Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Tumekwama sehemu si Kwa Sababu nyingine Bali Kwa Sababu ya overconfidence na kuwa na viongozi wanaowaza zaidi urais kuliko uwaziri. Kwa lengo la kuweka Sawa upepo na kuboresha utendaji nadhani mabadiliko haya yatakuwa na tija Kwa kiasi flani.
1. Waziri wa Fedha - Mzee Kimei
2. Waziri wa Nishati- Mzee Mbarawa
3. Waziri wa Uchukuzi - January
4. Ofisi ya Makamu wa Rais - Mwigulu
Naamini Kasi itaongezeka
1. Waziri wa Fedha - Mzee Kimei
2. Waziri wa Nishati- Mzee Mbarawa
3. Waziri wa Uchukuzi - January
4. Ofisi ya Makamu wa Rais - Mwigulu
Naamini Kasi itaongezeka