Ndugu zangu wana jf, kila mmoja wetu nadhani atakuwa ameguswa vya kutosha kuhusiana na matukio mengi yaliyotokea ktk uchaguzi mdogo Igunga!
Ktk mengi hayo yaliyotokea, KUBWA zaidi ya yote ni MAUAJI YA KUTISHA ambayo yametukosesha ndg zetu tuliowategemea ktk familia zetu na Taifa kwa ujumla!!
Ktk mauaji hayo kila mmoja wetu anajua kuwa mtuhumia mkuu ni CCM, ambao mpaka sasa wamekaa kimya kana kwamba hawajui kilichotokea! "Hapa sisiti kusema UKIONA KIMYA UJUE NDIO!!"
Cdm, tafadhari narudia Cdm!! Tunahitaji kusikia msimamo wenu ktk hili!! Ndg zetu wanauawa na magamba kwa sababu ya ukombozi tena wanauliwa kwa dharau wakijua hatuna la kuwafanya!! Huu ni ukatiri ulotukuka!!
Cdm ninyi ndo viongozi wa ukombozi jamani nawaombeni tafteni njia mbadala ya kuwatia kitanzi wahusika maana hata huo upelelezi wanafanya wao Magamba usitegemee lolote!!
Bora watu tuingie hata msituni tulipize visasi tu! Hawa magamba wameshajua hawana lao tena sasa wameanza kutuua!! (NANOA PANGA SIKUBALI NDG YANGU AFE HIVIHIVI!! SAHAU!!)
Nasistiza jamani kiongozi yeyote cdm atujuze huo upelelezi umefikia wapi!!
Ktk mengi hayo yaliyotokea, KUBWA zaidi ya yote ni MAUAJI YA KUTISHA ambayo yametukosesha ndg zetu tuliowategemea ktk familia zetu na Taifa kwa ujumla!!
Ktk mauaji hayo kila mmoja wetu anajua kuwa mtuhumia mkuu ni CCM, ambao mpaka sasa wamekaa kimya kana kwamba hawajui kilichotokea! "Hapa sisiti kusema UKIONA KIMYA UJUE NDIO!!"
Cdm, tafadhari narudia Cdm!! Tunahitaji kusikia msimamo wenu ktk hili!! Ndg zetu wanauawa na magamba kwa sababu ya ukombozi tena wanauliwa kwa dharau wakijua hatuna la kuwafanya!! Huu ni ukatiri ulotukuka!!
Cdm ninyi ndo viongozi wa ukombozi jamani nawaombeni tafteni njia mbadala ya kuwatia kitanzi wahusika maana hata huo upelelezi wanafanya wao Magamba usitegemee lolote!!
Bora watu tuingie hata msituni tulipize visasi tu! Hawa magamba wameshajua hawana lao tena sasa wameanza kutuua!! (NANOA PANGA SIKUBALI NDG YANGU AFE HIVIHIVI!! SAHAU!!)
Nasistiza jamani kiongozi yeyote cdm atujuze huo upelelezi umefikia wapi!!