MATAGA ni WAJINGA sana, hata mkitaka Rais Samia na Makamu wake Mpango wahusishwe, mtawashtaki kwa sheria ipi ikiwa Katiba inawapa KINGA! Watu walisema KINGA ifutwe, mkashupaza shingo kupinga mabadiliko.
Acheni kukaza mishipa ya 'makalio', mtavunja sindano acha iwaingie vyema.