Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
..utakuwa ni upunguani na kutokuwa na utimamu wa ubongo unapo wafananisha CDM kufanya haya mauaji. Kwa vyovyote CDM hawawezi na hawajawahi kuhusika kuua wapiga kura wao, bali ni CCM, na kuna matukio kazaa tu ya kudhibitisha, kumbuka CUF nini kiliwatokea, sema kilichowagarimu CUF ilikuwa ni suala la UDINI ambalo lilipandikiza na kuenezwa mpaka kwa mabwana wakubwa. Ila la CDM linasapoti kila kona ya dunia, na ni dhahili kuwa CDM ni chama makini chenye kulenga kutokomeza suala la rushwa na ufisadi na kuleta uwajibikaji ktk matumizi ya rasilimali za umma. Na CDM ni mwiba kweli hata wewe unafahamu (hata kama kimoyomoyo) ingawa unaweza ukapinga kwa kuropoka, lakini hakika inaeleweka CDM kilitufumbua macho sisi walala hoi juu ya uzandiki wa CCM.
chaga development manifesto [CDM] lazima iwe mwiba kwa sababu maaskofu na wachungaji wanatoa sapoti nzuri sana.