CAG aibua mazito PRIDE TANZANIA

CAG aibua mazito PRIDE TANZANIA

Ukistaajabu ya musa utayaona ya mkwele!

------ anahusikaje hapo wajameni mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hiyo pride imeanzishwa kabla hata hajaunusa urais natamani hii nchi kagame angeisimamia kwa muda
 
Idd Simba again........wezi wanajua sana kutumia pazia la Uzawa ........UDA yeye, TAnganyika Packers yeye , Pride yeye, ......what else ...
 
PRIDE TANZANIA IN PERSPECTIVE - HISTORY

Incorporation:
PRIDE Tanzania was incorporated on 5[SUP]th[/SUP] May 1993 under Cap. 212 as a company limited by guarantee.
Source of Funding:
Main source is from NORAD under a Bilateral Agreement between the Government of Tanzania and the Royal Government of Norway from 1993 to 2001. Swedish Government joined as a donor through Sida late 2000.
Governance

  • Bank of Tanzania is the implementing agency of the programme on behalf of the government.
  • The role of the Implementing Agency as per the bilateral agreement is to coordinate funding for the program.
  • Board of Directors responsible for strategic policy decisions and oversees the overall program implementation.


Funding by Donor and Use



Various independent impact assessment studies involving sampled borrowers carried out since 1997 indicate the following changes with respect to the businesses and living standards of a good number of borrowers:

  • Registered business growth both in terms of increased volume of existing businesses and/or addition of new businesses
  • Enhanced income
  • More employment generated but mostly involving close relatives
  • Ability to buy domestic assets and carry out improvements in their homes
  • Improved family living standards - afford decent meals and medical treatment, pay for school fees and school uniforms for children and afford better homes contrary to the situation before accessing loans.
  • More confidence on the part of women through enhanced income and hence purchasing power.
  • More women are becoming equal partners in the homes and participate fully in the planning of family welfare.
[TABLE="class: bodytext, width: 98%"]
[TR="bgcolor: #eeeeee"]
[TD="width: 1%"][/TD]
[TD="width: 40%"]DONOR/USE[/TD]
[TD="width: 12%"]LOAN FUNDUS $
[/TD]
[TD="width: 21%"]PROJECT MANAGEMENT(US $)
[/TD]
[TD="width: 18%"]OPERATING GRANT (US $)[/TD]
[TD="width: 8%, bgcolor: #eeeeee"]TOTAL (US$)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1[/TD]
[TD]NORAD[/TD]
[TD]2,335,393[/TD]
[TD]2,210,841[/TD]
[TD]2,704,589[/TD]
[TD]7,250,823[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2[/TD]
[TD]Sida[/TD]
[TD]410,471[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]410,471[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3[/TD]
[TD]OTHERS (Hellen Keller International, Plan International, British Council/DFID, P.C. Cornell Trust)[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]181,768[/TD]
[TD]181,768
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]TOTAL
[/TD]
[TD]2,745,864
[/TD]
[TD]2,210,841
[/TD]
[TD]2,886,357
[/TD]
[TD]7,843,062

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Tanganyika inaliwa!hadi tuje kushtuka wamemaliza!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ndugu watu walisha Binafsisha hiyo kitu na Kufanya Mali yao. Alafu cha ajabu anayefanya hayo na yale ya UDA ni yule yule aligombanaga na MKAPA akiimba wimbo wa Uzawa kumbe Mwizi Mtupu!

Hio kiboko.
Nami nilijua Pride ni mali binafsi ya huyo 'mzawa' ambaye kajimilikisha UDA, kumbe sio?
 
CAG anakagua mpaka huko kwa msajili wa hazina.....kama ana mashaka na baadhi ya umiliki wa taasisi za umma kwanini asichunguze hilo wakati anakagua kwa Msajili? ........Kwanini CAG asubiri majibu ya Msajili while ana mamlaka ya kwenda kukagua akapata anachokitaka?......sometimes hizi hoja zinaibuliwa ili kujilinda incase akiulizwa kwanini hakulifanyia kazi......ukiona hivyo maana CAG anajua kwenda "beyond the line" anatafuta mengine hivyo kaamua kuandika hoja ambayo anajua msajili hataijibu na yeye kuonekana amefanya kazi yake.....mkono uende kinywani.....

CAG alifanya kazi yake akamaliza na aka uliza maswali, kwenye auditing lazima auditee apewe nafasi ya ku-react kweny audit querry, so CAG anafanya kazi kwa kufuata procedure siyo kufanya upolisi. Amesubiri majibu muda umekwisha sasa ndo kafunguka na ndipo utaona cheche.
 
CAG alifanya kazi yake akamaliza na aka uliza maswali, kwenye auditing lazima auditee apewe nafasi ya ku-react kweny audit querry, so CAG anafanya kazi kwa kufuata procedure siyo kufanya upolisi. Amesubiri majibu muda umekwisha sasa ndo kafunguka na ndipo utaona cheche.

Sina tatizo na Audit procedure......mleta mada hajasema Msajili alifanyiwa ukaguzi bali aliandikiwa barua ya kutaka maelezo ambayo toka 20.06.2012 haikujibiwa.........CAG angeweza kubaini hilo wakati wa ukaguzi kwa Msajili hasa pale mkaguzi anapokuwa na shaka juu ya kitu anaweza kuhakiki ili kujiridhisha (akaiweka kwenye sample ya investigation yake).

Labda kama wakati wa ukaguzi Msajili hakuwa na majibu kitu ambacho si rahisi.....lazima kutakuwa na taarifa za Pride kwa Msajili......bila kujali ni sahihi au siyo sahihi tayari angepata source nzuri ya kujenga hoja kubwa zaidi ili kubaini ukweli kwa wakati........mfumo aliotumia CAG kuhoji kwa barua (ni vizuri ) alafu kusubiri majibu tu na kuishia kulalamika hajajibiwa badala ya kwenda kufanya ukaguzi kwa wakati unatoa nafasi ya muda wa wenye nia mbaya juu ya Pride kujipanga........muda ni muhimu kuzuia upikaji wa taarifa hasa kama swala lenyewe ni nyeti......

Kama Msajili alifanyiwa ukaguzi na hakukuwa na ushahidi wala maelezo ya umiliki wa Pride hilo ni jingine.......
 
  • Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100%
  • ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5
  • Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria
  • kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito kwa watanzania.
  • Mtaji wa kuanzishwa ulitoka NORAD kwa makubaliano na URT
  • CAG aliandika barua 20/6/2012 kuomba maelezo juu ya umiliki wa pride hakupata majibu toka ofisi ya MSAJIRI WA HAZINA
  • Hadi leo msajiri wa hazina hajawahi kujibu hiyo audit querry
Source: Mwananchi page 12

Kuna mtu lazima kajimilikisha Shirika hapo kama Kiwira!.Hii nchi nihatari kweli kweli!
Magufuli jipu jingine hilo.


3.6.11

PRIDE Tanzania Limited

Taasisi ya PRIDE Tanzania ilianzishwa mnamo tarehe 5 Mei, 1993 chini ya Sheria ya Makampuni (CAP 212) kwa dhamana (limited by guarantee). Dhumuni la kuanzishwa kwa chombo hiki ni kutoa mikopo midogo midogo kwa wajasiriamali. Chanzo kikuu cha fedha za kuanzisha Taasisi hiyo kilitoka NORAD kwa makubaliano baina ya Serikali za Tanzania
na Norway. Pia Serikali ya Sweden ilijiunga kukifadhili chombo hiki mwaka 2001. Kwa mujibu wa taarifa ya Msajili wa Hazina ya uwekezaji wa Serikali katika makampuni kufikia tarehe 30 Juni, 2008, ilionyesha kuwa hisa zote za PRIDE zinamilikiwa na Serikali.

Kwa mujibu wa taarifa ya Msajili wa Hazina inayoishia tarehe 30 Juni, 2013 nimebaini kuwa Shirika hili halipo tena kwenye orodha ya Mashirika ya Umma. Uhalali na sababu za kuondolewa kwa Shirika hili katika orodha ya Msajili wa Hazina hazikuweza kubainika.

Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008, kila Shirika la Umma linatakiwa kuleta hesabu kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa ajili ya kukaguliwa katika kipindi cha miezi mitatu baada ya kumalizika kwa mwaka wa fedha. Hata hivyo, hesabu za PRIDE Tanzania hazijawahi kuwasilishwa kwenye Ofisi yangu kwa ajili ya ukaguzi kama inavyotakiwa na Sheria.
 
Bangusilo [Kondoo Wa Kafara]
Jipu Kubwa Tanzania Ni Moja Lipo Msoga!!!
 
Taarifa ya CAG inapoachwa bila kufanyiwa kazi ni sawa na kuchezea Shillingi chooni.Inaonekana kuna tatizo ofisi ya Msajili wa Mali za Umma.

Tanzania: PRIDE Tanzania's Capital Increases to Over 88bn ...
allafrica.com/stories/201503310177.htmlAllAfrica.com
https://en.wikipedia.org/wiki/Bank_M
Bank M - Wikipedia, the free encyclopedia

Bank M - Wikipedia, the free encyclopedia
Wikipedia
It is licensed by the Bank of Tanzania, the country's central bank and national banking ... [hide]. 1 Overview; 2 History; 3 Ownership; 4 Branch Network; 5 Governance; 6 See also; 7 References; 8 External links ... 6, Pride Tanzania Limited, 3.46.

Bank M Stock Ownership
Rank Name of Owner Percentage Ownership
1 Sanjeev Kumar 10.53
2 Bhaskar Nair 7.09
3 Sean Patrick Breslin 11.63
4 Vimal Mehta 16.03
5 Shilpa Mehta 3.40
6 Pride Tanzania Limited 3.46

7 Africarriers Limited 11.00
8 Equity & Allied Limited 12.17
9 Noble Azania Investments Limited 7.30
10 Shiva Sanjeev Kumar 1.42
11 Gissings Directors Pension Scheme 2.47
12 Ramesh Patel 3.26
13 Caitrin Breslin 0.90
14 Simon & Roisin Gregory 4.45
15 Sumaria Properties Limited 4.87

Total 100.00

 
jinsi majipu yalivyo mengi!; hatayamaliza, muda unamtupa mkono!
 
  • Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100%
  • ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5
  • Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria
  • kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito kwa watanzania.
  • Mtaji wa kuanzishwa ulitoka NORAD kwa makubaliano na URT
  • CAG aliandika barua 20/6/2012 kuomba maelezo juu ya umiliki wa pride hakupata majibu toka ofisi ya MSAJIRI WA HAZINA
  • Hadi leo msajiri wa hazina hajawahi kujibu hiyo audit querry
Source: Mwananchi page 12
Kama Pride Tanzania ni mali ya serikali tusubiri tuone hili jipu litakavyotumbuliwa maana limeenea mwili mzima!
 
Back
Top Bottom