CAF Champions League

CAF Champions League

Hivi Mungu huyu kwanini huwa hasikilizi kilio cha minorities kama Yanga..
Kwa nini mechi haikuishia kwa Bahanuzi...this is not fair jamani...
Kila siku siye ndio wakuambiwa tumejitahidi...bahati haikua yetu...mara tumetoka kishujaa..sijui kifua mbele...
Ni bora tungefungwa 5 zile tulizozoea kuliko tulivyofungwa leo....pamoja nilikua namatumaini na ndoto za kuwafunga waarabu nilikua najua waarabu ni wazuri sana uwanja wa kwao lakini Dida alipocheza penalty ya pili moyo wangu ulilipuka nakusema "this is it " masikini ya Mungu Bahanuzi...
Kwa masikitiko na unyonge niliyonao usiku huu...natamani hata bora ningekua sishabikii mpira kabisa maishani mwangu...haya ni mateso usiku mzima..bado blue Monday...
 
hahaha! Akuuu! Ataanza kulalamika yanga wamefanyiwa hujuma kabla ya salamu! Ctaki miye!

sitaki sitaki nasema sitaki!!! hii ni hujuma, nasema muniache!! hujuma
hahahahhaah jamaa anacheza bongo movie siku hizi
 
Sijui kwanini mwalimu amemchagua Bahanuzi kupiga penati tena ya muhimu kama ile, Bahanuzi hajacheza mechi hata za ligi ya nyumbani halafu unampa kupiga penati muhimu!
 
Wamenanihiwa lakini hawajakata kiuno ikabidi waarabu watumie KY.Hata hivyo habari nilizopata kutoka Misri Yanga wanadai haikuuma sana kwani mwarabu hajawaoa kirahisi.
 
Mlivyokuwa na furaha mpaka mnayasahau matatizo yenu.Endeleeni kuwashabikia waarabu wakati mnataka kushuka daraja,Prison 0-0 Simba Kapakatwa.
 
Ndala kwisha,wameikimbia nyuzi waliyoanzisha mandieta
 
Last edited by a moderator:
Wakuu msaada tafadhari kwa walio angalia mechi.nasikia magori ya al ahly yalikua yote ya ofside.?

uwongo hayo magoli mangapi? Al ahly wamefunga goli moja tu dkk 90 then wewe unasema magoli yote ya offside au hata penalty zina offside
 
Back
Top Bottom