CAF Champions League

CAF Champions League

Duh Story kibao kabla ya mpambano.., shughuli ikishaanza tusikimbiane tupeane updates, leo Yanga ni mabalozi wetu watanzania, ni vema tukawapa moyo na ni wajibu wao wajitume wasitutie aibu.
 
Ushauri wangu kwa Yanga:
1: Nidhamu iwe nambari moja uwanjani. Waarabu watatumia kila mbinu ili mmoja wenu au wengi apewe kadi nyekundu. Mkisukumwa msirudishe kwa kuwapiga ngumi bali muwe kama kondoo vinginevyo mtacheza pungufu na mtakuwa wacomoro kwao.
2: Kushambulia mwanzo mpaka mwisho huku mkiweka msisitizo zaidi katika kulinda lango. Kila mchezaji awe alert kila dakika.
3: Ni lazima mfunge walau goli moja mechi hii. Vinginevyo itakuwa ngumu sana kupita.
 
Kukosekana kwa Niyonzima ni pengo tayari pale kati...mechi ya kwanza aliwahenyesha sana Ahly...
 
Back
Top Bottom