CAF Champions League

CAF Champions League

Nilitaka city awe anashiriki mashindano mengi ili wawe wanachoka iwe rahisi kwa Chelsea kuchukua kombe! Lkn saiz wataweka nguvu kwa EPL sn!

Chelsea au arsenal kaka?
 
Kwa ujumla Heaven on Earth unaipenda Yanga. Pamoja na hilo leo unastahili kuwa nguli wa Jukwaa. Hapo vipi?
 
Last edited by a moderator:
Ngassa kaumia na anatolewa nje kugangwa...namuona anachechemea

Wakati huo Chuji anaingia kuziba pengo lake
 
Vijana wa yanga wako kazini mdahuu wakipambana kutetea taifa,tuache unazi tuwaombee wavuke salama.
 
Am not a fan of Yanga but wakiitoa Al Ahly ntafurahi sana. Dk ya ngapi?
 
Back
Top Bottom