CAG aibua mazito PRIDE TANZANIA

CAG aibua mazito PRIDE TANZANIA

huyu jamma ni hatari kubwa si ni yule aliyeuza UDA kimizengwe!!!!!!

mambo ya uda hayahusiki hapa..pride ni taasisi ya mikopo inayowasaidia sana watanzania masikini..watanzania wengi sana wamenufaika na mikopo ya pride..hongera sana idd simba kwa kuwakomboa wanyonge
 
sasa huyo cag toka kipindi chote hicho hajaikagua pride anafanya nini? Si bora ajiuzulu tu maana kazi imemshinda
 
Inasikitisha sana kuona Kiswaahili kikiandikwa namna hii.

Hivi, wewe ni Mtanzania na Kiswahili ni lugha ya Taifa lako?

hahahahaa! ukiwa unamfuatilia huyu mwanamke wakat mwingine unaweza ukawa unacheka mwenyewe. hv wewe huyu Mkuria na kiswahli chake ndio unaona kakosea sanaaa! lakn huu wiz hupend kuuchangia ili tusaidiane kuikomboa hii nchi.
 
mambo ya uda hayahusiki hapa..pride ni taasisi ya mikopo inayowasaidia sana watanzania masikini..watanzania wengi sana wamenufaika na mikopo ya pride..hongera sana idd simba kwa kuwakomboa wanyonge
hongera ya nini hapo hizi pesa hatoi mfukoni kwake zimepatika baada ya wafadhili kuisaidia serikali yetu na kama ukakguzi haufanyiki kuna siku tutaambiwa kwa pride imefilisika hakuna cha faida na oesa zote zimeyeyuka kama ilivyokuwa kwa UDA
 
Hii nchi hata wakoloni hawakuitafuna na kuwanyonya wananchi wake hivi,huu ni unyonyaji uliorasimishwa na serikali ya CCM
 
hongera ya nini hapo hizi pesa hatoi mfukoni kwake zimepatika baada ya wafadhili kuisaidia serikali yetu na kama ukakguzi haufanyiki kuna siku tutaambiwa kwa pride imefilisika hakuna cha faida na oesa zote zimeyeyuka kama ilivyokuwa kwa UDA

nani kakudanganya ukaguzi haufanyiki? Hata kama ni hela za wafadhili mradi zinawasaidia watanzania hamna shida
 
serikali haihusiki kabisa na pride..ni mali ya watu binafsi

mambo ya uda hayahusiki hapa..pride ni taasisi ya mikopo inayowasaidia sana watanzania masikini..watanzania wengi sana wamenufaika na mikopo ya pride..hongera sana idd simba kwa kuwakomboa wanyonge

sasa huyo cag toka kipindi chote hicho hajaikagua pride anafanya nini? Si bora ajiuzulu tu maana kazi imemshinda

Aiseee.. Halafu unajitambulisha na chama kipya cha act..! Unashindwa hata kujibu hoja kwa hoja..! Kweli akili ni nywele ila nina shaka wewe una kipara lol..
 
Ooh!!jasho litatutoka hapa kilichobaki ni neema ya Mungu kwani hata kuomba hatujui!!yele uuuuuuuuwi!!!!
 
Aiseee.. Halafu unajitambulisha na chama kipya cha act..! Unashindwa hata kujibu hoja kwa hoja..! Kweli akili ni nywele ila nina shaka wewe una kipara lol..

we hapa ndio umejibu hoja gani? Hakuna hoja hapa ni umbea tu
 
Hivi IDD Simba si ni mrundi, unafikiri atakuja kuona uchungu wa nchi hii.? NIDo yumo, Uda yumo, ile sukari ya jeshi hump
 
  • Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100%
  • ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5
  • Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria
  • kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito kwa watanzania.
  • Mtaji wa kuanzishwa ulitoka NORAD kwa makubaliano na URT
  • CAG aliandika barua 20/6/2012 kuomba maelezo juu ya umiliki wa pride hakupata majibu toka ofisi ya MSAJIRI WA HAZINA
  • Hadi leo msajiri wa hazina hajawahi kujibu hiyo audit querry
Source: Mwananchi page 12
yaliyo kuwa chini ya kitanda yatawekwa juu ya mapaa ya nyumba! Msiuane tu!
 
Haya ndo mambo ambayo kunawatu wako radhi afiwe na ukoo mzima kuliko kusikia ccm imetoka madarakani.usione wabunge wa ccm wanajiwehua bungeni wanajua utamu wa hii nch wafanyakazi ndo imekula kwetu.mtu anasimama bunge ni analalama sina maji jimboni kwangu barabara mbovu pembejeo hazija fika kwa wakati du!mbunge mkali ka nini mwishoni naunga mkono 100%reason bihind?reffered to pride,epa,uda,richmond,meremeta,escrow acount nk.watu wanafungua acaunt mpaka siku za sikukuu?tanzania tamchungu!
 
Ha! Siku zote mi najua PRIDE ni taasisi ya Idd Simba. Pia siku zote nilikua najua UDA ni imeuzwa na ni ya mtu binafsi,kumbe serikali ina shea mle zaidi ya 50%!. Namba za magari ya PRIDE na UDA ni binafsi! Duh,mbona tu wajinga kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom