wewe na Me a professor ni
Mpuuzi tu, kopa lipa polepole huku fedha taslimu unafanyia shughuli nyingine.
Hata Emirates,Qatar, wanakopa.
Magufuli alikuwa Kiazi.
Unanunua madege cash halafu kujenga vyoo unachangisha
Kweli kupanga ni kuchagua
Sijui nani aliyasema haya
Na chief Hangaya naye ndo hivyo tena tumepigwa
Ni vigumu kwa layman kuelewa.Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?
Hapo CAG/Assad ndiyo anaonekana mjinga. Ni mtu mjinga anayeenda kukopa pesa ya kununulia kitu wakati pesa ya kununua anayo. Ukilipa cash kama bei in laki moja unalipa laki moja, lakini ukikopa utalipa na interest ambayo utaishia kulipa zaidi ya laki. Minga yupi alipaye cash au akopaye?
Biashara ya ndege ni ngumu mkuu.Sio ya kulipa leo wala kesho.
Unaponunua ndege moja unanyima ajira ngapi? Unanyakua mafao ya wastaafu wangapi? UNANYIMA nyongeza ya mishahara ya watu wangapi??
Kuna kitu kinaitwa opportunity cost.Je ATCL imeanza kupata faida?