CAG aibua mazito PRIDE TANZANIA

CAG aibua mazito PRIDE TANZANIA

Munabusule

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2013
Posts
976
Reaction score
492
  • Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100%
  • ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5
  • Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria
  • kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito kwa watanzania.
  • Mtaji wa kuanzishwa ulitoka NORAD kwa makubaliano na URT
  • CAG aliandika barua 20/6/2012 kuomba maelezo juu ya umiliki wa pride hakupata majibu toka ofisi ya MSAJIRI WA HAZINA
  • Hadi leo msajiri wa hazina hajawahi kujibu hiyo audit querry

Source: Mwananchi page 12
 
Ina maana serikali ilikuwa haijui au ulikuwa ni mradi wa watu?
 
Hhaha! Mimi sikuzote najua kuwa Pride ni Mali ya Idd Simba, Lakini najua pia hawa jamaa wanapokea Misaada mingi kutoka Nje kupitia Mgongo wa Serekali na Umasikini wa waTanzania. Shime waTanzania tuwahi kukaba huko tukawahi Mali zetu maana ishajulika hivi Uchelewi kusikia Kampuni Imeflisika na kwa sasa Jamaa ni Full Bank na sio Tena Microfinance Institute.
 
Teh teh,ina maana serikali nd inawanyanganya raia wake vitanda na magodoro wasipolipa?

Ndugu watu walisha Binafsisha hiyo kitu na Kufanya Mali yao. Alafu cha ajabu anayefanya hayo na yale ya UDA ni yule yule aligombanaga na MKAPA akiimba wimbo wa Uzawa kumbe Mwizi Mtupu!
 
Nchi hi ina maajabu mengi kweli kweli, kumbe PRIDE ni mali ya serikali? Mbona hata namba za magari yao hazioneshi hivyo!?
 
Idd Simba tena!!? Yale ya UDA yameishaje?
 
PRIDE ni NGO ya watu binafsi na wala siyo mali ya serikali, kama walipata fedha serikali hilo ni jambo jingine lakini siyo mali ya serikali.
 
Sijajua kwa nini Iddi Simba and Company serikali inawaogopa sana! Manake ii Pride imekuwa milki yao!
 
Hhaha! Mimi sikuzote najua kuwa Pride ni Mali ya Idd Simba, Lakini najua pia hawa jamaa wanapokea Misaada mingi kutoka Nje kupitia Mgongo wa Serekali na Umasikini wa waTanzania. Shime waTanzania tuwahi kukaba huko tukawahi Mali zetu maana ishajulika hivi Uchelewi kusikia Kampuni Imeflisika na kwa sasa Jamaa ni Full Bank na sio Tena Microfinance Institute.
Kama sikosei, Iddi Simba ni mwenyekiti wa bodi ya PRIDE. Na kama PRIDE ni mali ya serikali, Simba atakuwa aliteuliwa na rais kwa kushauriwa na waziri wa fedha kushika wadhifa huo. Guess who was the presidant and his Finance minister. Kuhitimisha, uchafu wote wa PRIDE una baraka za waliomteua Simba kuwa mwenyekiti PRIDE kama ilivyo kwa shirika la UDA.
 
PRIDE ni NGO ya watu binafsi na wala siyo mali ya serikali, kama walipata fedha serikali hilo ni jambo jingine lakini siyo mali ya serikali.

Sociologist hutaki kwenda beyond observable!!!!!?????
Huweki premise ila unakomaa na conclusion!!!!?????
Validity na reliability ya majibu yako ni questionable!!!!?????


Armchair sociologist at best!!!!!!!
 
Mali nyingi sana za serikali zipo mikononi mwa watu binafsi.
 
  • Pride Tanzania inamilikiwa na serikali 100%
  • ilisajiriwa mwaka1993 Mei 5
  • Hesabu za pride hazijawahi kuwasilishwa kwa CAG kama inavyotakiwa kisheria
  • kutowasilishwa mahesabu kunazua maswali mazito kwa watanzania.
  • Mtaji wa kuanzishwa ulitoka NORAD kwa makubaliano na URT
  • CAG aliandika barua 20/6/2012 kuomba maelezo juu ya umiliki wa pride hakupata majibu toka ofisi ya MSAJIRI WA HAZINA
  • Hadi leo msajiri wa hazina hajawahi kujibu hiyo audit querry

Source: Mwananchi page 12

Inasikitisha sana kuona Kiswahili kikiandikwa namna hii.

Hivi, wewe ni Mtanzania na Kiswahili ni lugha ya Taifa lako?
 
Back
Top Bottom