Asante sana Heaven on Earth, nimeangalia kipindi cha kwanza kwa hii link
Kaka ahadi ni deni.Mshindwe kupata ushindi mnono hapa nyumbani eti mkashinde Misri...Wallah...ntatembea uchi kutoka posta hadi kimara
ahaaahaaa..huyo ndio Heaven on earth
mwenye link atuwekee jamani maana google haitoi majibu mazuri
Yanga Kipindi cha pili mmeshaaa!!!
nashukuru mkuu..., naona na Abood TV ya Moro nao wanaonyesha...Kwa kweli Yanga wazuia ati...kiungo na beki wanajitahidi.King'amuzi cha azam mkuu -azam two
mkuu unaangalia kupitia ungo au?Yanga hawaonekani kucheza kwa speed kubwa labda ndivyo walivyoelekezwa. Wako slow sana na wakipata mpira hawaonyeshi uchu wa kutafuta goli. Tiba
yani nimejilipua nilimpa wigan,hull ct na juve mkeka wa kwanza,wa pili nikampa man ct,lille,madrd,dortmund,espanyol
yan nabana mbup mpk znauma
Aisee!! Yanga wanajitahidi! Sijui nihamie huku!!
Aisee!! Yanga wanajitahidi! Sijui nihamie huku!!
mlisema dakika 15 za mwanzo yanga watapigwa lakini mpaka sasa bilabila..........Yanga Kipindi cha pili mmeshaaa!!!
Huyu Refa anaibeba Yanga sana.....
Al-Ahaly piga hao Yebo Yebo...
huyu refa anaibeba yanga sana.....
Al-ahaly piga hao yebo yebo...
Aisee!! Yanga wanajitahidi! Sijui nihamie huku!!