cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
amewarithi waasisi wa nchi hii, anaondoka leo saa 9:15pm na swissair! tumuombee afike salama na arudi salama! lol!pole sana cacico. Tunamuombea mama apone.
Yupo hospital au home nije nimuone.
amewarithi waasisi wa nchi hii, anaondoka leo saa 9:15pm na swissair! tumuombee afike salama na arudi salama! lol!pole sana cacico. Tunamuombea mama apone.
Yupo hospital au home nije nimuone.
nakuonaga unavyochungulia na kusepa! haya bana tupo!Nimebanwa na mijikazi yao. Nipo kidogokidogo.
amewarithi waasisi wa nchi hii, anaondoka leo saa 9:15pm na swissair! tumuombee afike salama na arudi salama! lol!
thanx ummu kulthum! thanx alot, umepotea lol, au ndio walea mume??pole sana shost,hakuna kama Mama inshallah kwa kudra zake ALLAH ATAMUAFU.
sweetlady mzima wewe?? thanx alot, yakibinadamu tumemaliza, sasa ni sala zetu na kumuonyesha upendo mkuu, yaliyobaki TUMUACHIE MUNGU, ATATENDA! mwahhh and thanx for caring!
cacico my sweet shem..nisamehe bure tu, michakato hii sikupata nafasi ya kupitia hapa mapema zaidi ila naamini mmefanikiwa....pole kwa kuuguza jamani mwaaaaahmwahhhhhh! lol! hatimaye umenikumbuka khaaaa! thanx ny shemeji, nimefarijika lol!