mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
Kwema 'Directors'?
Kitendo cha Bwana yule kumzidi kete bosi wake wa wakati huo na kufanikiwa kupenya na kupeperusha bendera, kinaonesha Bwana yule alivyokuwa mjanja(smart)!
Ama kwa hakika, alikuwa jogoo la shamba lililowika mjini. Alikuwa mkulima aliyevimba mbele ya watoto wa mjini na kuwaonesha kuwa wao ni 'washamba' tu.
Huyo ndiye Bwana yule!!!!!!!
Kitendo cha Bwana yule kumzidi kete bosi wake wa wakati huo na kufanikiwa kupenya na kupeperusha bendera, kinaonesha Bwana yule alivyokuwa mjanja(smart)!
Ama kwa hakika, alikuwa jogoo la shamba lililowika mjini. Alikuwa mkulima aliyevimba mbele ya watoto wa mjini na kuwaonesha kuwa wao ni 'washamba' tu.
Huyo ndiye Bwana yule!!!!!!!