Kafu ya lipumba?Simba wameloga mpaka hatuonekan kwenye list.ngoja tumrudishe manji wetu tushike 3 bora cuf
Kafu ya lipumba?Simba wameloga mpaka hatuonekan kwenye list.ngoja tumrudishe manji wetu tushike 3 bora cuf
Hawa umbwa kaizer tungewafurumusha tumgekuwa huko kwa horoya huko, hii game inaniuma mpaka kesho..
Wakati mwingine mpira una matokeo ya kikatili mnoo
Tulienda South bila kua na strategy za kukwepa figisu za Amakhosi
Ile timu inasifika kwa uchawi South nzima.
Nasikia na jamaa yenu anataka kuwakimbiaSimba wameloga mpaka hatuonekan kwenye list.ngoja tumrudishe manji wetu tushike 3 bora cuf
Yanga kila mkitaka kucheza na Simba kambi yenu hua ni bagamoyo, hua mnaenda kufanya nini mkuu?Mpira ungekuwa na uchawi kombe la dunia lingekuwa gambushi.. ama nigeria wangetwaa caf kila msimu... mpira ni mbinu za kocha na uwezo wa wachezaji
Yanga kila mkitaka kucheza na Simba kambi yenu hua ni bagamoyo, hua mnaenda kufanya nini mkuu?
Asante Sana MkuuKutoka nafasi ya 23 mwaka jana hadi ya 13 mwaka huu. Simba inahaki ya kujivunia mafanikio yake
Kuna jamaa anasema eti ni wa 44,sijui kisa 44 haionekani hapo??.Eti hilo lina ukweli?.View attachment 1812025
Timu tishio Afrika Simba Sc inazidi kujikita kuelekea kuwa timu Kigogo barani Afrika. Ilipo Yanga waulizwe Yanga wenyewe
Goo Simba Goo
Goo Mo Dewji Goo
Yanga 49...yaani ya mwisho kutoka moja sio mbaya ni rekodi piaView attachment 1812025
Timu tishio Afrika Simba Sc inazidi kujikita kuelekea kuwa timu Kigogo barani Afrika. Ilipo Yanga waulizwe Yanga wenyewe
Goo Simba Goo
Goo Mo Dewji Goo
Darasani ukiwa nafasi ya 13 upo top 10?? Kweli Leo umevuta cha boban kweliView attachment 1812025
Timu tishio Afrika Simba Sc inazidi kujikita kuelekea kuwa timu Kigogo barani Afrika. Ilipo Yanga waulizwe Yanga wenyewe
Goo Simba Goo
Goo Mo Dewji Goo
we jamaa huwa unakurupuka sana sometimes. wapi mimi nimesema yupo Top 10?Darasani ukiwa nafasi ya 13 upo top 10?? Kweli Leo umevuta cha boban kweli
Ulaya ya Utopoloni?Yanga timu kubwa inashindanishwa na timu za Ulaya
1.TP Mazembe 🇨🇩Naomba kufahamishwa hivi msimu wa 2018/2019 Simba ilipofanikiwa kufika robo fainali, je Simba ilikuwa inashika nafasi ya ngapi kwenye CAF kwa kipindi hiko?
View attachment 1812025
Timu tishio Afrika Simba Sc inazidi kujikita kuelekea kuwa timu Kigogo barani Afrika. Ilipo Yanga waulizwe Yanga wenyewe
Goo Simba Goo
Goo Mo Dewji Goo