CAF Champions League

CAF Champions League

Walianza komorozine wakala saba,wakajichanganya jkt ruvu wakala wiki,waleteni hao alhyl wale 7,kwa mujib wa clouds fm,nipe matokeo kaka.
 
Kwa kweli sijawahi kuiona El Ahly mtepeto kama ya safari hii; kiwango walichoonyesha hata Mtibwa au Azam ingewatoa. Naona watani zetu walijichanganya hapa nyumbani kwani kama wangekuwa makini jamaa wale wangeondoka na goli tano hapa. Vyovyote iwavyo Yanga ni lazima wajilaumu wenyewe kwa kuwa overconfident.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Pumba unajua fitna za mpira kabla ya mechi wewew au kwa sababu unabundle ya net basi unaandika kishabiki tuu !
 
Waswahili wana sema ' Masikini hazai Basha" haya matokeo yalijulikana.
 
Halafu kwa nini kocha hakumpanga Chuji apige katika zile first five penalty? Jamaa namuaminiaga huyu. Hanaga ubishoo. yeye ni kombora tu. Daaah Bahanuzi katulisha!
Kipa kacheza penati 2 nzima, hapo yanga tujilaumu sisi wenyewe tu.
 
Waswahili wana sema ' Masikini hazai Basha" haya matokeo yalijulikana.

Mkuu...mi ni mmoja wa mashabiki tuliopo Cairo ktk hii mechi ya leo kiukweli Yanga walistahili kushinda ujinga wao ndo umewafanya wakatolewa ktk Penati refa hakuwa fair ila walipambana na wakapoteza nafas nyingi tu,
 
Watu wenye asili ya Asia rudini kwenu kwani raisi ajaye ni noma ....HATUTAKI mamluki tafuteni njia mapema
 
Pumba unajua fitna za mpira kabla ya mechi wewew au kwa sababu unabundle ya net basi unaandika kishabiki tuu !

Punguza jazba Mtani mbona mimi pamoja na kuwa Simba nilikuwa nawaombea mshinde ili Bendera yetu iendelee kupeperushwa kimataifa? Kufungwa si jambo la ajabu, jipangeni, mwakani mchukue na ubingwa wa Afrika!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bora wametolewa mana tucngekaa tz makelele usumbufu kwenye media afu amna la maana.japo wapo ju sana kisoka big up yanga
 
..Magazeti ya simba hapo kesho.
Saba za wakomoro zawaridia.
..yanga kama nyoka wamaonyesho walala na mbuzi washindwa kumtafuna
..profesinal wao mwenye kejeri kwa simba awatoa yanga afrika

Magazeti yote ya Yanga!Simba haichezagi kabisa magaetini

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Pumba unajua fitna za mpira kabla ya mechi wewew au kwa sababu unabundle ya net basi unaandika kishabiki tuu !

kwenda kule,hamjafitiniwa ht kdg kiwango chenu kibovu yan bora wangeend Rhino rangers
 
Watu wenye asili ya Asia rudini kwenu kwani raisi ajaye ni noma ....HATUTAKI mamluki tafuteni njia mapema

hapa atakuwa anasemwa Manji,loh yan kufungwa na ahly ndo mumtimue mwenzenu?nyinyi chezen mpira operesheni kimbunga waachieni Migration
 
Haya sasa..

attachment.php
 
Back
Top Bottom