Bye bye rahatupu

Itapendeza wakifunga na hizi blog za udaku, yaani wanachunguza maisha ya watu hadi kero.
Udaku udaku na Umbea ndo vimetawala ktk hizi blog za bongo, Serikali futa hizi Blog za Umbea na udaku na hizi za ngono.
 
Kiswahili kinachanganya, hivi huy nancy anasambaza au ameweka hizo picha za utupu, kama anasambaza hiyo itakuwa inamuhusu ila kama ameweka tu na watu wenyewe ndio wanaofuata hiyo haimuhusu kabisa:tape2::tape2:

Mbna hakuziweka nyumbani kwke?
 
Waende zao na miswada yao ya dharula afu inajadiliwa na wawili sijui watatu
Tutarudi enzi zileee za analog ntatumia Bluetooth na barua!!!!!!!
 
dah wasije tu kutusearch kwenye simu yetu itakuwa ni soo
 
basi tupeane blog ingine ya nje inayorusha 100%Bongo Certified wadau,hii sheria itatutenga sana
 
Wabunge kwa unafiki bwana....yaani wanakataa hii blog wakati wao ndiyo wanaongoza kuperuzi humo kila kukicha kuona kama wamebandikwa na machangu wao uchwara. Hii yote ni kutaka kudhibiti machangu wao wasitume picha kwa Nancy wakionekana kungononeka na wateja wao wabunge.
 

Wakipitisha hyo sheria naenda kujiunga na alshabaab mie
 
mwenye details za hiyo blog amwage hapa wengine tumekuja mjini na boda boda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…