CAF Champions League

CAF Champions League

Vijana wa yanga wako kazini mdahuu wakipambana kutetea taifa,tuache unazi tuwaombee wavuke salama.

Pole sana Imeshatandikwa... INARUDI BONGO Wachovu... Inasikitisha EH...?... [TABLE="width: 498"]
[TR="class: lignb"]
[TD="class: rezd"]
Ahly (4-3pen) Young[/TD]
[TD="class: p1"]
egypte.gif
Al Ahly[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
BAYERN MUNICH JE WANA TIMU GANI KAMA YANGA WANATIM MZURI? Toa kinya chako apa mchezaji atakuwa ngasa?

Kukamilisha furaha yako nendeni mkang'oe viti taifa basi.kumbe Yanga inawanyima raha eeeh?! Poleni sana na droo yenu ya 10 leo na prison mmekosa viti vya kung'oa tu kule Mbeya, Simba washamba sana.
 
YANGA YATUPWA NJE MICHUANO YA CLUB BINGWA AFRIKA , YEEEEE OYEEEE YEYEYEYE. POLEN SANA WATANGANYIKA, mpira c fani yenu.

Ngoja niendelee kuagiza castle na nguruwe hapa.
Mbuyu Twite katuletea furaha watanzania wa msimbazi.
 

Attachments

  • 1394395781414.jpg
    1394395781414.jpg
    36.1 KB · Views: 244
Yaani Yanga wangeshinda tusinge hata kula kwa raha, bora wametolewa heshima imerudi mjini. Ila mchawi wa timu yetu ya taifa wa kuweka kile kiuzi golini acheni kumtumia, Simba wanamjua ndio maana ikifika mechi ya Simba wanawagonga.
 
Hayajui kucheza banaa ...Yanga iliongoza ikashindwa kujilinda..HOPELESS...wacha yarudi tu!! watmweza mwarabu gani?hawa!

Kwa kweli sijawahi kuiona El Ahly mtepeto kama ya safari hii; kiwango walichoonyesha hata Mtibwa au Azam ingewatoa. Naona watani zetu walijichanganya hapa nyumbani kwani kama wangekuwa makini jamaa wale wangeondoka na goli tano hapa. Vyovyote iwavyo Yanga ni lazima wajilaumu wenyewe kwa kuwa overconfident.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bado na imani na yanga 6 kwa 5 magazeti kesho yatawasawazishia hilo 1 wawe sare furaha ya watu itawasaidia kushinda.

Hivyo tukaushe magazeti nayo yakamilishe upande wao ndo tujue kanda mbili wametolewa au wanasonga mbele kwa hatua inayofuata
 
Mtani rudi nyumbani tuendelee kuandika katiba mpya
 
Hivi Mungu huyu kwanini huwa hasikilizi kilio cha minorities kama Yanga..
Kwa nini mechi haikuishia kwa Bahanuzi...this is not fair jamani...
Kila siku siye ndio wakuambiwa tumejitahidi...bahati haikua yetu...mara tumetoka kishujaa..sijui kifua mbele...
Ni bora tungefungwa 5 zile tulizozoea kuliko tulivyofungwa leo....pamoja nilikua namatumaini na ndoto za kuwafunga waarabu nilikua najua waarabu ni wazuri sana uwanja wa kwao lakini Dida alipocheza penalty ya pili moyo wangu ulilipuka nakusema "this is it " masikini ya Mungu Bahanuzi...
Kwa masikitiko na unyonge niliyonao usiku huu...natamani hata bora ningekua sishabikii mpira kabisa maishani mwangu...haya ni mateso usiku mzima..bado blue Monday...
Halafu kwa nini kocha hakumpanga Chuji apige katika zile first five penalty? Jamaa namuaminiaga huyu. Hanaga ubishoo. yeye ni kombora tu. Daaah Bahanuzi katulisha!
 
Back
Top Bottom